Uchaguzi 2020 CHADEMA Tunduma: Wananchi wakimsindikiza Mwakajoka kuchukua fomu za Ubunge

Washamba na malimbukeni walisema kwamba upinzani watakuwa washaufuta ikifika 2020
FB_IMG_1595009729173.jpg
 
13 August 2020
Tunduma, Tanzania

UMATI WA WATU WAMPELEKA MWAKAJOKA KUCHUKUA FORM YA KUGOMBEA UBUNGE.


Source: DSS Tunduma

Tuliwaambia CCM Mpya wananchi wanataka sera bora zitakazowafanya wawe watu huru katika kujiletea Maendeleao ya Watu.

Mfano wa Maendeleo ya Watu kwa mtu huru ni serikali kuweka mazingira bora katika kilimo. Siyo wao wanalima Korosho kama watoto yatima halafu siku ya mavuno serikali inakuja kuyanyakuwa kwa mkopo wakati wamefanya kazi kwa bidii na jingi bila msaada wa Mkuu wa wilaya DC, RC, Waziri wa Kilimo, Ofisi ya Waziri Mkuu wala Ofisi ya Rais. Huo ni mfano mmoja wa unyanyasaji.

Wananchi wanaona unyanyasaji wa wazi kwa wabunge wao waliowatuma huko ndani ya Bunge na nje ya Bunge. Chaguzi ndogo kati ya 2015-2019 zilizofanyika kukuta Ofisi ya Mkurugenzi imefungwa! Mwaka 2019 November Uchaguzi wa serikali za Mitaa na Vijiji wagombea wa upinzani kunyimwa fomu au kuenguliwa kihuni wananchi waliona. Vyombo vya habari kutishwa kurusha habari za wapinzani...

Wananchi wanalipa kodi lakini viongozi wanasema wazi na kwa vitendo vya kibaguzi kuwa hawatapata barabara kwa vile wamechagua viongozi bora ambao wametokana na upande mbadala ambao licha ya kuwa unatambulikana kisheria kupitia katiba lakini wanaadhibiwa na CCM Mpya kwa kunyimwa huduma muhimu za Maendeleo ya Watu.

Sasa wananchi wameamua kusema basi!
 
13 August 2020
Tunduma, Tanzania

MWAKAJOKA AKIONGEA NJE YA OFISI ZA TUME YA UCHAGUZI MARA BAADA YA KUCHUKUA FOMU ZA KUGOMBEA UBUNGE

Frank Mwakajoka akiongea na waandishi wa habari nje ya Ofisi Tume Ya Uchaguzi ambapo Kamanda Mwakajoka amesema amepokelewa vizuri na maofisa wa Tume ya Uchaguzi na hivyo ana matumaini uchaguzi 2020 utakuwa wa haki na huru. Mwakajoka amesema hilo kwa kunukuu kauli ya Rais Magufuli kuwa uchaguzi mwaka huu utakuwa huru na wa haki ili atakayekuwa mshindi atangazwe.
Source : DSS Tunduma
 
13 August 2020
Tunduma, Tanzania

UMATI WA WATU WAMPELEKA MWAKAJOKA KUCHUKUA FORM YA KUGOMBEA UBUNGE.


Source: DSS Tunduma

Tuliwaambia CCM Mpya wananchi wanataka sera bora zitakazowafanya wawe watu huru katika kujiletea Maendeleao ya Watu.

Mfano wa Maendeleo ya Watu kwa mtu huru ni serikali kuweka mazingira bora katika kilimo. Siyo wao wanalima Korosho kama watoto yatima halafu siku ya mavuno serikali inakuja kuyanyakuwa kwa mkopo wakati wamefanya kazi kwa bidii na Jason jingi bila msaada wa Mkuu wa wilaya DC, RC, Waziri wa Kilimo, Ofisi ya Waziri Mkuu wala Ofisi ya Rais. Huo ni mfano mmoja wa unyanyasaji.

Wananchi wanaona unyanyasaji wa wazi kwa wabunge wao waliowatuma huko ndani ya Bunge na nje ya Bunge. Chaguzi ndogo kukuta Ofisi ya Mkurugenzi imefungwa! Mwaka 2019 Uchaguzi wa serikali za Mitaa na Vijiji wagombea wa upinzani kunyimwa fomu au kuenguliwa kihuni wananchi waliona. Vyombo vya habari kutishwa kurusha habari za wapinzani...

Wananchi wanalipa kodi lakini viongozi wanasema wazi na kwa vitendo vya kibaguzi kuwa hawatapata barabara kwa vile wamechagua viongozi bora ambao wametokana na upande mbadala ambao licha ya kuwa unatambulikana kisheria kupitia katiba lakini wanaadhibiwa na CCM Mpya kwa kunyimwa huduma muhimu za Maendeleo ya Watu.

Sasa wananchi wameamua kusema basi!

Mpaka machozi yananilenga lebga,aisee
 
13 August 2020
Tunduma, Tanzania

MWAKAJOKA AKIONGEA NJE YA OFISI ZA TUME YA UCHAGUZI MARA BAADA YA KUCHUKUA FOMU ZA KUGOMBEA UBUNGE

Frank Mwakajoka akiongea na waandishi wa habari nje ya Ofisi Tume Ya Uchaguzi ambapo Kamanda Mwakajoka amesema amepokelewa vizuri na maofisa wa Tume ya Uchaguzi na hivyo ana matumaini uchaguzi 2020 utakuwa wa haki na huru. Mwakajoka amesema hilo kwa kunukuu kauli ya Rais Magufuli kuwa uchaguzi mwaka huu utakuwa huru na wa haki ili atakayekuwa mshindi atangazwe.
Source : DSS Tunduma

Fainali ni siku ya uchaguzi kuhakikisha kuwa "Ballot box and its contents is not tempered".
 
Hivi baada ya mikwara yote ile hawa jamaa wanaonekana wako "live and kicking". Anaejua siri ya CDM ni nini atueleze. Kwangu mimi washinde wasishinde wamenistajabiisha. Yule aliesema 2020 bye bye CDM itabidi atafute mikwara mingine naamini hata waliokwenda kuunga juhudi wameumbuka na hasa baada ya kugongwa na wajumbe wa CCM.
 
Hivi baada ya mikwara yote ile hawa jamaa wanaonekana wako "live and kicking". Anaejua siri ya CDM ni nini atueleze. Kwangu mimi washinde wasishinde wamenistajabiisha. Yule aliesema 2020 bye bye CDM itabidi atafute mikwara mingine naamini hata waliokwenda kuunga juhudi wameumbuka na hasa baada ya kugongwa na wajumbe wa CCM.
Pamoja na kufunga bunge live wabunge wa CCM wanafikiri wananchi hawajui vituko na vihoja walivyokuwa wanavifanya kwa miaka mitano mfululizo bungeni.
Mabadiliko ni asili ya binadamu, ni kitu kinachofukuta ndani ya moyo wa mtu bila hata kulazimishwa na mtu yeyote, haya yanayoendelea yanatia moyo na ni Win win situation, its either CCM ishindwe au Ijifunze na kujitafakari, wakitetea dola watumikie wananchi na si kujimilikisha Nchi pekeyao. Hili ni somo na ni funzo na kila atakayeshupaza shigo atapigwa tu, ukishupaza shingo yako inaamana unakiponza chama chako, pengine....... pengine tunaelekea katika siasa za aina yake, siasa za kuamini one mistake one goal, na pengine tutapunguza watu kufia vyama badala ya kufia nchi, Nimefurahi kuwaona wanawake mbelembele hapo.

Mungu ibariki Tanzania.
 
Back
Top Bottom