nditolo
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 3,609
- 4,097
Huwa tathimini yangu nilioipiga nimeona nikama mikoa ya mbeya songwe chadema niwengi kuliko mikoa mingine yote
Ni kweli kabisa Mbeya na Songwe ccm ilikufa zamani sana. Kwanza kunapakana na nchi ambazo zimekomaa kidemocrasia kama vile Malawi, Zambia na DRC