zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Ni imani yangu kabisa ya kisiasa, hususan hii tuliyonayo sasa ya vyama vingi, ni kuwa vyama vya upinzani ni chachu ya maendeleo kwa Taifa, upinzani ni wasimamizi wakuu wa madudu yoyote yataefanywa na yeyote awepo katika uongozi wa Serikali. Kwa kuwa CHADEMA kwa kipindi hiki ni chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania
Naomba maoni ya wana chadema vipi Muungano wa Tanganyika na Zanzibar uboreshwe?
Naomba maoni ya wana chadema vipi Muungano wa Tanganyika na Zanzibar uboreshwe?