CHADEMA/UKAWA wana Njaa na Matunda/Mazao ya CCM!

CHADEMA/UKAWA wana Njaa na Matunda/Mazao ya CCM!

sirluta

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2012
Posts
6,324
Reaction score
2,494
Ndugu wanaJF,
Tuweke ushabiki pembeni; Tanzania ilikuwa sawa na PORI, akajitokeza mkulima kwa jina mwl. J. K Nyerere akaunda kikosi kazi kwa jina CCM. Wakalifyeka pori, wakalisawazisha, wakachoma uchafu wote, wakatafuta MBEGU sehemu mbalimbali na kuziotesha katika lile lililokuwa pori ambalo sasa ni SHAMBA, wakapalilia, wakaweka mbolea, dawa, n.k. Wakati wa mavuno unakuja vinaibuka vikundi vingi majina tofauti na bado vinazidi kuibuka kwa lengo la kutaka mavuno ya CCM. Vikundi hivyo ni kama; CUF, CHADEMA, UKAWA, ACT, n.k.

Ufafanuzi ni kuwa serikali ya CCM imeotesha mbegu nyingi katika shamba Tanzania na bado inaendelea kuotesha.
1. Mabarabara yamejaa lami,
2. Umeme hadi kwenye Viota
3. Mashule ya kutosha
4. Mawasiliano kila kona
5. Mahospitali kila mahali
6. Miradi mingi ya maendeleo
7. Kuimarishwa kwa ulinzi na usalama
8. Pamoja na mengine ambayo sijayataja.

Sasa hawa Walowezi wanaoitaka hii nchi kwa gharama yoyote WATATUFANYIA NINI? KWANZA WANAPASWA KUMHESHIMU ALIYEGEUZA PORI KUWA SHAMBA HADI LEO TUNAPATA PA KUJISETIRI.
 
Ndugu wanaJF,
Tuweke ushabiki pembeni; Tanzania ilikuwa sawa na PORI, akajitokeza mkulima kwa jina mwl. J. K Nyerere akaunda kikosi kazi kwa jina CCM. Wakalifyeka pori, wakalisawazisha, wakachoma uchafu wote, wakatafuta MBEGU sehemu mbalimbali na kuziotesha katika lile lililokuwa pori ambalo sasa ni SHAMBA, wakapalilia, wakaweka mbolea, dawa, n.k. Wakati wa mavuno unakuja vinaibuka vikundi vingi majina tofauti na bado vinazidi kuibuka kwa lengo la kutaka mavuno ya CCM. Vikundi hivyo ni kama; CUF, CHADEMA, UKAWA, ACT, n.k.

Ufafanuzi ni kuwa serikali ya CCM imeotesha mbegu nyingi katika shamba Tanzania na bado inaendelea kuotesha.
1. Mabarabara yamejaa lami,
2. Umeme hadi kwenye Viota
3. Mashule ya kutosha
4. Mawasiliano kila kona
5. Mahospitali kila mahali
6. Miradi mingi ya maendeleo
7. Kuimarishwa kwa ulinzi na usalama
8. Pamoja na mengine ambayo sijayataja.

Sasa hawa Walowezi wanaoitaka hii nchi kwa gharama yoyote WATATUFANYIA NINI? KWANZA WANAPASWA KUMHESHIMU ALIYEGEUZA PORI KUWA SHAMBA HADI LEO TUNAPATA PA KUJISETIRI.

bora mchawi kuliko mnafiki
 
Ama kweli akili ni nywele kila mtu anazake

Sio ajabu mpaka leo sisi nimasikin wa kutupwa na hata rais hajui kwanini na mleta uzi ni walele wapumbavu wasiojitambuwa.
 
Ndugu wanaJF,
Tuweke ushabiki pembeni; Tanzania ilikuwa sawa na PORI, akajitokeza mkulima kwa jina mwl. J. K Nyerere akaunda kikosi kazi kwa jina CCM. Wakalifyeka pori, wakalisawazisha, wakachoma uchafu wote, wakatafuta MBEGU sehemu mbalimbali na kuziotesha katika lile lililokuwa pori ambalo sasa ni SHAMBA, wakapalilia, wakaweka mbolea, dawa, n.k. Wakati wa mavuno unakuja vinaibuka vikundi vingi majina tofauti na bado vinazidi kuibuka kwa lengo la kutaka mavuno ya CCM. Vikundi hivyo ni kama; CUF, CHADEMA, UKAWA, ACT, n.k.

Ufafanuzi ni kuwa serikali ya CCM imeotesha mbegu nyingi katika shamba Tanzania na bado inaendelea kuotesha.
1. Mabarabara yamejaa lami,
2. Umeme hadi kwenye Viota
3. Mashule ya kutosha
4. Mawasiliano kila kona
5. Mahospitali kila mahali
6. Miradi mingi ya maendeleo
7. Kuimarishwa kwa ulinzi na usalama
8. Pamoja na mengine ambayo sijayataja.

Sasa hawa Walowezi wanaoitaka hii nchi kwa gharama yoyote WATATUFANYIA NINI? KWANZA WANAPASWA KUMHESHIMU ALIYEGEUZA PORI KUWA SHAMBA HADI LEO TUNAPATA PA KUJISETIRI.

Haya ndiyo maendeleo unayoyasema

1902957_742813605751513_1237156489_n.jpg


1962619_10152290990409339_1019665685_n.jpg


attachment.php


attachment.php
 
Ama kweli akili ni nywele kila mtu anazake

Sio ajabu mpaka leo sisi nimasikin wa kutupwa na hata rais hajui kwanini na mleta uzi ni walele wapumbavu wasiojitambuwa.

Uvivu WAKO NDIO UMASIKINI WAKO, UMASIKINI WAKO NDIO UTAJIRI WANGU.
 
hivi we bwe.ge mtoa mada unaishi Tanzania hapa au umeshuka toka ughaibun Leo? acha kujivua akili mtoto Wa kiume, hospital zipi zimejaa Tanzania? Barbara zipi zaipi zimejaa lami au kwako ww Tanzania ni dar es salaam pekee? mtu mzima ww acha kutia aibu
 
Uvivu WAKO NDIO UMASIKINI WAKO, UMASIKINI WAKO NDIO UTAJIRI WANGU.

Kweli hata hawa ni uvivu wao maana ndiyo ahadi ya ccm maisha bora kwa kila mtanzania si ndiyo haya?

attachment.php


attachment.php


attachment.php
 
hivi we bwe.ge mtoa mada unaishi Tanzania hapa au umeshuka toka ughaibun Leo? acha kujivua akili mtoto Wa kiume, hospital zipi zimejaa Tanzania? Barbara zipi zaipi zimejaa lami au kwako ww Tanzania ni dar es salaam pekee? mtu mzima ww acha kutia aibu

Mkuu acha Wenge, Mikoa yote ya Tanzania imeunganishwa kwa barabara za Lami.
 
this is just a NATURAL DISASTER, IT CAN BE OCCURED ANYWHERE IN THE WORLD.


The question remain valid for the post

why no tarmac road if the case was valid?

Why no bridge for people to cross comfortably?

attachment.php


attachment.php
 
Kweli hata hawa ni uvivu wao maana ndiyo ahadi ya ccm maisha bora kwa kila mtanzania si ndiyo haya?

attachment.php


attachment.php


attachment.php

Je wasingeahidi? This is Natural Disaster, hata Marekani hutokea.
 
Sasa kama shule zipo kila kona mbona watoto wenu wanasoma nje?
Kama hospital zipo mbona mafua tu ni Ujerumani?
Acheni utani.
 
Naona mnasahau kuwa kulikuwa na Chama alichokikuta Nyerere kilikuwa ni T.A.A ambacho mliifuta historia yake. Wapo kina Mkwawa waliomwaga damu juu ya nchi hii.
 
The question remain valid for the post

why no tarmac road if the case was valid?

Why no bridge for people to cross comfortably?

attachment.php


attachment.php

huh? Kwahiyo watu walikuwa wanapita mtoni? Hebu acheni uwongo mwingine! Ebo!
 
Hizi ndiyo harakati za kujiendeleza katika maeneo mengi vijijin miaka zaid 50 ya ccm madarakani.

large.jpg


shule, daftari, majengo na mavazi vinasikitisha huko vijijin.....

large.jpg


large.jpg


large.jpg



large.jpg
 
Mkuu acha Wenge, Mikoa yote ya Tanzania imeunganishwa kwa barabara za Lami.

najua hujui acha nkueleweshe. siyo mbali nenda barabara ya mlandizi bagamoyo haina lami ( mbunge ccm). nenda barabara ya morogoro mjini kwenda kisaki Moro v. (mbunge ccm) haina lami toka Uhuru barabara ya kilosa haina lami sasa sijui Tanzania gani unayoisema ww mwenzetu.
 
Ndugu wanaJF,
Tuweke ushabiki pembeni; Tanzania ilikuwa sawa na PORI, akajitokeza mkulima kwa jina mwl. J. K Nyerere akaunda kikosi kazi kwa jina CCM. Wakalifyeka pori, wakalisawazisha, wakachoma uchafu wote, wakatafuta MBEGU sehemu mbalimbali na kuziotesha katika lile lililokuwa pori ambalo sasa ni SHAMBA, wakapalilia, wakaweka mbolea, dawa, n.k. Wakati wa mavuno unakuja vinaibuka vikundi vingi majina tofauti na bado vinazidi kuibuka kwa lengo la kutaka mavuno ya CCM. Vikundi hivyo ni kama; CUF, CHADEMA, UKAWA, ACT, n.k.

Ufafanuzi ni kuwa serikali ya CCM imeotesha mbegu nyingi katika shamba Tanzania na bado inaendelea kuotesha.
1. Mabarabara yamejaa lami,
2. Umeme hadi kwenye Viota
3. Mashule ya kutosha
4. Mawasiliano kila kona
5. Mahospitali kila mahali
6. Miradi mingi ya maendeleo
7. Kuimarishwa kwa ulinzi na usalama
8. Pamoja na mengine ambayo sijayataja.

Sasa hawa Walowezi wanaoitaka hii nchi kwa gharama yoyote WATATUFANYIA NINI? KWANZA WANAPASWA KUMHESHIMU ALIYEGEUZA PORI KUWA SHAMBA HADI LEO TUNAPATA PA KUJISETIRI.
Ujumbe utakuwa umewafikia walowezi
 
Sasa kama shule zipo kila kona mbona watoto wenu wanasoma nje?
Kama hospital zipo mbona mafua tu ni Ujerumani?
Acheni utani.

Wao walipokuja kwa babu wa Loliondo mbona hamkulalamika? Changamoto ya matibabu ya nje imesaidia kupata hospitali zetu za kutibu magonjwa hayo hayo na kuleta nafuu kwa wasio na uwezo wa kmenda nje.
 
najua hujui acha nkueleweshe. siyo mbali nenda barabara ya mlandizi bagamoyo haina lami ( mbunge ccm). nenda barabara ya morogoro mjini kwenda kisaki Moro v. (mbunge ccm) haina lami toka Uhuru barabara ya kilosa haina lami sasa sijui Tanzania gani unayoisema ww mwenzetu.


sirluta

Tunakupa shule inaonekana umekulia maeneo ya posta ambako watu huingilia dishani kwenye madaladala

Huko vijinini na hata mijini msome TAWA hapo juu amekueleza vizuri kabisa,

unachokitetea si sahihi mkuu hali ni mbaya sana kwa watanzania

Je tanzania inashika nafasi ya ngapi kiuchumi duniani?
 
Last edited by a moderator:
najua hujui acha nkueleweshe. siyo mbali nenda barabara ya mlandizi bagamoyo haina lami ( mbunge ccm). nenda barabara ya morogoro mjini kwenda kisaki Moro v. (mbunge ccm) haina lami toka Uhuru barabara ya kilosa haina lami sasa sijui Tanzania gani unayoisema ww mwenzetu.

hata barabara ya kwenda nyumbani kwa wakwe zangu haina lami. Usitutajie vipande vya barabara za vijiji, taja mikoa.
 
Back
Top Bottom