CHADEMA: Uchaguzi wa Mwenyekiti Taifa lini?

CHADEMA: Uchaguzi wa Mwenyekiti Taifa lini?

Hakuna ukweli hapo, ni majungu tu. Kama yeye bado ni mwanaChadema, kwanini asipeleke malalamiko yake panapohusika? Humu hawezi kupata majibu, aende ofisini atapata majibu.

yaani unaua posts zote za social media zenye madai fulani

tukapange foleni kwa ofisini za tunaowalalamikia

umeamkia baa?
 
ni heri wangebadirisha jina maana chama gani cha kidemkrasia hakina demokrasia, ikiwa chama kinavunja katiba hivi kikiewa madaraka si kitaendelea kuvunja katiba
 
Sema huna jibu, sio hapaswi kujibiwa. Mnaona aibu makando kando yenu kuongelewa, mnafuga dikteta kwenu wakati mnanyoshea vidole wengine.
Hakuna muda wa kujibu majungu. Kama anataka majibu aende ofisini, maana yeye ni bado ni mwanaChadema.
 
yaani unaua posts zote za social media zenye madai fulani

tukapange foleni kwa ofisini za tunaowalalamikia

umeamkia baa?
Haya endeleeni kusubiri majibu humu, halafu nyie CCM mbona mnashupalia ya Chadema?
 
Bora yeyebhana madhara kwetu! Kwani alishiriki kula 1.5tirilioni?Kama ndio basi ajiuzulu!!
 
kamshambulia nani?

hivi swali kama gumu hauwezi kupita kimya kimya?

lema, mag3,nguruvi,quinine,Lissu,mnyika,.mdee, wale chadema damu...hawawezi kujibu hili. hata kujaribu tu kufafanua

sembuse wewe mkuu??
Swali limekaa kimajungu, lazima lijibiwe kimajungu.
 
Vikao vikuu vya Kikatiba vya CHADEMA 2016 viliazimia kuwa Uchaguzi wa Mwenyekiti Taifa ufanyike mwaka huu 2018 ili kutoa fursa kwa Chama kujiandaa na chaguzi za Serikali za mitaa 2019 na Uchaguzi Mkuu 2020 ila mpaka sasa hakuna dalili yoyote ya jambo hili kufanyika.

Azimio kama hili lilifanyika mwaka 2006 kuwa uchaguzi ufanyike 2008 ukafanyika 2009 na likarudiwa tena mwaka 2011 kuwa uchaguzi ufanyike 2013 lakini ukafanyika 2014.

Jambo ambalo ni wazi ni kuwa Mwenyekiti Freeman Mbowe amekuwa akitumia mbinu hii ya kutangaza tarehe ya mapema ili ya uchaguzi ili kutambua wapinzani wake, na mara akishawatambua huahirisha uchaguzi kwa mwaka mmoja kwa madai kuwa maandalizi hayakamilika na kuwa muda wake kikatiba haujaisha.

Katika muda huu wa nyongeza ndio huutumia kushughulika na timu pinzani hadi anaimaliza yote. Haya ndio yalimkuta Chacha Wangwe na Zitto Kabwe wakati huo kwa nyakati tofauti.

Ni vema sasa Taifa na Wana CHADEMA wakajulishwa ratiba kamili ya Uchaguzi wa CHADEMA na pia ni wakati muafaka kwa Mwenyekiti Mbowe kulitangazia Taifa kama anagombea tena ama la ili kufungua mjadala wa kitaifa ikiwa ni pamoja kuandaa mrithi wake.
Kamuulize mutungi
 
huyu kilichompata chadema hawezi kukisahau , alistukiwa kirahisi sana ! mpaka leo anaona aibu hata kukanyaga kwenye tawi lolote la chadema.

Na tunasubiri aje akione cha moto , hakuna kucheka na wasaliti kudadeki !
Hakuna kucheka na nyani
 
Wakati tunamsubilia mbowe ajibu pia hawa mrema ,cheyo nao uchaguzi wataufanya lini?
Maria nyingi vyama ambavyo havina dola mwenyekiti huwa hawaashuguliki kubadilisha na siyo kipau mbele mfano mzuri upo Mandela na ANC mpaka alipo fungwa na alipotolewa jela. N.a. kila chama kina katiba yake kwa mfano CCM rais ndiyo mwenyekiti lakini Chadema mgombea urais siyo lazima awe mwenyekiti
 
Unawashwa! M.kiti keshasema wajumbe weeengi wanaempataka kuchukua mikoba yupo nje ya nchi, ngoja arudi.
 
uko sahihi kabisa kabisa mkuu

sawa na ambavyo ccm iko strong hakuna haja ya kubadili chama

siku ukijua demokrasia ya taifa inaanzia kwenye taasisi ndogo ndogo, utavua diploma yako ya manzese darajani
rubbish!
 
Back
Top Bottom