CHADEMA: Uchaguzi wa Mwenyekiti Taifa lini?

CHADEMA: Uchaguzi wa Mwenyekiti Taifa lini?

Hilo na maumivi yake wanajua wenyewe CDM, tulio nje ya CDM tunaumizwa na UDIKITETA wa CHAMADOLA. Hapo CDM watakapo shika nchi kama watajaliwa tuta dili nao kama wataleta za kuleta,lakini kwa sasa ni huyo mjomba ndiye anaetuathiri. Waswahili husema pilipili usio ila inakuwashia nini? Kwa sasa tunalishwa pilipili ya CCM na baba yule.

Hi out there..!!

Boriti zingine bana shida kweli, nauliza hivi lini CHADEMA wataamka na kujua hawana Demokrasia kama jina la Chama chao kinavyoitwa..?

Kuongea mna Demokrasia ni jambo moja na kuitekeleza ni jambo lingine kabisa.. Lini Mbowe ataachia uenyekiti wa CHADEMA na wengine wagombee..? Huu si udikteta kabisa? Yaani yeye tu ndio anafaa miaka yoote? Vyama vingine bana, sijui wafuasi wake viziwi na vipofu... Hii SACCOS nadhani haaa..!!

Anyway nauliza tu, jibu linatakiwa..!!
 
Uchaguzi wa chadema si ulipangawa mwaka huu!? Ama umeahirishwa?
 
Katiba ya cdm inasemaje kwani?
Usije ukawa unaongea km zuzu bila kujua katiba inasemaje, hakuna chama cha siasa kina ukomo wa kugombea hata ccm kinachofanyika ni kuachiana sababu wanaamini raisi lazima awe m/kiti wa chama.
Kila ikifika uchaguzi huyo mbowe anachaguliwa kwahiyo sioni tatizo hapo.
Ungejiuliza pia kwann ccm mpk Leo IPO madarakani? Huo ni udikteta pia toka 77 mpk Leo waachie vyama vingine chenyewe kistaafu.
Kwa hiyo tukibalisha vipengere vya katika ya nchi na kuruhusu rais atawale zaidi ya vipindi vitatu hamtapinga?
 
Mwalimu Nyerere alikuwa mwenyekiti kwa miaka mangapi vile?
Utaratibu wa CCM sio wa CHADEMA
 
Hi out there..!!

Boriti zingine bana shida kweli, nauliza hivi lini CHADEMA wataamka na kujua hawana Demokrasia kama jina la Chama chao kinavyoitwa..?

Kuongea mna Demokrasia ni jambo moja na kuitekeleza ni jambo lingine kabisa.. Lini Mbowe ataachia uenyekiti wa CHADEMA na wengine wagombee..? Huu si udikteta kabisa? Yaani yeye tu ndio anafaa miaka yoote? Vyama vingine bana, sijui wafuasi wake viziwi na vipofu... Hii SACCOS nadhani haaa..!!

Anyway nauliza tu, jibu linatakiwa..!!
Hivi umewahi kujiuliza kuwa mwalimu Nyerere aliongoza chama kwa miaka mingapi? Kuanzia kilipokuwa kinaitwa Tanu kabla na baada ya uhuru, na baadaye CCM baada ya muungano? Hivi unajua kuwa aliongoza mpaka wakati alipoamua mwenyewe kuachia ngazi. Je, unasemaje kuhusu John Cheyo? Au hata mchungaji mtikila ambaye alifia kwenye uenyekiti? Au hao inaonekana hakuna shida kuongoza kwa muda mrefu wakati wengine wapo? Acheni kujifanya vipofu ninyi. Kubalini tu kuwa dawa ya tatizo ni kurekebisha na si kuanza kutafuta visingizio visivyo na msingi.
 
Koma kuulizia habar za Cdm? Na hali ilivyo ngumu huko Lumumba dadadeki sijui mlikuwà mnamuimbia nañi ataisoma nyambaaf! Umeona utoke Lumumba na kuja kushusha stress zako ufipa! CCM ina wenyewe na wewe haupo hata kwenye reserve, rudi kijijini ukalime magimbi nyambaaf!
Uchaguzi lini?
 
Hi out there..!!

Boriti zingine bana shida kweli, nauliza hivi lini CHADEMA wataamka na kujua hawana Demokrasia kama jina la Chama chao kinavyoitwa..?

Kuongea mna Demokrasia ni jambo moja na kuitekeleza ni jambo lingine kabisa.. Lini Mbowe ataachia uenyekiti wa CHADEMA na wengine wagombee..? Huu si udikteta kabisa? Yaani yeye tu ndio anafaa miaka yoote? Vyama vingine bana, sijui wafuasi wake viziwi na vipofu... Hii SACCOS nadhani haaa..!!

Anyway nauliza tu, jibu linatakiwa..!!
Mbowe is strong, anahitajika sana katika mapambano ya sasa. Hakuna haja ya kubadilisha lolote wakati huu wa Udikiteita. Kalale na ujiulize "Baba yangu antengana lini na mama yangu"? Ukipata jibu lolote , lilete hili hilo kwa Mbowe na swali lako litakuwa limejibiwa!
 
Mbowe is strong, anahitajika sana katika mapambano ya sasa. Hakuna haja ya kubadilisha lolote wakati huu wa Udikiteita. Kalale na ujiulize "Baba yangu antengana lini na mama yangu"? Ukipata jibu lolote , lilete hili hilo kwa Mbowe na swali lako litakuwa limejibiwa!

uko sahihi kabisa kabisa mkuu

sawa na ambavyo ccm iko strong hakuna haja ya kubadili chama

siku ukijua demokrasia ya taifa inaanzia kwenye taasisi ndogo ndogo, utavua diploma yako ya manzese darajani
 
Angeuliza bila kumshambulia mtu, ingekuwa vema sana. Hapaswi hata kujibiwa.
Sema huna jibu, sio hapaswi kujibiwa. Mnaona aibu makando kando yenu kuongelewa, mnafuga dikteta kwenu wakati mnanyoshea vidole wengine.
 
Mbowe sijui aliwapa nini wafuasi wake
 
Angeuliza bila kumshambulia mtu, ingekuwa vema sana. Hapaswi hata kujibiwa.
kamshambulia nani?

hivi swali kama gumu hauwezi kupita kimya kimya?

lema, mag3,nguruvi,quinine,Lissu,mnyika,.mdee, wale chadema damu...hawawezi kujibu hili. hata kujaribu tu kufafanua

sembuse wewe mkuu??
 
Vyama kama cdm Dawa ni kuviacha vijifie tu, chama gani gani Mwenyekiti Wa kudumu?

siku tukiwa na demokrasia halisi ndani ya vyama vyote, ccm, cdm, cuf, .....

demokrasia kwenye taasisi kama TFF, n.k


kwenye makanisa na misikiti


then tutapata demokrasia ya nchi


sio terminology yetu,bado hatujaifikia kama nchi za dunia ya 3

wanaomlaumu JPM kwa namna yeyote ndio worst dictators kwenye vyama vyao
 
mkuu mnasema mnataka ukweli au

alichosema ni kweli au?
Hakuna ukweli hapo, ni majungu tu. Kama yeye bado ni mwanaChadema, kwanini asipeleke malalamiko yake panapohusika? Humu hawezi kupata majibu, aende ofisini atapata majibu.
 
Back
Top Bottom