Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,017
- 9,885
Jimbo la Konde, Zanzibar lilikuwa wazi kufuatia kifo cha Mbunge Khatib Haji. Hivyo Baraza la Uchaguzi lilitangaza uchaguzi mdogo
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe amewalaumu wanachama na uongozi wa CHADEMA waliojitokeza kuwania nafasi hiyo kwa kuwa msimamo wa chama ni kutoshiriki uchaguzi wowote
Wananchi wa Konde wanatarajia kupiga kura Julai 18
Kata zinazofanya Uchaguzi wa Madiwani ni za Tanzania Bara
Kampeni zitaanza Juni 28 - Julai 17 na Kura zitapigwa Julai 18
Pia soma >
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe amewalaumu wanachama na uongozi wa CHADEMA waliojitokeza kuwania nafasi hiyo kwa kuwa msimamo wa chama ni kutoshiriki uchaguzi wowote
Wananchi wa Konde wanatarajia kupiga kura Julai 18
Kata zinazofanya Uchaguzi wa Madiwani ni za Tanzania Bara
Kampeni zitaanza Juni 28 - Julai 17 na Kura zitapigwa Julai 18
Pia soma >
CHADEMA imeweka Mgombea jimbo la Konde. Je, ni kuhalalisha Tume ya Uchaguzi?
Katika siku za hivi karibuni Chama cha Demokrasia na maendeleo, kupitia viongozi, wanachama na washabiki wake kote nchini, waliutangazia umma kuwa hawatashiriki uchaguzi wowote kama hakutakuwa na tume huru ya Uchaguzi. Mbaya zaidi ikakinyooshea kidole chama cha ACT Wazalendo, kilichoshiriki...
www.jamiiforums.com