CHADEMA, video ya Lwakatare ukweli wake huu hapa

CHADEMA, video ya Lwakatare ukweli wake huu hapa

Status
Not open for further replies.
Unatowa ushauri wakati muziki umeisha.kesi hii iko mahakamani wewe subiri vichwa vya CHADEMA vinavyokwenda kumuabisha mzee mzima mahakamani.
 
Haya mambo yatakuwa yameanza kufanyika siku nyingi lakini yalikuwa hayajulikani, sasa mchawi tumeshamjua

Mkuu, Kama hutajali unaweza kututajia aina ya mswaki unaotumi kuswaki!
 
CDM imejaa mamluki na hii itawaharibia sana!!! Wapo mamluki ndani ya uongozi wa CDM na wanachama pia! I doubt kama Lwakatare is a serious and committed CDM member!!!! Just thinking aloud!! Ila pia kama mleta mada alivyosema, chukueni wataalam waisome ile video ili muweze kuwa na technical defence as well!!! Tanzania badala ya kutumia technical know how katika kupata majority support wanahangaika kutumia njia za kipuuzi!!! By the way hata hiyo video haina mashiko, watanzania wameshachoka na walishajua umafia wa chama kimoja over kingine!! watu si mbumbumbu kama miaka ya 47!!! Miaka inasonga na uelewa wa watu unakua hata na fix wanazijua!! Huko mitaani tunaishi na watu waliposikia habari za video magazetini na TV walinanga, tena hadharani wazee utasikia si mbinu za chama fulani!! Wanatuchosha hao!! Watu wanataka kusikia maisha bora kwa kila mtanzani anayetaabika kwa sasa na si mambo ya video vya kuchonga!! Haikulipa, it is abborted mission!!

zogwale una uelewa mzuri.na kama CDM haitojiangalia mi nakwambia itaanguka.inabid wachunguzane wenyewe.hii video tupende tusipende ina impact kubwa nenda vijijin hta mjin pia.kama ni kwel au si kwel utolewe ushahid wa kisayans jaman.na tukumbe uovu hauna rang wala itikad .tutumie akil zetu na pia tuhoj kama watu wali elimika
 
Mkuu hiyo thread ni yako peke yako au namna gani mkuu, naona una post mara kumi kumi, By the way, ni ukweli gani aliousema mleta mada zaidi ya kuuliza tu maswali ambayo hata yeye anahitaji majibu.Kwa sababu unazozijua mwenyewe umeamua kuwa mtu asiyefikiri, jitathimini upya.

Taarifa kutoka Lumumba zinasema siku hizi malipo ni kutokana na wingi wa posts , na ndiyo maana huyu Utaifakwanza kwenye thread moja anapost 50 japo hakuna hata moja ya viwango vya jf .
 
Think tank ya CHADEMA ya kwenye mtandao hawawezi kujibu hoja zaidi ya kutukana.

Ungepost sifa za viongozi wa CHADEMA, ungekuwa mpaka sasa hazipungui likes 47.

Wanatamani Tanzania iwe ya mfumo wa chama kimoja kiitwacho CHADEMA.

Hilo halitawezekana chini ya jua kutokana na nature ya mwanadamu!



Wewe uelewa wako ni mdogo tu.
Hivi kwenye post hiyo umeona pana HOJA ya kujibu?
Mleta thread katoa ushauri kwa CDM, wewe vipi?
 
CHADEMA has gone million miles beyond your scope! A thousand suggestions have been/are being dealt. Keep supporting the party virtually
 
Laiti kama wangemuhoji aliyeiweka hiyo video mtandaoni, ningewaona at least wanazo japo za kuvukia barabara. Kumtenga aliyeiweka hiyo Video mtandaoni, ili aweze kuwa shahidi namba moja huku Ukitegemea haki itatendeka hapo itakuwa ni kichekesho cha mwaka.

Eee bhana Kwani una uhusiano wowote na Mh. Hamis Kigwangwala ? Tukija kwenye hoja yako , ni kwamba hawawezi kumhoji aliyeweka ile video You Tube kwa vile huu ni mpango Maalum , kila kitu wanakijua , hivi umejiuliza kama waliomtoboa jicho Kibanda kama wamejulikana au kama kuna juhudi zozote za kuwatafuta ?
 
Mkuu wangu lenosome hebu kuwa na utulivu basi na umbea na kiherehere uache kwani ni aibu mwanaume kama kama ww kusutwa, Nchi ipo katika ugeni mzito wa Rais wa china alafu we unaanza kuleta habar za Rwakatare na wakati unajua kabisa kuwa ni upepo pia zipo mahakamani.

Shauri yako w gamba mnafiki.
 
Last edited by a moderator:
Demokrasi ni kitu kigume sana,kuleta demokrasi ya kweli katika nchi kama Tanzania sio kitu cha urahisi,Watanzania bado wanatakiwa waelimishwe nini hasa ya maana ya demokrasi kwani demokrasi haiko kwenye siasa tu bali iko hata kwenye maisha kawaida
 
zogwale una uelewa
mzuri.na kama CDM haitojiangalia mi nakwambia itaanguka.inabid
wachunguzane wenyewe.hii video tupende tusipende ina impact kubwa nenda
vijijin hta mjin pia.kama ni kwel au si kwel utolewe ushahid wa kisayans
jaman.na tukumbe uovu hauna rang wala itikad .tutumie akil zetu na pia
tuhoj kama watu wali elimika

Yes, impact itakuwa kubwa.
Wananchi wanachotaka kutoka CCM kwa sasa ni MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA.
Imebaki miaka 2 ramani bado haisomeki.
Video hii ITAKUWA NA IMPACT KUBWA.
 
Yote unayosema ni kweli, haya tunaomba na Mwigulu Lameck Nchemba naye aje na video yake ambaye taarifa za chini ya kapeti zinasema nayo iko hatua za mwisho kutengenezwa, itatoka soon! Zote tutazikubali, baada ya hapo aibu inakwenda wapi? Sana sana ninachokiona ni kwamba jamii forum itakuwa ni sehemu ya Usalama wa Taifa tena leading team, hatari sana hii!!!! Mkuu usiogope wala usihamanike, hii staili ya kuukana ukweli ni somo toka CCM, tena unfortunately toka kwa Mwenyekiti Taifa, ushahidi upo. Usisahau alivyoikana DOWANS mbele ya taifa Zima, wacha watu wamshangae! CCM kama kawaida wakamshangilia, leo hii mnashangaa nini mbegu mliyoipanda wenyewe? Kubalini kataeni, CHADEMA isingekuwepo Watanzania wangeuzwa utumwani pamoja na wewe!!! Muda utaamua....
Hao watu unaowaambia hawapendi ukweli usemwe
 
Think tank ya CHADEMA ya kwenye mtandao hawawezi kujibu hoja zaidi ya kutukana.

Ungepost sifa za viongozi wa CHADEMA, ungekuwa mpaka sasa hazipungui likes 47.

Wanatamani Tanzania iwe ya mfumo wa chama kimoja kiitwacho CHADEMA.

Hilo halitawezekana chini ya jua kutokana na nature ya mwanadamu!



Ww hebu acha hoja zako mufilisi za kipepo, umbea ni aibu kwa mwanaume mbaba kama ww.
 
Sasa ukweli uliosema uko wapi hapo?
Au unajifunza kuandika habari za udaku nini?
 
CHADEMA: 'Video ya Lwakatare ukweli wake huu hapa'
Then maswali (? ? ?)
Sijakuelewa unasemaje
 
Binafs sijawa nikijihusisha na chama chochote so i declare am not political affiliated.ILA NI MPENZ WA SIASA TOKA
MWAKA 1992 ENZI ZA C.MTIKILA NA SIASA ZA UTANGANYIKA.NLIMPENDA SANA KWA SERA NA UJASIRI WAKE.NOW C.MTIKILA NLIYEMFAHAMU HAYUPO NASI WATANGANYIKA.KWA SASA NAANGALIA MTU BINAFS BILA KUJAL CHAMA.
CHADEMA MNA MAMBO KADHAA YA KUYAANGALIA KTK SAKATA HILI LA LWAKATARE
1. hebu angalieni uhalali wa ile video kwa makin na kwa kutumia wataalam msikanushe tu kuwa ni fake bila kuja na hoja za kitaalamu
2. muwe wa kwel kama mnamfaham ludovic au hamumfaham na mnafahm kias gan.then hapo mtajipanga zaid kujua kwa nin alirecord hyo video
3. mjiangalie ni wap mlipokosea.ni kwa dr slaa,mbowe,zitto,lwakatare,ludovic? na hapo pia muwe tayar kukabiliana na matokeo yake.
4. kama mlikuwa mnatumia strategy hizo kuwanyamazisha wapinzan wa watu flan ndan ya chama na nje.ni strategy mbaya kabisa na totally inhuman hilo hatuwez lifumbia macho ni kama CCM wanavyo deal na wapinzan flan.
5. mnamjua vizur lwakatare?alipataje cheo cha kuwa kitengo cha usalama,alisomea mambo hayo wap kwa kiwango gan.
6. ludovic anawajua ninyi kwa kiwango gan na yukoje sasa....state of mind.je hatoongea zaid na zaid kama kuna mengne.je nyuma yake wapo akina nan?
7. msiendeshe jambo hil kishabik.mje na hoja mujarab na za kisayans na si kushabikia tu
8. kuna uhusiano gan ktk ya video hiyo na CCM? aliposema mwigulu mchemba ana video yenu mkipanga kufanya mauaji mlichukua hatua gani?
9. mjihadhar na vita ya kugombea madaraka ndan ya chama chenu hiyo itawahaaribu sana.msimfanye zitto adui wala dr slaa adui.hakuna aliyezaliwa awe kiongoz.kama hal mbaya inaletwa na watu flan waondoen ktk nafas hiyo wanayoitaka au viongoz CDM ni hao hao tu?
10. kaeni mjitafakari kwa kina mwenendo wa chama chenu na taswira yake ktk jamii.msisahau ilikuwepo NCCR MAGEUZI,CUF na sasa mnawaona walivyo.

Sasa huo uhalisia wa hiyo video upo wapi?mbona maelezo yako na title haviendani?? THINK BIG,HIT THE POINT..
 
Mkuu hiyo thread ni yako peke yako au namna gani mkuu, naona una post mara kumi kumi, By the way, ni ukweli gani aliousema mleta mada zaidi ya kuuliza tu maswali ambayo hata yeye anahitaji majibu.Kwa sababu unazozijua mwenyewe umeamua kuwa mtu asiyefikiri, jitathimini upya.

Mkuu ukitaka kujua akili za huyo jamaa fuatilia thread yoyote inayoiponda CHADEMA utamuona anavyotiririka bila ukomo. Ndo wale wanaohitaji ukombozi wa fikra ili wajitambue kuwa wao ni Watanzania na sio waccm...
 
wanajamii nlitahadharisha hapo mwanzo mimi si muumin wa chama chochote.weng wanaotoa hoja za matusi hawaonesh upeo zaid ya ushabik tu kama wa simba na yanga.siasa naifaham kias chake na ndo maana sina ushabik maana nawafaham wenye ushabik na matokeo yake.mi nasema kwa uwaz kama hatutaacha ushabik,kama hatutaanza kutumia akil zetu badala ya kuzikalia CCM ITATAWALA MILELE.watu weng hawatumii akil zao,huwez kuwa imara kama hupat muda wa kuji assess au kuji evaluate.majib ya ile video yapo katika mambo hayo ambayo binafs nmeyashaur na kuuliza.pengne kosa wanalolifanya CDM ni kumwona kila anayewakosoa ni adui.kumbe kama wangekuwa na busara wangechukua hzo changamoto na kuzitafutia majibu.mimi sijahumu mtu ila ktk siasa nlijifunza kutokumwamin yeyote.uchaguz wa igunga mi nlikuwa tbr na igunga pia so najua nachosema.CDM kama mtaendesha siasa za kishabik napata waswas CCM itakosa mpinzan na hatimaye wata relaxe.kwenye siasa huwez kujichukulia upo safe everyday.kama msipoangalia CDM itakufa.kama ROME EMPIRE ilikufa kwa kibur,jeur na kuota mapembe itakuwa chama cha siasa cha TZ? tujiulize wapi NCCR, wap CUF?mnadhan nyie ni bora kuliko wao?tusiwe wanafik kias hik cha kuwa na ukasuku ule ule wa CCM kudumisha fikra za wachache na kukaririshwa nyimbo za kusifia chama.
IN THE TIME OF UNIVERSAL DECEIT TELLING THE TRUTH IS THE REVOLUTIONARY ACT.

ndg Lonesome. wewe upo kt ya wengi wenye msimamo wa kati ila bandiko lako lina shambulia upande moja. Cdm hawawezi kuwa wajinga hivyo. Kumbuka kuna kitu kinaitwa 'ujasusi'. kama wewe ni mtu mzima utakumbuka enzi za vita baridi kati ya magharibi na mashariki. Au vita vya ukombozi ambapo tulishuhudia vichaa wakiokota makopo mitaani kumbe ni mashushu wa wapigania uhuru wakitafuta habari pembezoni mwa balozi za maadui. Hapa namaanisha uko sawa kabisa kuwa ludo na lwaka huenda wakawa ni mapandikizi ya enzi ndani ya cdm. Katika bandiko lako ungemalizia na kuonya upande mwingine je kwa waliowatuma kwa nini wafanye hivyo kweli Cdm imekuwa tishio hadi kuanza mbinu hizi kama ni ndio nani wa kulaumiwa? pili wanaotumia njia hii hufanikiwa kwa asilimia mia? na kwa hili kuna dalili ya kufanikiwa kweli? Njia hii huandamana na extermination. silencing, ambayo lazima wananchi hawatachelewa kugundua na kuamua kusympasise na upinzani. Wewe hapa na wengine wengi tayari wameshahofia kuwa ni maigizo na usaliti tu, kwa hisia hizi tu tayari si habari njema kwa lwaka na ludo. kwa wengine tunaona cdm inapitishwa tanuruni iive zaidi bila ya matarajio. Cdm nionavyo haikukurupuka na kuhamaki kutokana na upande wa pili kutamka uwepo wa video hiyo kwa vile they were not guilty, la sivyo ungesikia hata mvurugano wa ndani ukimhusisha yeyote kati ya lwaka au ludo na uongozi. Ujasusi ni mambo ya kawaida ila hatari kwa upande unaotekeleza maana ukishindwa unawavua nguo na hata waliotumwa wakashindwa adhabu yao ni kaburi. Angalia movie iitwayo 'Ending game'
 
Hao watu unaowaambia hawapendi ukweli usemwe

Nina mashaka. Yawezekana wewe ndo mwenye thread.

Back to topic

Mleta mada nitahidi sana kuhusisha ubongo wako na kuelewa kwa kila kitu.unachokusudia kuweka humu ndani. Sio kukurupuka as if umefumaniwa sehemu.
Unapolala chadema washaamkia tayari,hapo unaongeza speed ya posho pale lumumba. Tuache tupumuwe tupo busy na ugeni wa China ebooooo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom