CHADEMA twazidi kujiimarisha

CHADEMA twazidi kujiimarisha

ndiyo nimetoka kula siumeona sijacomet muda kama lisaa ? nilikuwa nakulaau na wewe ndiyo kichwa kikubwa
We ndo huyu nini mkuu,hata ulicho andika hakieleweki pole.
tapatalk_jpeg_1548650435331.jpg
 
CDM chama la kizazi kipya!! Bravo saana; unaingia kwa hiari na unatoka kwa hiari wanaobaki wanapiga kazi kama kawa... hili ndilo chama bwana!!

Chama eti hadi uambiwe cha kusema eboo!!!
Wakiambiwa kuwa cdm ni mpango wa mungu wanakataa
 
Back
Top Bottom