Jiulize kama Zanzibar ingekuwa haipo hapo ingekuwaje. Dhana yako ni ya WOGA tuu na sijui ni kwa nini!Ewe mwenye shingo ngumu hujawahi kusikia baba wa Taifa akisema nje ya muungano ni wachaga na wangoni? sasa unaposema muungano uvunjike kwanza una maana gani? ushindwe
Ikiwa huo ndio msimamo wa chadema niko pamoja nao kwa hilo, au mleta mada anatafuta sympathy tu?
Ewe mwenye shingo ngumu hujawahi kusikia baba wa Taifa akisema nje ya muungano ni wachaga na wangoni? sasa unaposema muungano uvunjike kwanza una maana gani? ushindwe
Ukweli ni kwamba muungano utafanyiwa marekebisho ili uwe muungano wa watanganyika na wazanzibar na sio huu wa Nyerere na Karume
Ukweli ni kwamba muungano utafanyiwa marekebisho ili uwe muungano wa watanganyika na wazanzibar na sio huu wa Nyerere na Karume