Freeland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 14,481
- 10,217
Hawana mbinu mpya kwasababu zama si zao, na kila zama na kitabu chake
Si suala la mbinu tena ni suala linalohitaji surgical precision right away
The time is up, help Mbowe exit the door with honor. Mbowe must go ab initio
Chadema, it's time you express your gratitude to Hon Mbowe for his tireless effort and immense contributions to your party and country at large, and remind him it's time to pack and go!
Mkuu Nguruvi3 kwa leo umesema Jambo la msingi sana ambalo tumeliona kwa muda mrefu sasa
Nilipigwa na butwaa kubwa sana baada ya kuona yanayotokea...especially hili la wasanii
Huu ni wakati mwafaka wa Mbowe kukaa Pembeni...Chama kimesinyaa....as if hakina watu maridadi na wenye uelewa
Chama kinaenda enda tu
Tulizoea CHADEMA ya hoja.....nzito nzito...Tulizoea CHADEMA ya kutoa Plan B ya matatizo ya nchi yetu
Lakini CHADEMA ya sasa hata haijui inafanya nini
Huu ni wakati mzuri sana wa CHADEMA kupaa kwa sababu magufuli ni anapwaya sana katika nafasi yake
Kutokana na kupwaya kwake anawapa room ya hawa jamaa kupaa
Hivi blunders zote alizofanya magufuli wanashindwa ku capitalize na kuwa chachu ya growth yao
This is 2017...Miaka 2 tu hadi mwaka wa uchaguzi mkuu imebaki.....Ukiuliza CHADEMA wanafanya nini..hakuna kitu
Suluhisho liliopo sasa Mbowe akae Pembeni mwaka 2018........Chama kikae chini kifanye tathimini yakinifu ya 2015....
Chama kiunde upya timu yake....Turudi kwenye chama cha hoja
Tunaenda kwenye uchaguzi mwingine katika mazingirra ya kikatiba yaleyale..Itakuwa ajabu sana kama CHADEMA watakaa kimya siku zote hadi 2020 na kuenda katika uchaguzi mwingine katika mazingira yaleyale