sirluta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2012
- 6,324
- 2,494
- Thread starter
- #21
kasi ya ukuaji wa uchumi duniani kwa Tanzania ipo juu hata mataifa yenye uchumi mkubwa duniani yanatambua hilo.
Last edited by a moderator:
kasi ya ukuaji wa uchumi duniani kwa Tanzania ipo juu hata mataifa yenye uchumi mkubwa duniani yanatambua hilo.
By adolay![]()
sirluta
Tunakupa shule inaonekana umekulia maeneo ya posta ambako watu huingilia dishani kwenye madaladala
Huko vijinini na hata mijini msome TAWA hapo juu amekueleza vizuri kabisa,
unachokitetea si sahihi mkuu hali ni mbaya sana kwa watanzania
Je tanzania inashika nafasi ya ngapi kiuchumi duniani?
Hizi ndiyo harakati za kujiendeleza katika maeneo mengi vijijin miaka zaid 50 ya ccm madarakani.
![]()
shule, daftari, majengo na mavazi vinasikitisha huko vijijin.....
![]()
![]()
![]()
![]()
Wao walipokuja kwa babu wa Loliondo mbona hamkulalamika? Changamoto ya matibabu ya nje imesaidia kupata hospitali zetu za kutibu magonjwa hayo hayo na kuleta nafuu kwa wasio na uwezo wa kmenda nje.
usijibu jibu la kisanii ndiyo maana tunafeli mitihani jibu swali usiwe kama Abdallah Bulembo wa wazazi ebo!
hapo kwewnye redi sija taka maelezo ya kisanii
huu ni uvivu wa wazazi wao na walezi wao, serikali imepeleka vitabu vya kiswahili na kiingereza, wao wanagonga kirangi si wamekaidi? Wataendelea kurudi nyuma wabaki na kirangi chao.
Tatizo ya ushabiki usio na kiasi,ujinga uliopitiliza wa kutotaka kujifunza.
Enzi za Mwalimu Tanzania ilijengwa na watanzania wote.
Julius K Nyerere hakuwa tu msimamizi alituongoza kwa mifano na sote tukiwa shuleni tulitanani kuifanyia kitu nchi yetu.
CCM ni ya 1977 na hapo ndipo ulanguzi na ubepari ulishamiri.Nyerere alijikita sana kwenye vita ya Idi Amin.
Vibaka wakawa wanajipanga.
haikuwa sera ya ccm, labda ninyi muifanye ndo sera yenu mtuhakikishie pamoja na mavuno ya ccm mnayoyataka tutakuwa wa kwanza duniani.
By adolay![]()
sirluta
Tunakupa shule inaonekana umekulia maeneo ya posta ambako watu huingilia dishani kwenye madaladala
Huko vijinini na hata mijini msome TAWA hapo juu amekueleza vizuri kabisa,
unachokitetea si sahihi mkuu hali ni mbaya sana kwa watanzania
Je tanzania inashika nafasi ya ngapi kiuchumi duniani?
1. Unaelewa majukumu ya serikali ya ccm kwa wapiga kura wake?
2. Nitajie walau manne ukizingatia yaliyoma kwenye ahadi hususan ilan ya ccm?
Ww ulifanya vipi mtihani wako, unatakiwa kuji swali narudia kwa faida ya serikali ya ccm inayowapatia ufaulu badala ya uelewa maana hufaham kabisa...........very bada. Hapo kwenye red Tafadhali
Unanitajia mambo ya waganga wa kienyeji wanaoshiriki masikini na matajiri?
Huduma za Afya unazijua vzuri? Unaondoka Ikulu au Masaki Unaacha Muhimbili uiyoijenga unaenda kwa jirani jiuize Why?
Tanzania ya sasa imegwanywa na Upinzani. Umoja umetenganishwa na upinzani wa tamaa ya mazao ya ccm.
usinibabaishe na maswali ya takwimu. Wewe Tz ni ya ngapi Afrika kwa ukubwa?
Ndugu wanaJF,
Tuweke ushabiki pembeni; Tanzania ilikuwa sawa na PORI, akajitokeza mkulima kwa jina mwl. J. K Nyerere akaunda kikosi kazi kwa jina CCM. Wakalifyeka pori, wakalisawazisha, wakachoma uchafu wote, wakatafuta MBEGU sehemu mbalimbali na kuziotesha katika lile lililokuwa pori ambalo sasa ni SHAMBA, wakapalilia, wakaweka mbolea, dawa, n.k. Wakati wa mavuno unakuja vinaibuka vikundi vingi majina tofauti na bado vinazidi kuibuka kwa lengo la kutaka mavuno ya CCM. Vikundi hivyo ni kama; CUF, CHADEMA, UKAWA, ACT, n.k.
Ufafanuzi ni kuwa serikali ya CCM imeotesha mbegu nyingi katika shamba Tanzania na bado inaendelea kuotesha.
1. Mabarabara yamejaa lami,
2. Umeme hadi kwenye Viota
3. Mashule ya kutosha
4. Mawasiliano kila kona
5. Mahospitali kila mahali
6. Miradi mingi ya maendeleo
7. Kuimarishwa kwa ulinzi na usalama
8. Pamoja na mengine ambayo sijayataja.
Nani anayehubiri siasa za
1. Udini rejea IGP Mahita kwa maelekezo ya ccm alitangaza hadharani kwa uzushi CUF chama cha kidin na kila mara Nape, Bulembo na the likes wanasema CDM cha kidini...............ccm ndio muasisi wa siasa pumbafu za udin
2. Ukabila na ukanda, ccm ndio muasisi wa siasa za pumbafu na za kijinga za ukabila na ukanda
3. Utekaji na mauwaji, ccm tumeona kamuhanda kauwa Mwangosi, kikwete kampandisha cheo na Andengenye kauwa Arusha kapandishwa cheo na huyohuyo kikwete.
Huu ujinga wa kuendekeza siasa za udin, ukabila, ukanda nk ni zao la ccm dhaifu ya kikwete, Kinana, wassira, Lukuvi
nk pamoja na ww mleta hoja ya kufikirika.
unataka kunidanganya ni kulazimisha kutokomeza lugha za asili mashuleni! Sisi wenyewe tulikuwa tunagonga kichaga miaka hiyo, lakini tulipoenda shule tukakutana na walimu na wanafunz wasiojua kichaga tukachange automatically.
Ulipoanzisha mada ya kuzungumzia uchimi wa Tanzania ni bora
1. ulielewa unaongelea nini au hukujuwa kama utaulizwa kwa kuzusha uwongo?
Tazama maelezo yako hapa chin sirluta,
2. kama huna takwim ulilinganisha na nini kutuposha au?
3. unaposifia kitu unalingashanisha na vingine vinavyofanana wewe ulinganisha na wapi?
Ndiyo maana ya swali Tanzania inashika nafasi ya ngapi kiuchumi duniani?