Pota
JF-Expert Member
- Apr 8, 2011
- 2,043
- 788
chama cha kikristo? kinaongozwa na askofu gani? au huelewi ukristu ni nini? na kikanda? au unataja kimeasisiwa wapi? madrassatulfaidhina yanakusumbua, je ili kisiwe cha kikanda inabidi kiasisiwe wapi? tanzania nzima? haiwezekani...hata wewe ni mtanzania lakini kuna specific place ulipozaliwa sio ulizaliwa tz nzima...wewe ni jua?Tofauti ni kubwa CHADEMA NI CHAMA CHA KIKROSTO na kikanda pia ni wanafiki waislamu hawapendi unafiki na ukanda hivyo basi chadema hawawezi kukaa meza moja na waislamu wakaaminiana.