Ahh ndio nimekumbukaSilinde alirudi kule upande wa pili.
Ya wanawake wa mbeya nibalaaaa wameielewa sana cdm kunakipindi walipanga siku maalum ya kuvaa sare za chadema tu nafikiri walikua wakiifanya ijumaa yani kila kona walikua wanavaaa mpaka sokoniKina mama wa Mbeya huwa nawaelewa sana, hawanaga shobo na mboga mboga wamejitambua kitambo sana.
Huo ni ubunifu mzuri sana yafaa uigwe maeneo mengine.Ya wanawake wa mbeya nibalaaaa wameielewa sana cdm kunakipindi walipanga siku maalum ya kuvaa sare za chadema tu nafikiri walikua wakiifanya ijumaa yani kila kona walikua wanavaaa mpaka sokoni
Silinde amejivua nguo sana.
Silinde atakuwa anaugulia maumivu ya wajumbe!
Angalau wewe umeandika vitu ambavyo ni ukweli,ila kiuhalisia kwa spirit aliyonayo Lissu na anayowapa Watanzania,safari hii DEDs wanatakiwa wawe na akili ku mkichwa.Nyie chadema kwenye sanduku hatuwawezi, ila inshaalah wakurugenzi wanalipwa na gari zao zinajazwa mafuta kwa hela kutoka mfuko wa mwenyekiti wetu naamini jambo haliwezi haribika!
Hakawii kucheza segere na kufunua dera kuonyesha kufuri ili kuomba kura.Hiyo ni salaam hata kule Mbeya kwa yule maza wa uspika..tulimwambia akatubeza sasa kazi kwake...ajiandae kucheza sebene!!
TUNDUMA MAMBO MOTO.
Wanachama wa chadema na Wananchi jana wamemsindikiza mbunge wao Frank Mwakajoka Kuchukua Form ya Ubunge Jimbo hilo...
#niyeye2020
Kina mama wa Mbeya huwa nawaelewa sana, hawanaga shobo na mboga mboga wamejitambua kitambo sana.
Yapo majinga mengi yalitia Nia ccm, na Pasco Mayala akiwemo, kwa kudhani kuw a CCM itawabeba kiulaini. lakini shughuli ya October hata kasimu majaliwa huenda asirudi bungeniWasiwasi, Hofu,Ubinafsi na urafi was madaraka kwa waliofikiri jina CCM litawabeba mwaka huu kuna somo kubwa subirini mtaona.
TUNDUMA MAMBO MOTO.
Wanachama wa chadema na Wananchi jana wamemsindikiza mbunge wao Frank Mwakajoka Kuchukua Form ya Ubunge Jimbo hilo...
#niyeye2020
CCM wameshagundua Hilo la Mpasuko wanachokifanya wanadelay kutoa majina ili Kila chama kiwe na mgombea siku wakitoa majina yao waliokosa washindwe kwa kuhamia.Uchaguzi wa mwaka huu utakuwa mchuano mkali sana,ngoja nao ccm watoe majina yao tuone mpasuko wao ukiamia upande wa pili