wao wana nchi yao ,wana bendera yao , wana bunge lao ,wanavikosi vyao vya ulinzi , je Tanganyika yetu ipo wapi , babu zetu waliochangia hela zao kutoka kwnye mashamba ya mkonge,chai ,kahawa walichangia kwa ajili ya TANGANYIKA na wala Tanzania maana kabla ya 1964 hakukuwa na nchi kama hyo lakini TANGANYIKA ilisurvive, na kingne kinachotuudhi hawa wenzetu kuhisi tunawanyonya , bora huu muungano utupiliwe mbali na wala kuc we na muungano mkataba , maana wenzetu ni wasumbufu, kila mtu achukue chake na ajue lwake kama EAC mwaka 1977.