Chadema wagomea mwaliko wa Tendwa

Chadema wagomea mwaliko wa Tendwa

hivi wale washihi ambao tendwa alisema wametangaza watamuua lema akikanyaga arumeru waliishia wapi????

Sent from my blackberry 9700 using jamiiforums

mi nilishamwondoa tendwa kwemye database yangu zamanii kama jk na mkapa
 
jiulizeni hivi
1.tendwa ni mwanachama wa chama gani?
2.ameteuliwa na nani?
3.kabla ya uteuzi alitoka chama gani?
4.je yupo huru au anapata maelekezo toka kwa nani?
5. nani anamlipa mshahara?
siku zote nimuonavyo mimi ni wa CCM.


kwani watendaji wa serikalini ni dhambi kwao kuwa CCM?

jambo la msingi atekeleze majukumu yake kwa kuzingatia kanuni, taratibu na sheria.

sio dhambi kwa mtendaji kawa huyo kuwa mpenzi wa chama tawala, kwani CHADEMA wakefanikiwa kuchukua nchi wangemuweka nani kuwa msajiri wa vyama vya siasa kama sio mtu wao?

ukiwa chama tawala inabidi uwe na watu unaoweza kuendesha nao serikali kwa kuwa na imani moja, ulitaka wawaweke magamba ili mtufanyie fujo na kutupa shida kiutendaji?

Magamba kazi zenu nyinyi ni fujo na malumbano hakuna lingine mnalolijua. aaah nimesahau na uzalishaji katika viwanda vyenu vya uongo.
 
JUMAMOSI, SEPTEMBA 22, 2012 08:53 NA ARODIA PETER, DAR ES SALAAM

*Ashangazwa kutohudhuria kongamano la amani
*Adai kauli ya kukifuta ilitafsiriwa vibaya

KITENDO kilichofanywa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kususia kongamano la kujadili umuhimu wa amani, usalama wa nchi na wajibu la Jeshi la Polisi na vyama vya siasa, kimemtesa Msajili wa Vyama vya Siasa, John Tendwa.

Akizungumza wakati wa kongamano hilo mjini Dar es Salaam jana, Tendwa alisema kitendo cha CHADEMA kususia kongamano hilo si cha kiungwana.

Alisema, kongamano hilo, lilikuwa na nia njema ya kuwaweka karibu viongozi wa Jeshi la Polisi, vyama vya siasa pamoja na ofisi yake, ili kutafuta muafaka wa kitaifa.

Alisema CHADEMA kususia kongamano maana yake hawatimizi wajibu wa kisheria na haki, kwa maana hiyo, waendelee kuisusa pia ruzuku inayotolewa na ofisi yake.

"Kususia maana yake hutimizi wajibu, sheria, haki na Katiba ya nchi vinatambua mamlaka zilizopo, lakini pia nao wakichukua Serikali na wengine wawasusie?

"Kama hawamtaki yule anayetoa ruzuku, je watakuja kuidai? Sina tatizo na kususiwa, lakini nisusiwe kwa haki," alisema Tendwa.

Kuhusu kauli yake aliyotishia kufuta vyama vya siasa vilivyosababisha mauaji katika mikutano yake, alisema alikuwa hailengi CHADEMA kama alivyonukuliwa.

"Mimi nilizungumzia vyama vyote vya siasa, sikuilenga wala kuitaja CHADEMA, sasa hili la kusema nimewalenga wao linatoka wapi?"

 
kwani watendaji wa serikalini ni dhambi kwao kuwa CCM?

jambo la msingi atekeleze majukumu yake kwa kuzingatia kanuni, taratibu na sheria.

sio dhambi kwa mtendaji kawa huyo kuwa mpenzi wa chama tawala, kwani CHADEMA wakefanikiwa kuchukua nchi wangemuweka nani kuwa msajiri wa vyama vya siasa kama sio mtu wao?

ukiwa chama tawala inabidi uwe na watu unaoweza kuendesha nao serikali kwa kuwa na imani moja, ulitaka wawaweke magamba ili mtufanyie fujo na kutupa shida kiutendaji?

Magamba kazi zenu nyinyi ni fujo na malumbano hakuna lingine mnalolijua. aaah nimesahau na uzalishaji katika viwanda vyenu vya uongo.

kwani watendaji wa serikalini ni dhambi kwao kuwa CCM?

Wanakatazwa kujihusisha na siasa, ila si siasa za CCM

jambo la msingi atekeleze majukumu yake kwa kuzingatia kanuni, taratibu na sheria.

Kama atatekeleza ya CCM ni sawa si kwa vyama vingine vya siasa.

sio dhambi kwa mtendaji kawa huyo kuwa mpenzi wa chama tawala, kwani CHADEMA wakefanikiwa kuchukua nchi wangemuweka nani kuwa msajiri wa vyama vya siasa kama sio mtu wao?

Ni dhambi na ni kinyume cha sheria za serikali lakini kwa chama cha CCM ruksa; CDM watazingatia sheria pamoja na kuboresha hizo sheria.

ukiwa chama tawala inabidi uwe na watu unaoweza kuendesha nao serikali kwa kuwa na imani moja, ulitaka wawaweke magamba ili mtufanyie fujo na kutupa shida kiutendaji?

Udhaifu

Magamba kazi zenu nyinyi ni fujo na malumbano hakuna lingine mnalolijua. aaah nimesahau na uzalishaji katika viwanda vyenu vya uongo

Sawa kabisa ni kweli mmebobea
 
mbona Tendwa hajatoa kauli za kuvifuta ccm na cuf kwa matukio yaliyotokea uchaguzi mdogo wa bububu? hapa ndipo ninaanza kumuona Tendwa hapaswi kuaminika wala kukaa katika ofisi hiyo
 
Jaji Tendwa kwenye hili la kukata ruzuku ningependa alifanye haraka haraka, lengo kuu hapa ni kutuokolea fedha zetu wananchi zisiende katika matumbo ya hao MAJAMBAZI wasiotumia silaha.

Jeuri na kiburi chao tuone kitaishia wapi wapuuzi hao, kwanza kwanini asirejee katiba ya nchi imejieleza waziwazi kuhusu kutokuwa na uhalali wa hiki chama katika siasa za hapa nchini.

Katiba ya nchi imekataa kuwa na chama cha siasa ambacho kimeundwa kikanda, hapa kwenye hili la ukanda ukiangalia vyama vyote vya siasa utaona ni CHADEMA pekee ndio wamejazana WACHAGA na WA-ARUSHA.

Kama baba wa taifa angekuwa na akili kama ya hawa MAGWANDA leo hii nafasi zote ndani ya chama angewajaza watu wa MUSOMA, lakini akufanya hivyo, aliamini katika "binadamu wote ni sawa" na wote wana haki ya kupata fursa katika nafasi yeyote ndani ya chama au kitaifa.

Wewe mwananchi unaeipigania CHADEMA na kuiunga mkono, fanya tafiti na ukijue kwa undani wake, usiridhike kwa maneno ya hao wasanii wachumia tumbo, wataongea lolote hili wakuteke akili yako kwa lengo la kukutumia.

Mabadiliko ya hili taifa yatatokana na CCM, jambo la maana ni kuiacha serikali itekeleze ilani ya chama ya mwaka 2010 na muifanyie tathmini kutokana na yale yaliyoelezwa kwenye ilani ya chama, kama yametekelezwa au laa.

"BADILIKA UBADILI TAIFA".

Mbeya kwa wachaga
Iringa kwa wachaga
Kawe kwa wachaga
Ubungo kwa wachaga
Arusha kwa wachaga
Mwanza kwa wachaga
Kigoma kwa wachaga
Arumeru kwa wachaga
 
Sina utaratibu wa kubishana na VILAZA, maana ninaogopa kumpa mawazo yangu, wakati najua fika hawezi kuyachambua kwa udogo wa uwelewa, uweledi na umakini wake.

Wewe ni kilaza, kwahiyo si vyema nikabishana na wewe kwa uwezo mdogo ulionao wa hayo niliyoyaeleza hapo juu.

Kajifunze kufanya uchanganuzi wa mambo, kwa ushauri wa bure kabisa nakupa.

Jibu hoja, CCM hawajapiga bank kuu?
 
Hakuna kwenda basi,yeye ashaongea ujinga ujinga hakuna sababu ya kumuabudu,muacheni hadi hapo aliyempya ujeuri atakapo ona hafai.

anasema, "chadema wasusie ruzuku", huyu tendwa na shaka kama ni ni mwansheria halisia, fedha za ruzuku hatoi yeye, fedha ya walipa kodi, ns sheria si yeye bali ni sheria ya watanzania, kutokuwepo yeye, fedha hiyo lazima itatoka tu.mzee kada wa ccm, acha ulimwengu umpuuze na kumdharau
 
kwani watendaji wa serikalini ni dhambi kwao kuwa CCM? jambo la msingi atekeleze majukumu yake kwa kuzingatia kanuni, taratibu na sheria. sio dhambi kwa mtendaji kawa huyo kuwa mpenzi wa chama tawala, kwani CHADEMA wakefanikiwa kuchukua nchi wangemuweka nani kuwa msajiri wa vyama vya siasa kama sio mtu wao? ukiwa chama tawala inabidi uwe na watu unaoweza kuendesha nao serikali kwa kuwa na imani moja, ulitaka wawaweke magamba ili mtufanyie fujo na kutupa shida kiutendaji? Magamba kazi zenu nyinyi ni fujo na malumbano hakuna lingine mnalolijua. aaah nimesahau na uzalishaji katika viwanda vyenu vya uongo.
......................koooote umeandika utumbo mtupu, kwenye hizo paragraphs mbili za mwisho tu ndo umeandika ukweli usiopingika na huitaji kutumia miwani au microscope ili kuona MAGAMBA ndio wanaofanya fujo na kutupa shida kiutendaji, pia MAGAMBA kazi yao ni fujo na malumbano hakuna lingine wanalojua, aaah ulisahau na uzalishaji katika kiwanda chao cha uongo wakiongozwa na dhaifu na Nape wazee wa mipasho. Well done kijana!!!
 
mbona Tendwa hajatoa kauli za kuvifuta ccm na cuf kwa matukio yaliyotokea uchaguzi mdogo wa bububu? hapa ndipo ninaanza kumuona Tendwa hapaswi kuaminika wala kukaa katika ofisi hiyo

Maajabu mkuu wangu...
 
Back
Top Bottom