tatanyengo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 1,134
- 280
Kumbe rizuku ya vyama vya siasa inatolewa na familia ya John Tendwa.
Hivi kwanini huyu mzee Tendwa akiongea anabana pua?
Katika kile kinachoonekana kuwa ndio mwelekeo wa matukio kama Pipooz pawa itaendelea, na CDM kuendelea kumgomea Msajili wa vyama Jaji John Tendwa, yeye ameenda mbali zaidi na kutishia kukata ruzuku ya CDM.
CDM wamealikwa pamoja na vyama vingine vyote kwenye kikao cha "usuluhishi" na mashauriano kati yake na vyombo vya serikali lakini wamekataa mwaliko huo.
Kikao hiki ni kufuatia matukio mabaya sana yaliyopelekea wananchi kadhaa kupoteza maisha katika mihadara na maandamano ya CDM mikoani ambayo udhibiti wake uliofanywa na Jeshi la Polisi umeleta utata mkubwa.
Tishio la Tendwa ingawaje siyo direct, linawakaribisha CDM kuendelea kususia shughuli zinazopangwa na Msajili wa Vyama, na kwa vile ofisi ya Msajili ndiyo inayo shughulikia ruzuku ya vyama, basi matokeo yake yatakuwa dhahiri-ikiwa ni sawa na kususia ruzuku!!
Source: Majira(front page) and Mwananchi(page 4)
My Take:
CDM dont let your fame go to your head!!!
Hivi jina la Tendwa lina maana gani? Nauliza hivi coz tunaweza mlaumu kumbe anakuwa biased b'se of his name's meaning.
Mkuu hili neno TENDWA ni neno la kabila la Kipare maana yake TEENDWA NI (HAPENDWI,HAHITAJIKI, HATAKIWI).Hivi jina la Tendwa lina maana gani? Nauliza hivi coz tunaweza mlaumu kumbe anakuwa biased b'se of his name's meaning.
Unajuwa ni vizuri kwa mtu wa level na taaluma yake akaquote kifungu cha sheria anachokisimamia kutoa kauli/vitisho vyake vinginevyo tunazidi kumuona adui no 1 wa demokrasia nchini.
Na kama kuna shabiki wa CCM ambaye ana mawazo chanya hatoweza kamwe kushabikia vitendo vya kitumbafu vinavyofanywa na baadhi ya watendaji wa serekali wenye dhamana kama kina tendwa na kamuhanda (just to mention few) kwani badala ya kuubomoa upinzani kama wanavyodhani kinauongezea umaarufu na kuwafanya hata wasioushabikia wafanye hivyo kwani huhitaji akili nyingi sana kuonana kukerwa na yanayofanywa.
Kumbe rizuku ya vyama vya siasa inatolewa na familia ya John Tendwa.
Hakuna mwananchi mwenye akili timamu anaebabaishwa na umaarufuu wa kipumbavu wa chadema.
Lijue hilo mkuu.
Hakuna mwananchi mwenye akili timamu anaebabaishwa na umaarufuu wa kipumbavu wa chadema.
Lijue hilo mkuu.
Katika kile kinachoonekana kuwa ndio mwelekeo wa matukio kama Pipooz pawa itaendelea, na CDM kuendelea kumgomea Msajili wa vyama Jaji John Tendwa, yeye ameenda mbali zaidi na kutishia kukata ruzuku ya CDM.
CDM wamealikwa pamoja na vyama vingine vyote kwenye kikao cha "usuluhishi" na mashauriano kati yake na vyombo vya serikali lakini wamekataa mwaliko huo.
Kikao hiki ni kufuatia matukio mabaya sana yaliyopelekea wananchi kadhaa kupoteza maisha katika mihadara na maandamano ya CDM mikoani ambayo udhibiti wake uliofanywa na Jeshi la Polisi umeleta utata mkubwa.
Tishio la Tendwa ingawaje siyo direct, linawakaribisha CDM kuendelea kususia shughuli zinazopangwa na Msajili wa Vyama, na kwa vile ofisi ya Msajili ndiyo inayo shughulikia ruzuku ya vyama, basi matokeo yake yatakuwa dhahiri-ikiwa ni sawa na kususia ruzuku!!
Source: Majira(front page) and Mwananchi(page 4)
My Take:
CDM dont let your fame go to your head!!!