Hiyo ni kawaida ila kwa hali ya kisiasa ilivyo kwa huko kwetuNipo mkuu tunashuhudia mafuriko huku baadhi ya makada wa chama chetu ccm wakiamua kujivua gunia jeusi na kuanza kuikosoa sirikale
Hiyo ni kawaida ila kwa hali ya kisiasa ilivyo kwa huko kwetu
Kuna vitu huwa vinahitaji kuvifanyia tadhimini kabla ya kuzipa uzito
Ccm wanatumia nguvu ya kuwaanda watu wa kuwahadaa wananchi kwa kuonekana wao wanawatetea wananchi ila kwa hali halisi ni kinyume chake
Kauli za wana Ccm usizipe uzito ila zipime katika mizani ya fikira
Ukifuatili mambo yao ni kwaajili ya matumbo yao na familia zao na si kwa wananchi wanao wasema kwenye midomo yao
Hilo wala kwetu hatulipi nafasi maana hizo ndiyo nyimbo zao na mwisho wa siku wanaishia kusifia kila kitu
Ni kweli unajua kwa sasa hali ilivyo Ccm inazalisha watu wanao pelekwa upinzani na kuaminiwa sana hii pia inapelekea upinzani kuwa sehemu ya chama tawala
Na hii inahitaji umakini kuwajua watu wa aina hii
Kweli Kabisa.Baada ya kunyofoa uti wa mgongo wa wizi wa kura kwa kuondoa MA DED sasa ni wakati wa kujiimarisha
Sawa hii kwa vyama vya upinzani vinatakiwa kuandaa vijana na sikuchukua vijana ambao wanaonekana wanaishambulia selikariNakuunga mkono kwa 100% maana tumejifunza sana kipindi hiki cha kuunga mkono
Kweli Kabisa.
Pendekezo Lingine. CHADEMA SASA WAJENGE JENGO LA KISASA LA MAKAO MAKUU YA CHAMA, MAKAO MAKUU YA NCHI, DODOMA. NA SHUGHULI KUU ZA CHAMA ZIWE DODIMA.
SawaHao kwa sasa wameanza kujichuja wenyewe
Picha Za zamani Patrobas Katambi na Meya Jacob .Sasa hivi Patrobas yupo CCM
All the bestTunajiandaa kumg'oa mkoloni mweusi