Kesho kwenye mkutano wa chadema Reading moja ya mtukio makubwa ni mchango wa Chadema UK.
Ili kuonyesha kuwa wao sio kama magamba tayari wameisha nunua Ambulance ambazo zitapelekwa Tanzania kama zawadi kwa mheshimiwa Godbless Lema.
Hii ni moja tu ya mambo waliyomuahidi mheshimiwa Lema alipokuwa hapa UK.
Habari hizi zimethibitishwa na mwenyekiti wa Chadema Uk na atatangaza rasmi kesho kwenye mkutano wa reading.
Sisi tukiahidi tunatimiza,
Chris haya ndio matatizo ya kukurupuka.lema sio mbunge wa Chadema kwanini usimpe John Mnyika hizi habari za danganya toto tuoneshe Document kama gari hizi za chadema? wewe ni misheni Town na LEMA misheni town.unakumbuka kauli ya Afande Zombe akimuelezea Lema? WAULIZE WATU wa Arusha.LEMA ni sawa na papa Msofe.
sidhani kama utaweza kufanya kazi na watu makini kama Mnyika,Mbowe,Zitto.
kikao gani cha Chadema kilipitisha ombi la lema? ni deal zenu binafsi.
na ule ujanja wenu wa kuwachangisha watu kwa ajili ya maiti.hamuwezi kumuibia mtu.kama una uwezo mtafutie kazi professional lusingu.anadai ana PhD anabeba maboksi hapa Reading.alitimuliwa Sainsbury.Hapa Reading ziko kazi mbili ya kwanza Care na ya pili kubeba maboksi magodown.Lusingu anabeba maboksi.mtafutie kazi kwanza.