Chadema wagomea mwaliko wa Tendwa

Msajili Tendwa hana maadili kabisa, kama mzee wa kanisa la Roma Parokia ya Kibamba katelekeza mke huku Kibamba na kumchukua binti wa mzee mwenzie wa kanisa aitwaye Catherine ndio anaishi naye huko Kibangu. Sasa mtu kama huyu ataweze vipi kulea taasisi kama vyama vya siasa?

mzee kadumisha undugu huyo,safi xana
 
Leo umeongea pumba iliyo pitiliza! Kwa hiyo Tendwa akigomewa siasa haifanyiki?! Yeye ni mlezi anaye lea kilicho mshinda kulea hakuna mahusiano na kuacha kufanya kazi ya siasa. In reverse, wewe ukipigwa kibuti na mwanaume una ng'oa kabisa sehemu zako za siri kwa vile huna tena kidume cha kuendeleza?
duh,,,,,,nasubiri majibu ya radhia
Sent from BlackBerry 8520 authorized by JamiiForums.

radhia njoo ujibu mama
 
jiulizeni hivi
1.tendwa ni mwanachama wa chama gani?
2.ameteuliwa na nani?
3.kabla ya uteuzi alitoka chama gani?
4.je yupo huru au anapata maelekezo toka kwa nani?
5. nani anamlipa mshahara?
siku zote nimuonavyo mimi ni wa CCM.
 
Hivi unamgomeaje Tendwa halafu unaendelea na kazi za kisiasa? Si uache siasa kabisa basi.

Radhia? Do you need Masters or Phd to be logical? I can't believe this as I remember your last comment on Iringa sagga....Mungu akusaidie sana!
 
Katika kuwajibu CDM kwa msimamo wao wa kumsusia, Msajili wa vyama John Tendwa kasema kuwa 'na wasusie na ruzuku basi.'

Haya ni majibu ya kitoto maana watoto wanapojibizana na mmoja wao akielemewa na hoja basi husema 'Basi susia na vitu vyangu" -- au kitu namna hiyo.

Tendwa anashindwa kutofautisha hoja zinazotolewa baina ya kauli zake kwa vyombo vya habari kuhusu CDM na ruzuku ambayo imewekwa kisheria (haijawekwa kutokana hisani yake, au utashi wake.
 
huyo nilshamtioa katika mawazo yangu kama ni mtu mwenye busara. Kwanza katika nchi nyingine huwezi ukajua kama kuna Msajili wa vyama vya Siasa. Huwa wako kimya kabisa, hawapayuki ovyo kama huyu mtu. kauli zake kubwa na kutishia kuvifuta vyama, huku hajawahi kudfanya hivyo hata siku moja.

Kuna vyama kadha ni vya kifamilia, muda mrefu havijafanya uchaguzi kwa kupata viongozi, klakini anaviacha tu.
 
Mtu ukishaamua kuishabikia CCM hapohapo unageuka kuwa Zezeta.
Ndio haya yanayomkuta Tendwa.

Huwezi amini msajiri wa vyama vya siasa ambaye pia ni mlezi wa vyama vyote anatapika mashudu ya ajabu.
 
MODS naomba muwe fair na muunganishe hii thread vile vile na zile nyingine!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hivi wale Washihi ambao tendwa alisema wametangaza watamuua Lema akikanyaga arumeru waliishia wapi????

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Tendwa hana akili, nani kamwambia kuwa yeye ndio anatoa ruzuku!? Ruzuku ipo kikatiba kama ilivyo cheo chake lakini yeye personal ni bogus!
 
Sina uwezo tu,ndio inatokea napata chance kama ya wale walio muua mwangosi,Tendwa naweza kumlipua mara mbili double
 
Jaji Tendwa kwenye hili la kukata ruzuku ningependa alifanye haraka haraka, lengo kuu hapa ni kutuokolea fedha zetu wananchi zisiende katika matumbo ya hao MAJAMBAZI wasiotumia silaha.

Jeuri na kiburi chao tuone kitaishia wapi wapuuzi hao, kwanza kwanini asirejee katiba ya nchi imejieleza waziwazi kuhusu kutokuwa na uhalali wa hiki chama katika siasa za hapa nchini.

Katiba ya nchi imekataa kuwa na chama cha siasa ambacho kimeundwa kikanda, hapa kwenye hili la ukanda ukiangalia vyama vyote vya siasa utaona ni CHADEMA pekee ndio wamejazana WACHAGA na WA-ARUSHA.

Kama baba wa taifa angekuwa na akili kama ya hawa MAGWANDA leo hii nafasi zote ndani ya chama angewajaza watu wa MUSOMA, lakini akufanya hivyo, aliamini katika "binadamu wote ni sawa" na wote wana haki ya kupata fursa katika nafasi yeyote ndani ya chama au kitaifa.

Wewe mwananchi unaeipigania CHADEMA na kuiunga mkono, fanya tafiti na ukijue kwa undani wake, usiridhike kwa maneno ya hao wasanii wachumia tumbo, wataongea lolote hili wakuteke akili yako kwa lengo la kukutumia.

Mabadiliko ya hili taifa yatatokana na CCM, jambo la maana ni kuiacha serikali itekeleze ilani ya chama ya mwaka 2010 na muifanyie tathmini kutokana na yale yaliyoelezwa kwenye ilani ya chama, kama yametekelezwa au laa.

"BADILIKA UBADILI TAIFA".

kama kubadilika unakomaanisha ndiyo kujenga taifa basi hatutaendelea siku zote, tatizo lenu nyie magamba ukanda, udini na ukabila ndiyo vinavyowamaliza'. Dini ya mtu, kabila lake au kanda anayotokea sidhani kama propaganda hiyo itawasaidia nyie magamba.
 
waouwa ccm na serekal yke wapo weng! Naione uruma ccm yngu! Sure ata angekuwa babu yngu walai asingetoa majbu ya khanga kama ya uyu mzee..hs fraud leadr na dhair anaonyesha
 
Akuna sehemu kwenye katiba kinachosema kua tendwa akiitisha kongamano,basi vyama vitakazokosa na wakose ruzuku ya wananchi.Tendwa stop blabla zako hapa
Chadema walisema kususia kufanya shughuli zozote na tendwa sasa tendwa anajaribu chadema kama wanatembelea kwenya kauli yao
 
Back
Top Bottom