JFMatumbulu
Member
- Jul 18, 2012
- 57
- 11
nani kakutuma?
Binafs sijawa nikijihusisha na chama chochote so i declare am not political affiliated.ILA NI MPENZ WA SIASA TOKA
MWAKA 1992 ENZI ZA C.MTIKILA NA SIASA ZA UTANGANYIKA.NLIMPENDA SANA KWA SERA NA UJASIRI WAKE.NOW C.MTIKILA NLIYEMFAHAMU HAYUPO NASI WATANGANYIKA.KWA SASA NAANGALIA MTU BINAFS BILA KUJAL CHAMA.
CHADEMA MNA MAMBO KADHAA YA KUYAANGALIA KTK SAKATA HILI LA LWAKATARE
1. hebu angalieni uhalali wa ile video kwa makin na kwa kutumia wataalam msikanushe tu kuwa ni fake bila kuja na hoja za kitaalamu
2. muwe wa kwel kama mnamfaham ludovic au hamumfaham na mnafahm kias gan.then hapo mtajipanga zaid kujua kwa nin alirecord hyo video
3. mjiangalie ni wap mlipokosea.ni kwa dr slaa,mbowe,zitto,lwakatare,ludovic? na hapo pia muwe tayar kukabiliana na matokeo yake.
4. kama mlikuwa mnatumia strategy hizo kuwanyamazisha wapinzan wa watu flan ndan ya chama na nje.ni strategy mbaya kabisa na totally inhuman hilo hatuwez lifumbia macho ni kama CCM wanavyo deal na wapinzan flan.
5. mnamjua vizur lwakatare?alipataje cheo cha kuwa kitengo cha usalama,alisomea mambo hayo wap kwa kiwango gan.
6. ludovic anawajua ninyi kwa kiwango gan na yukoje sasa....state of mind.je hatoongea zaid na zaid kama kuna mengne.je nyuma yake wapo akina nan?
7. msiendeshe jambo hil kishabik.mje na hoja mujarab na za kisayans na si kushabikia tu
8. kuna uhusiano gan ktk ya video hiyo na CCM? aliposema mwigulu mchemba ana video yenu mkipanga kufanya mauaji mlichukua hatua gani?
9. mjihadhar na vita ya kugombea madaraka ndan ya chama chenu hiyo itawahaaribu sana.msimfanye zitto adui wala dr slaa adui.hakuna aliyezaliwa awe kiongoz.kama hal mbaya inaletwa na watu flan waondoen ktk nafas hiyo wanayoitaka au viongoz CDM ni hao hao tu?
10. kaeni mjitafakari kwa kina mwenendo wa chama chenu na taswira yake ktk jamii.msisahau ilikuwepo NCCR MAGEUZI,CUF na sasa mnawaona walivyo.
kama hal mbaya inaletwa na watu flan waondoen ktk nafas hiyo wanayoitaka au viongoz CDM ni hao hao tu?
Mi nilifikiri unakuja na uchambuzi wenye kutoa uelekeo wa kilichojiri juu ya hiyo Clip inayomuhusu Lwakatare badala yake unakuja na hizo hoja nyepesi zilizojaa uchochezi na fitina za kizamani: we hoja ya Lwakatare naona uijui ni bora ukae kimya Mahakama ifanye kazi yake.Binafs sijawa nikijihusisha na chama chochote so i declare am not political affiliated.ILA NI MPENZ WA SIASA TOKA
MWAKA 1992 ENZI ZA C.MTIKILA NA SIASA ZA UTANGANYIKA.NLIMPENDA SANA KWA SERA NA UJASIRI WAKE.NOW C.MTIKILA NLIYEMFAHAMU HAYUPO NASI WATANGANYIKA.KWA SASA NAANGALIA MTU BINAFS BILA KUJAL CHAMA.
CHADEMA MNA MAMBO KADHAA YA KUYAANGALIA KTK SAKATA HILI LA LWAKATARE
1. hebu angalieni uhalali wa ile video kwa makin na kwa kutumia wataalam msikanushe tu kuwa ni fake bila kuja na hoja za kitaalamu
2. muwe wa kwel kama mnamfaham ludovic au hamumfaham na mnafahm kias gan.then hapo mtajipanga zaid kujua kwa nin alirecord hyo video
3. mjiangalie ni wap mlipokosea.ni kwa dr slaa,mbowe,zitto,lwakatare,ludovic? na hapo pia muwe tayar kukabiliana na matokeo yake.
4. kama mlikuwa mnatumia strategy hizo kuwanyamazisha wapinzan wa watu flan ndan ya chama na nje.ni strategy mbaya kabisa na totally inhuman hilo hatuwez lifumbia macho ni kama CCM wanavyo deal na wapinzan flan.
5. mnamjua vizur lwakatare?alipataje cheo cha kuwa kitengo cha usalama,alisomea mambo hayo wap kwa kiwango gan.
6. ludovic anawajua ninyi kwa kiwango gan na yukoje sasa....state of mind.je hatoongea zaid na zaid kama kuna mengne.je nyuma yake wapo akina nan?
7. msiendeshe jambo hil kishabik.mje na hoja mujarab na za kisayans na si kushabikia tu
8. kuna uhusiano gan ktk ya video hiyo na CCM? aliposema mwigulu mchemba ana video yenu mkipanga kufanya mauaji mlichukua hatua gani?
9. mjihadhar na vita ya kugombea madaraka ndan ya chama chenu hiyo itawahaaribu sana.msimfanye zitto adui wala dr slaa adui.hakuna aliyezaliwa awe kiongoz.kama hal mbaya inaletwa na watu flan waondoen ktk nafas hiyo wanayoitaka au viongoz CDM ni hao hao tu?
10. kaeni mjitafakari kwa kina mwenendo wa chama chenu na taswira yake ktk jamii.msisahau ilikuwepo NCCR MAGEUZI,CUF na sasa mnawaona walivyo.
Tatizo tulilo nalo humu linaletwa na kitengo cha kupambana mitandaoni cha slaa!Mleta mada umegusa mambo mhm sana lakini subiri matusi kutoka kwa vijana wako apa utaniambia, yangu macho.
kitengo cha kupambana mitandaoni@work!Mi nilifikiri unakuja na uchambuzi wenye kutoa uelekeo wa kilichijiri juu ya hiyo Clip inayomuhusu Lwakatare badala yake unakuja na hizo hoja nyepesi zilizojaa uchochezi na fitina za kizamani: we hoja ya Lwakatare naona uijui na bora ukae kimya Mahakama ifanye kazi yake.
ndg Lonesome. wewe upo kt ya wengi wenye msimamo wa kati ila bandiko lako lina shambulia upande moja. Cdm hawawezi kuwa wajinga hivyo. Kumbuka kuna kitu kinaitwa 'ujasusi'. kama wewe ni mtu mzima utakumbuka enzi za vita baridi kati ya magharibi na mashariki. Au vita vya ukombozi ambapo tulishuhudia vichaa wakiokota makopo mitaani kumbe ni mashushu wa wapigania uhuru wakitafuta habari pembezoni mwa balozi za maadui. Hapa namaanisha uko sawa kabisa kuwa ludo na lwaka huenda wakawa ni mapandikizi ya enzi ndani ya cdm. Katika bandiko lako ungemalizia na kuonya upande mwingine je kwa waliowatuma kwa nini wafanye hivyo kweli Cdm imekuwa tishio hadi kuanza mbinu hizi kama ni ndio nani wa kulaumiwa? pili wanaotumia njia hii hufanikiwa kwa asilimia mia? na kwa hili kuna dalili ya kufanikiwa kweli? Njia hii huandamana na extermination. silencing, ambayo lazima wananchi hawatachelewa kugundua na kuamua kusympasise na upinzani. Wewe hapa na wengine wengi tayari wameshahofia kuwa ni maigizo na usaliti tu, kwa hisia hizi tu tayari si habari njema kwa lwaka na ludo. kwa wengine tunaona cdm inapitishwa tanuruni iive zaidi bila ya matarajio. Cdm nionavyo haikukurupuka na kuhamaki kutokana na upande wa pili kutamka uwepo wa video hiyo kwa vile they were not guilty, la sivyo ungesikia hata mvurugano wa ndani ukimhusisha yeyote kati ya lwaka au ludo na uongozi. Ujasusi ni mambo ya kawaida ila hatari kwa upande unaotekeleza maana ukishindwa unawavua nguo na hata waliotumwa wakashindwa adhabu yao ni kaburi. Angalia movie iitwayo 'Ending game'
na wewe huo ni mtazamo wako, its your right to comment.kitengo cha kupambana mitandaoni@work!
Hata mimi naamini hivyo kwamba hii inamhusu kila mmoja wetu. (MTZ mwenye uchungu wa kweli na nchi yake na mwenye utaifa)
Mimi kinachonisumbua na kinachonikatisha tamaa ni kwanini hawa watu wa Usalama wasifanye kazi watumie mitandao kupata simple evidences. Hii inaonyesha kuwa wamerelax kiasi kikubwa hawafanyi tena kazi. Wapo wapo tu.
Mleta mada umegusa mambo mhm sana lakini subiri matusi kutoka kwa vijana wako apa utaniambia, yangu macho.
Binafs sijawa nikijihusisha na chama chochote so i declare am not political affiliated.ILA NI MPENZ WA SIASA TOKA
MWAKA 1992 ENZI ZA C.MTIKILA NA SIASA ZA UTANGANYIKA.NLIMPENDA SANA KWA SERA NA UJASIRI WAKE.NOW C.MTIKILA NLIYEMFAHAMU HAYUPO NASI WATANGANYIKA.KWA SASA NAANGALIA MTU BINAFS BILA KUJAL CHAMA.
CHADEMA MNA MAMBO KADHAA YA KUYAANGALIA KTK SAKATA HILI LA LWAKATARE
1. hebu angalieni uhalali wa ile video kwa makin na kwa kutumia wataalam msikanushe tu kuwa ni fake bila kuja na hoja za kitaalamu
2. muwe wa kwel kama mnamfaham ludovic au hamumfaham na mnafahm kias gan.then hapo mtajipanga zaid kujua kwa nin alirecord hyo video
3. mjiangalie ni wap mlipokosea.ni kwa dr slaa,mbowe,zitto,lwakatare,ludovic? na hapo pia muwe tayar kukabiliana na matokeo yake.
4. kama mlikuwa mnatumia strategy hizo kuwanyamazisha wapinzan wa watu flan ndan ya chama na nje.ni strategy mbaya kabisa na totally inhuman hilo hatuwez lifumbia macho ni kama CCM wanavyo deal na wapinzan flan.
5. mnamjua vizur lwakatare?alipataje cheo cha kuwa kitengo cha usalama,alisomea mambo hayo wap kwa kiwango gan.
6. ludovic anawajua ninyi kwa kiwango gan na yukoje sasa....state of mind.je hatoongea zaid na zaid kama kuna mengne.je nyuma yake wapo akina nan?
7. msiendeshe jambo hil kishabik.mje na hoja mujarab na za kisayans na si kushabikia tu
8. kuna uhusiano gan ktk ya video hiyo na CCM? aliposema mwigulu mchemba ana video yenu mkipanga kufanya mauaji mlichukua hatua gani?
9. mjihadhar na vita ya kugombea madaraka ndan ya chama chenu hiyo itawahaaribu sana.msimfanye zitto adui wala dr slaa adui.hakuna aliyezaliwa awe kiongoz.kama hal mbaya inaletwa na watu flan waondoen ktk nafas hiyo wanayoitaka au viongoz CDM ni hao hao tu?
10. kaeni mjitafakari kwa kina mwenendo wa chama chenu na taswira yake ktk jamii.msisahau ilikuwepo NCCR MAGEUZI,CUF na sasa mnawaona walivyo.
nani kakutuma?
Binafs sijawa nikijihusisha na chama chochote so i declare am not political affiliated.ILA NI MPENZ WA SIASA TOKA
MWAKA 1992 ENZI ZA C.MTIKILA NA SIASA ZA UTANGANYIKA.NLIMPENDA SANA KWA SERA NA UJASIRI WAKE.NOW C.MTIKILA NLIYEMFAHAMU HAYUPO NASI WATANGANYIKA.KWA SASA NAANGALIA MTU BINAFS BILA KUJAL CHAMA.
CHADEMA MNA MAMBO KADHAA YA KUYAANGALIA KTK SAKATA HILI LA LWAKATARE
1. hebu angalieni uhalali wa ile video kwa makin na kwa kutumia wataalam msikanushe tu kuwa ni fake bila kuja na hoja za kitaalamu
2. muwe wa kwel kama mnamfaham ludovic au hamumfaham na mnafahm kias gan.then hapo mtajipanga zaid kujua kwa nin alirecord hyo video
3. mjiangalie ni wap mlipokosea.ni kwa dr slaa,mbowe,zitto,lwakatare,ludovic? na hapo pia muwe tayar kukabiliana na matokeo yake.
4. kama mlikuwa mnatumia strategy hizo kuwanyamazisha wapinzan wa watu flan ndan ya chama na nje.ni strategy mbaya kabisa na totally inhuman hilo hatuwez lifumbia macho ni kama CCM wanavyo deal na wapinzan flan.
5. mnamjua vizur lwakatare?alipataje cheo cha kuwa kitengo cha usalama,alisomea mambo hayo wap kwa kiwango gan.
6. ludovic anawajua ninyi kwa kiwango gan na yukoje sasa....state of mind.je hatoongea zaid na zaid kama kuna mengne.je nyuma yake wapo akina nan?
7. msiendeshe jambo hil kishabik.mje na hoja mujarab na za kisayans na si kushabikia tu
8. kuna uhusiano gan ktk ya video hiyo na CCM? aliposema mwigulu mchemba ana video yenu mkipanga kufanya mauaji mlichukua hatua gani?
9. mjihadhar na vita ya kugombea madaraka ndan ya chama chenu hiyo itawahaaribu sana.msimfanye zitto adui wala dr slaa adui.hakuna aliyezaliwa awe kiongoz.kama hal mbaya inaletwa na watu flan waondoen ktk nafas hiyo wanayoitaka au viongoz CDM ni hao hao tu?
10. kaeni mjitafakari kwa kina mwenendo wa chama chenu na taswira yake ktk jamii.msisahau ilikuwepo NCCR MAGEUZI,CUF na sasa mnawaona walivyo.
Haya mambo yatakuwa yameanza kufanyika siku nyingi lakini yalikuwa hayajulikani, sasa mchawi tumeshamjua
Wakati flan najiuliza hivi wanaotukana na kutoa majibu ya kipuuz puuz wanaifaham siasa au ni washabiki wa siasa? hii siasa kuna watu wachache sana wanaoifahamu. wanasiasa wa kweli ni wachache sana in case hujui.watu wengi humu ni ngazi za watu flan kupandia kueleka katika matakwa yao. na hawa ni watoto wa maskin kabisa ambao wanishi kwa ahadi na vijicent kidogo vya kuwafanya kesho tena warud kuja kuomba na kulamba watu miguu. ni mtaji wa wanasiasa.HAKUNA CHAMA WALA MTU ATAKAYE KUKOMBOA.JIKOMBOE MWENYEWE NDUGU YANGU. Hawa wanasiasa angalie maisha wanayoish na nyie mnayoishi. angalien wao wanaishi wap wanatumia vyombo gan vya usafiri na matibabu yao. angalia wewe unaishi vipi? napenda siasa.ila sipend kuwa mtumwa wa mwanasiasa yeyote napenda kuwa na fikra huru na hili hunifanya nipate muda wa kuhoji na kuhoji maswala ambayo mshabiki wasiasa hapati muda wa kuhoji. binafsi sina tatizo na CHADEMA wala CCM.ILA NINA TATIZO NA MATENDO YA BAADHI YA WATU KATIKA VYAMA HIVYO.TATIZO TUNAPOTANGULIZA VYAMA MBELE NA KUSAHAU UTAIFA.MATOKEI YAKE TUNAWAZA KIVYAMA VYAMA .
Sio kila mtu anafanya Siasa, wengine tunatumia akili zetu katika kuchanganua mambo. Siasa unafanya wewe ndo maana kila linalohitaji umakini wewe unaleta siasa zako hata kwa watu wenye heshima zetu?