imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 61,236
- 98,403
Red guard ilishavunjwa kitambo na ilikuwa ni wabongo wa makabila yote.ni watazania wenzetu tu mbona na nyinyi mlianzisha group gani sijui la kujulinda nao walikuwa wahutu
Red guard ilishavunjwa kitambo na ilikuwa ni wabongo wa makabila yote.ni watazania wenzetu tu mbona na nyinyi mlianzisha group gani sijui la kujulinda nao walikuwa wahutu
Kinachomuuma roho ni kusikia Pikipiki 200.Endelea kumpa ukweli wake maana naona lengo lake lilikuwa ni kuchafua hali ya hewa
Zile mahindra za Zulma mpaka wakafilisi muhindi wa watu,leo hii wanapiga hesabu ya kumzulumu Mchina
sasa mnaandika kwa chuki ndiyo maana mnaona wa ccm ni wahutuRed guard ilishavunjwa kitambo na ilikuwa ni wabongo wa makabila yote.
pikipiki kitu ganijamani wenzenu wanauwezoo wa kumiliki ma v8Kinachomuuma roho ni kusikia Pikipiki 200.
Uchaguzi si umekaribia?! Utasikia kuna watu wamelizwa.Mchina haibiwi kiboya mkuu wale wanachapa ngumi hadi Mawaziri huko Uganda.
Fedha iko wapi?!pikipiki kitu ganijamani wenzenu wanauwezoo wa kumiliki ma v8
hivi tunavitegauchumi vingapi ndani ya chama tushindewe kununua ma v8 ya kuzungukia?Fedha iko wapi?!
Mkuu Mahindra zilikuwa ni za kihindi
Ile press machine yenyewe mumeuza Skrepa.hivi tunavitegauchumi vingapi ndani ya chama tushindewe kununua ma v8 ya kuzungukia?
Hiyo ni binafsi imepigwa nzimanzimaUmesahau ile 1.5 trillion?
i CAG si alishatoa maelezo hakuna hela iliyopoteaUmesahau ile 1.5 trillion?