Mkuu naona unanitafutia ban
Mkuu naona unanitafutia ban
Wewe huna lolote zaidi ya kupora visimu vya watu!!!!! halafu unataka ubunge??? ndio maana CDM wamekutimua nenda kaanzishe biashara nyingine na dada yako shoza masalia wakubwa nyinyiusitafute sifa kupitia id yangu nakufahamu zaidi ya unavyo dhan .changia mada kama huwezi tuachie cc jf sio kwaajili ya cdm
Kuvaa kofia baraghashia na kupiga picha na waislam haitoshi hio cheap propaganda cha muhimu ni muhimu ni kufunguka ki sera na muelekeo
Bado kuna tatizo la kuamini malengo na nia ya CDM. Dhidi ya Waislam na uislam kwani hata zao ni za Mehemko kama ya kilokole so yaliyojificha ndani ya moyo zao ni makubwa kuliko yale wanayoengea wakivaa baraghashia kusanif waislam
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Wewe huna lolote zaidi ya kupora visimu vya watu!!!!! halafu unataka ubunge??? ndio maana CDM wamekutimua nenda kaanzishe biashara nyingine na dada yako shoza masalia wakubwa nyinyi
Wewe na kundi lako ndiyo mnawachafua Chadema kwa kuwakejeli Waislam.
Sera za Chama si kukaa na kula wali pamoja na jamii fulani,ni imani ya viongozi,sera za chama husika na misingi iliyojengeka katika chama na wanachama wake.
Kwa mtazamo wangu Waislamu waumini wa kawaida wala hawana tatizo na Chadema na Chadema haina tatizo na waislamu, wakristo au dini yoyote ile. Tatizo ni wale vocal muslims, akina Sheikh Ponda na wenzake wa Annuur na Radio Iman.
Hawa wangependa chama cha siasa kitangaze from day one kwamba chama kitafanya hivi kitafanya vile kwa manufaa ya waislam ndipo wakiunge chama mkono. Sasa kwa chama cha siasa ni makosa makubwa kupandikiza mbegu za udini kwa namna hiyo.
Waislam yapaswa wakiunge mkono Chadema si kwa vile wao ni waislam, bali kwa kuwa ni Watanzania kwanza. Wakristo yapaswa wakiunge mkono Chadema si kwa vile wao ni wakristo, bali kwa kuwa ni watanzania kwanza.
Chadema wanalijua hilo na ndio maana namna zao za kujenga mahusiano na makundi mbalimbali zinawabeba wote kama watanzania. Kama wadini hawaitaki Chadema, basi ni tatizo la wadini. Si la Chama.
Tofauti ni kubwa CHADEMA NI CHAMA CHA "Kikrosto" na kikanda pia ni wanafiki waislamu hawapendi unafiki na ukanda hivyo basi chadema hawawezi kukaa meza moja na waislamu wakaaminiana.
ngoja niwasaidie watu wa chadema naona wenyewe hawataki kukisaidia chama chao,ni rahisi tu,naomba nikuulize ukiacha upadre wa slaa labda ni lipi tatizo la chadema kwa maslahi uislam na waislam?pengine tuanzie hapo
Wewe ndio punguani kabisa sasa kuwa na diwani Rufiji na Zitto ndio unajenga imani kuwa Chadema ni chama chenye mahusiano mema na waislamu? Huyo Zitto ana amani gani katika nafasi yake Chadema? hivi nikikuambia kwamba Chadema inaongozwa na Padri na utakubaliana na mimi ni kuwa ni chama cha kikatoliki? Jenga hoja ya kupinga ama kukubali na sio kejeli hapa tayari umeshawaita masheikh ubwaga halafu unakataa kuwa Chadema viongozi au wanachama wake wewe ukiwa miongoni mwao unauchukia uislam.Jambo la ajabu kuna diwani wa Chadema kwenye moja ya kata huko rufiji..Jambo jingine lakushangaza ni kuwa Zitto Kabwe ni muislamu..Ccm hawawezi kuongoza chi bila kuwagawa watu sasa viongozi wa kiislamu wale mashehe ubwabwa ndo wanaoharibiwa Ccm kama ilivyotokea kule Igunga mpaka leo Bakwata wameshindwa kuwaomba Watanzania radhi kwa ujinga wa matamko yao kule Tabora
tutazunguka sana around the bush lakini kiukweli ccm imechokwa.....ukiona hata vijijini ambako ndo mtaji wa
haya mafisadi nako imechokwa.....hongera mshua kwa kuua chama