Hivi unamgomeaje Tendwa halafu unaendelea na kazi za kisiasa? Si uache siasa kabisa basi.
Kuna ka usemi kuwa ukisusa wenzio twala
Kuna ka usemi kuwa ukisusa wenzio twala
Mkuu sidhani kama Tendwa ana mamlaka stahiki kikatiba(nazungumzia katiba ya nchi) ya kuitisha semina kama hiyo, yeye anachoweza kufanya kutoa semina juu ya taratibu za usajili wa vyama na jinsi ya kutafuta wanachama mikoa ya bara na visiwani, kifupi juu ya usajili wa vyama. Mambo ya amani na usalama wa nchi yeye anahusikaje na yupo katika kamati gani ya mambo ya amani na usalama wa nchi? Tuache mchezo huyu Mzee mwenzangu pengine anaona hana kazi ya kufanya kumbe anajiundia vijikazi vya kufanya. Ni ushauri tu, angeenda kutembelea nchi nyingine zenye vyama vyingi aone kama kuna ofisi ya aina hiyo ambayo ni ya kudumu, nadhani ni TZ tu ambako tunaweza poteza pesa kuweka ofisi kama hiyo muda wote. Naomba mwenye Job description ya Msajili wa vyama vya Siasa aweke hapa ili tuone kama kipengele cha semina za amani na usalama wa nchi kipo.Kwa mtazamo wangu kataa neno sio wito, ni hayo tu. N ingekua poa CDM ndio kutumia semina hii kumfundisha Tendwa.
Kuna ka usemi kuwa ukisusa wenzio twala
Dawa ya korofi ndio hiyo ni kumchanganya ki saikolojia na hatimae aondoke kwa aibu.
Msajili Tendwa hana maadili kabisa, kama mzee wa kanisa la Roma Parokia ya Kibamba katelekeza mke huku Kibamba na kumchukua binti wa mzee mwenzie wa kanisa aitwaye Catherine ndio anaishi naye huko Kibangu. Sasa mtu kama huyu ataweze vipi kulea taasisi kama vyama vya siasa?
Msajili Tendwa hana maadili kabisa, kama mzee wa kanisa la Roma Parokia ya Kibamba katelekeza mke huku Kibamba na kumchukua binti wa mzee mwenzie wa kanisa aitwaye Catherine ndio anaishi naye huko Kibangu. Sasa mtu kama huyu ataweze vipi kulea taasisi kama vyama vya siasa?