Ze Bulldozer
JF-Expert Member
- Jun 12, 2020
- 1,002
- 524
- Thread starter
- #21
Mungu ibariki TanzaniaMwambieni huyu Mbeligiji aache kuipakaza matope Tanzania,
Mpelekeeni Ujumbe huu na Wale wa EU wajue
Mungu ibariki TanzaniaMwambieni huyu Mbeligiji aache kuipakaza matope Tanzania,
Mpelekeeni Ujumbe huu na Wale wa EU wajue
Ngoja Martini na Maria waje. Wanawashwa washwa kweliCHADEMA huu Sasa ndio Uzalendo wa kweli,kwa pamoja tujenge nchi yetu kwa amani na Upendo,
Lissu na wenzako rudini Tanzania hii awamu ya Rais Samia Suluhu Hassan ni salama kuliko Tanzania ya wakati wowote,
===
View attachment 2036933
Akina Martin Maranya ,Brazaj , Erythrocyte watasema anaisifu serikali iliyo chini ya MZANZIBARI MWENZAKE 🤣🤣🤣CHADEMA huu Sasa ndio Uzalendo wa kweli,kwa pamoja tujenge nchi yetu kwa amani na Upendo,
Lissu na wenzako rudini Tanzania hii awamu ya Rais Samia Suluhu Hassan ni salama kuliko Tanzania ya wakati wowote,
===
View attachment 2036933
She is notShe is better than Magufuli.
Kaziiendelee TanzaniaCHADEMA huu Sasa ndio Uzalendo wa kweli,kwa pamoja tujenge nchi yetu kwa amani na Upendo,
Lissu na wenzako rudini Tanzania hii awamu ya Rais Samia Suluhu Hassan ni salama kuliko Tanzania ya wakati wowote,
===
View attachment 2036933
Tanzania ni salama sana kwakweli,Mwambieni huyu Mbeligiji aache kuipakaza matope Tanzania,
Mpelekeeni Ujumbe huu na Wale wa EU wajue
Naungana na wewe kwenye hili kwa 100%Rais Samia ni mchaMungu nchi inatamalaki amani na Upendo
Mkosoe na kutoa mwelekeo mnaoutakaNaunga mkono hii hoja, Samia pamoja na mapungufu yake ana afadhali mara 100 ya yule nduli.
Samia hatutaacha kumkosoa
Samia kaingizwa mkenge na sukuma gangView attachment 2036933
===
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kupitia kwa Naibu Katibu Mkuu wake Salum Mwalim Juma wameipongeza Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe Samia Suluhu Hassan kwa kusimamia kwa Vitendo Uhuru wa kutoa maoni na kukusanyika,
Ndugu zangu wa Chadema huu Sasa ndio Uzalendo wa kweli kwa Rais wenu na nchi yenu, Sasa kwa pamoja tujenge nchi yetu kwa amani na Upendo huku tukiweka pembeni tofauti zetu za kisiasa
Tundu Lissu na wenzako rudini kwenu Tanzania, Mungu anajua na Dunia inajua awamu hii ya Rais Samia Suluhu Hassan ni salama kuliko Tanzania ya wakati wowote katika historia ya nchi hii,
elezea How?Samia kaingizwa mkenge na sukuma gang
Nani?Amesahau watu wapo ndani kwa kesi za kijinga
Salum Mwalim ni Mzalendo Sana huyu jamaa aise,View attachment 2036933
===
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kupitia kwa Naibu Katibu Mkuu wake Salum Mwalim Juma wameipongeza Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe Samia Suluhu Hassan kwa kusimamia kwa Vitendo Uhuru wa kutoa maoni na kukusanyika,
Ndugu zangu wa Chadema huu Sasa ndio Uzalendo wa kweli kwa Rais wenu na nchi yenu, Sasa kwa pamoja tujenge nchi yetu kwa amani na Upendo huku tukiweka pembeni tofauti zetu za kisiasa
Tundu Lissu na wenzako rudini kwenu Tanzania, Mungu anajua na Dunia inajua awamu hii ya Rais Samia Suluhu Hassan ni salama kuliko Tanzania ya wakati wowote katika historia ya nchi hii,
Kama maambukizi ya COVID -19 yanaongezeka siku kwa siku, Lazima tukachanje kwa hiari ili kujinga,View attachment 2036933
===
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kupitia kwa Naibu Katibu Mkuu wake Salum Mwalim Juma wameipongeza Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe Samia Suluhu Hassan kwa kusimamia kwa Vitendo Uhuru wa kutoa maoni na kukusanyika,
Ndugu zangu wa Chadema huu Sasa ndio Uzalendo wa kweli kwa Rais wenu na nchi yenu, Sasa kwa pamoja tujenge nchi yetu kwa amani na Upendo huku tukiweka pembeni tofauti zetu za kisiasa
Tundu Lissu na wenzako rudini kwenu Tanzania, Mungu anajua na Dunia inajua awamu hii ya Rais Samia Suluhu Hassan ni salama kuliko Tanzania ya wakati wowote katika historia ya nchi hii,
Manzanziba mwenzioView attachment 2036933
===
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kupitia kwa Naibu Katibu Mkuu wake Salum Mwalim Juma wameipongeza Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe Samia Suluhu Hassan kwa kusimamia kwa Vitendo Uhuru wa kutoa maoni na kukusanyika,
Ndugu zangu wa Chadema huu Sasa ndio Uzalendo wa kweli kwa Rais wenu na nchi yenu, Sasa kwa pamoja tujenge nchi yetu kwa amani na Upendo huku tukiweka pembeni tofauti zetu za kisiasa
Tundu Lissu na wenzako rudini kwenu Tanzania, Mungu anajua na Dunia inajua awamu hii ya Rais Samia Suluhu Hassan ni salama kuliko Tanzania ya wakati wowote katika historia ya nchi hii,
SanaaaHakika inapendeza sana...
Mwambieni huyu Mbeligiji aache kuipakaza matope Tanzania,
Mpelekeeni Ujumbe huu na Wale wa EU wajue