Alinda
Platinum Member
- Jun 26, 2008
- 1,695
- 2,145
Alinda na Jokakuu;
Posti zenu zilinifanya nisome sifa za Dr. Slaa na kumkubali. Ghafla bin vuu, naona mmemwacha mzee wa watu na kumbeba Lowassa. Hakika siasa hazina marafiki na maadui wa kudumu.
Zakumi sisi au mimi sikumuacha Dr. Slaa ila yenye ndo katuacha tangu tarehe 28.7 yeye si mwanasiasa tena.. Sasa tumfuate fuate kwanini?
Ila Dr. Slaa atabaki kuwa "my hero" katika siasa za Tanzania, ametutoa mbali amepitia mengi lakini ndivyo hivyo ilivyotokea, na maisha ni lazima yaendele hayatusubiri...