Hivi unamgomeaje Tendwa halafu unaendelea na kazi za kisiasa? Si uache siasa kabisa basi.
Wakati mwingine inabidi usome na uelewe, CDM wanasema hawatashiriki shughuli zinazosimamiwa na Tendwa lakini wataheshimu sheria za nchi. kwa akili zako unadhani siasa za Tanzania ni lazima Tendwa awepo? Hivi leo unadhani ukiitishwa uchaguzi na tume ya uchaguzi CDM hawatashiriki, hivi kuheshimu sheria za nchi na kutokumjali Tendwa huoni kama kuna tofauti. Hata kama umekunywa viroba tulia kwanza kabla hujakurupuka