Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,697
- 8,843
sasa unalia nini hao 20 ndio waliojitolea nenda kwa nape awbebe na maloriWababaishaji wa Chadema hapa Uk wamekuja na wizi mpya kuwachangisha wanachama wao kulipia mfuko wa Mazishi waliuanzisha hapa.kikosi cha matapeli hao ambao wenyewe wamajibatiza jina la wasomi. wakati hawana mawazo mapya.shirika la pensheni la PPF limezindua huduma ya kusafirisha maiti na msindikiza popote duniani atapokufa kwa gharama ya dola mia tatu tu.
na unapewa watu wanne Nyumbani Tanzania wakiugua wanatibiwa kwa gharama hiyo na ukienda holiday unatibiwa.kwa dola hizo hizo mia tatu kwa mwaka.
Baada ya kuona hawana jipya wamekuja na wizi wa idea ya shirika la PPF na kusema nao wanachama wao changie ili wasafirishe maiti.
Tunaomba chadema muwasaidie watanzania mbali mbali waliopo jela hapa Uk,kwa kushawishiwa na baadhi ya wajanja hapa Uingereza kwenda kubeba madawa ya kulevya na kuyaleta hapa.watanzania hawa hawana wanasheria wa kuwasaidia, familia zao zinahangaika.
Mwenyekiti chris Lukosi ungehangaika na hawa walio hai kuliko kusubiri vifo ndio uwe mtaji wako wa kisiasa.
maswali magumu ni kuwa chris alikuwa close sana na wana CCM ghafla kaja chadema.
mkutano hadi sasa unanedelea wana watu 20.london ilikuwa 10 hapa 20.
Mtoa mada inaonyesa elimu yako ni ya aina gani pointless kabisa.....
Opportunist at work! Jamaa baada ya kunyimwa tenda ya ukaguzi wa magari kahamia Chadema na kujifanya mkereketwa watu wengine kweli hawajielewi!
Join Date : 27th August 2012
Posts : 5
Rep Power : 302
Likes Received:0
Likes Given:0
Amejiunga leo hajajua namna ya kupost na ni yepi yanatakiwa na ni yepi pumba tumvumilie tu ila tumshauri aendelee kujifunza asilete pumba kama hizi siku nyingine!
Kama wewe pia uko kwenye mtandao wa hao wauza unga au wabebaji wa unga usitegemee Chadema wakakupa msaada au mtu yeyote yule muungwana atakupa msaada labda awe mshiriki wakoOpportunist at work! Jamaa baada ya kunyimwa tenda ya ukaguzi wa magari kahamia Chadema na kujifanya mkereketwa watu wengine kweli hawajielewi!
Chama
Gongo la mboto DSM
Wababaishaji wa Chadema hapa Uk wamekuja na wizi mpya kuwachangisha wanachama wao kulipia mfuko wa Mazishi waliuanzisha hapa.kikosi cha matapeli hao ambao wenyewe wamajibatiza jina la wasomi. wakati hawana mawazo mapya.shirika la pensheni la PPF limezindua huduma ya kusafirisha maiti na msindikiza popote duniani atapokufa kwa gharama ya dola mia tatu tu.
na unapewa watu wanne Nyumbani Tanzania wakiugua wanatibiwa kwa gharama hiyo na ukienda holiday unatibiwa.kwa dola hizo hizo mia tatu kwa mwaka.
Baada ya kuona hawana jipya wamekuja na wizi wa idea ya shirika la PPF na kusema nao wanachama wao changie ili wasafirishe maiti.
Tunaomba chadema muwasaidie watanzania mbali mbali waliopo jela hapa Uk,kwa kushawishiwa na baadhi ya wajanja hapa Uingereza kwenda kubeba madawa ya kulevya na kuyaleta hapa.watanzania hawa hawana wanasheria wa kuwasaidia, familia zao zinahangaika.
Mwenyekiti chris Lukosi ungehangaika na hawa walio hai kuliko kusubiri vifo ndio uwe mtaji wako wa kisiasa.
maswali magumu ni kuwa chris alikuwa close sana na wana CCM ghafla kaja chadema.
mkutano hadi sasa unanedelea wana watu 20.london ilikuwa 10 hapa 20.