CHADEMA wampongeza Rais Samia kwa kuimarisha Uhuru wa kutoa maoni

CHADEMA huu Sasa ndio Uzalendo wa kweli,kwa pamoja tujenge nchi yetu kwa amani na Upendo,

Lissu na wenzako rudini Tanzania hii awamu ya Rais Samia Suluhu Hassan ni salama kuliko Tanzania ya wakati wowote,

===
View attachment 2036933
Akina Martin Maranya ,Brazaj , Erythrocyte watasema anaisifu serikali iliyo chini ya MZANZIBARI MWENZAKE 🤣🤣🤣
 
View attachment 2036933
===
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kupitia kwa Naibu Katibu Mkuu wake Salum Mwalim Juma wameipongeza Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe Samia Suluhu Hassan kwa kusimamia kwa Vitendo Uhuru wa kutoa maoni na kukusanyika,

Ndugu zangu wa Chadema huu Sasa ndio Uzalendo wa kweli kwa Rais wenu na nchi yenu, Sasa kwa pamoja tujenge nchi yetu kwa amani na Upendo huku tukiweka pembeni tofauti zetu za kisiasa

Tundu Lissu na wenzako rudini kwenu Tanzania, Mungu anajua na Dunia inajua awamu hii ya Rais Samia Suluhu Hassan ni salama kuliko Tanzania ya wakati wowote katika historia ya nchi hii,
Samia kaingizwa mkenge na sukuma gang
 
View attachment 2036933
===
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kupitia kwa Naibu Katibu Mkuu wake Salum Mwalim Juma wameipongeza Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe Samia Suluhu Hassan kwa kusimamia kwa Vitendo Uhuru wa kutoa maoni na kukusanyika,

Ndugu zangu wa Chadema huu Sasa ndio Uzalendo wa kweli kwa Rais wenu na nchi yenu, Sasa kwa pamoja tujenge nchi yetu kwa amani na Upendo huku tukiweka pembeni tofauti zetu za kisiasa

Tundu Lissu na wenzako rudini kwenu Tanzania, Mungu anajua na Dunia inajua awamu hii ya Rais Samia Suluhu Hassan ni salama kuliko Tanzania ya wakati wowote katika historia ya nchi hii,
Salum Mwalim ni Mzalendo Sana huyu jamaa aise,
 
View attachment 2036933
===
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kupitia kwa Naibu Katibu Mkuu wake Salum Mwalim Juma wameipongeza Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe Samia Suluhu Hassan kwa kusimamia kwa Vitendo Uhuru wa kutoa maoni na kukusanyika,

Ndugu zangu wa Chadema huu Sasa ndio Uzalendo wa kweli kwa Rais wenu na nchi yenu, Sasa kwa pamoja tujenge nchi yetu kwa amani na Upendo huku tukiweka pembeni tofauti zetu za kisiasa

Tundu Lissu na wenzako rudini kwenu Tanzania, Mungu anajua na Dunia inajua awamu hii ya Rais Samia Suluhu Hassan ni salama kuliko Tanzania ya wakati wowote katika historia ya nchi hii,
Kama maambukizi ya COVID -19 yanaongezeka siku kwa siku, Lazima tukachanje kwa hiari ili kujinga,
 
View attachment 2036933
===
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kupitia kwa Naibu Katibu Mkuu wake Salum Mwalim Juma wameipongeza Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe Samia Suluhu Hassan kwa kusimamia kwa Vitendo Uhuru wa kutoa maoni na kukusanyika,

Ndugu zangu wa Chadema huu Sasa ndio Uzalendo wa kweli kwa Rais wenu na nchi yenu, Sasa kwa pamoja tujenge nchi yetu kwa amani na Upendo huku tukiweka pembeni tofauti zetu za kisiasa

Tundu Lissu na wenzako rudini kwenu Tanzania, Mungu anajua na Dunia inajua awamu hii ya Rais Samia Suluhu Hassan ni salama kuliko Tanzania ya wakati wowote katika historia ya nchi hii,
Manzanziba mwenzio

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom