mbona rangi za hizi ambulance ni za ccm? njano na kijani...kwanini wasichore rangi ya M4C?....hongereni, peopleeeeez!Kesho kwenye mkutano wa chadema Reading moja ya mtukio makubwa ni mchango wa Chadema UK.
Ili kuonyesha kuwa wao sio kama magamba tayari wameisha nunua Ambulance ambazo zitapelekwa Tanzania kama zawadi kwa mheshimiwa Godbless Lema.
Hii ni moja tu ya mambo waliyomuahidi mheshimiwa Lema alipokuwa hapa UK.
Habari hizi zimethibitishwa na mwenyekiti wa Chadema Uk na atatangaza rasmi kesho kwenye mkutano wa reading.
Sisi tukiahidi tunatimiza,
Jamaa ameguguli kisha akawatupia ndio waliwao hapa JF !mbona rangi za hizi ambulance ni za ccm? njano na kijani...kwanini wasichore rangi ya M4C?....hongereni, peopleeeeez!
Kesho kwenye mkutano wa chadema Reading moja ya mtukio makubwa ni mchango wa Chadema UK.
Ili kuonyesha kuwa wao sio kama magamba tayari wameisha nunua Ambulance ambazo zitapelekwa Tanzania kama zawadi kwa mheshimiwa Godbless Lema.
Hii ni moja tu ya mambo waliyomuahidi mheshimiwa Lema alipokuwa hapa UK.
Habari hizi zimethibitishwa na mwenyekiti wa Chadema Uk na atatangaza rasmi kesho kwenye mkutano wa reading.
Sisi tukiahidi tunatimiza,
Hii M4C in action. Tuendelee kuunga mkono juhudi hizi katika nafasi zetu.utazania rangi ni hati miliki ya ccm.haijalishi.
Peoples...................................!
Peoples...................................!
Peoples...................................!
Kesho kwenye mkutano wa chadema Reading moja ya mtukio makubwa ni mchango wa Chadema UK.
Ili kuonyesha kuwa wao sio kama magamba tayari wameisha nunua Ambulance ambazo zitapelekwa Tanzania kama zawadi kwa mheshimiwa Godbless Lema.
Hii ni moja tu ya mambo waliyomuahidi mheshimiwa Lema alipokuwa hapa UK.
Habari hizi zimethibitishwa na mwenyekiti wa Chadema Uk na atatangaza rasmi kesho kwenye mkutano wa reading.
Sisi tukiahidi tunatimiza,