CHADEMA tukichukua nchi 2015 tuifanye nini CCM?

CHADEMA tukichukua nchi 2015 tuifanye nini CCM?

Wala mie sijakujibu wewe mie nilikuoswa namjibu Molemo, analalamika nakushambulia wewe...mie nipo tu wala usihofu.
hiyo style ya kusema mie mie chunguza na upime kwa makini na ujitosheleze,je wanaume marijali huwa tunaongea kwa style hizo??
mie mie ndio nini??
hebu kaza sauti mtoto wa kiume,au wewe ni,,,,,,,,,,,,,,???
 
Kazi kwelikweli, badala ya kuwaza Mkishinda Muwafanyie nini wananchi nyie mnawaza muwafanye nini CCM?!!!!! CHADEMA ikiingia madarakani hatutaki pesa kidogo tulizonazo zianze kuendesha kesi za CCM tena, tunataka tuone MABADILIKO, tunataka tuone mfumuko wa bei unapungua na shillingi inaimarika, tunataka kuona fursa zinafunguka, tunataka kuona nchi inaachana na uchumi tegemezi, tunataka kuona viwanda, tunataka kuona miundombinu imara, tunataka kuona.....oooooh maan, we want CHANGE!
 
hiyo style ya kusema mie mie chunguza na upime kwa makini na ujitosheleze,je wanauma marijali huwa tunaongea kwa style hizo??
mie mie ndio nini??
hebu kaza sauti mtoto wa kiume,au wewe ni,,,,,,,,,,,,,,???

Napenda style yako ya kupaka rangi maandishi...umepaka hina ndiyo malazi yangu.
 
Kazi kwelikweli, badala ya kuwaza Mkishinda Muwafanyie nini wananchi nyie mnawaza muwafanye nini CCM?!!!!! CHADEMA ikiingia madarakani hatutaki pesa kidogo tulizonazo zianze kuendesha kesi za CCM tena, tunataka tuone MABADILIKO, tunataka tuone mfumuko wa bei unapungua na shillingi inaimarika, tunataka kuona fursa zinafunguka, tunataka kuona nchi inaachana na uchumi tegemezi, tunataka kuona viwanda, tunataka kuona miundombinu imara, tunataka kuona.....oooooh maan, we want CHANGE!

HAYO YOTE ULIYOSEMA NI YA MSINGI NA YAPO KATIKA SERA ZETU
NA HUYU ALIETUFIKISHA HAPA TUMFANYE NINI??
si anayafanya haya anayoyafanya kwa makusudi??
 
Chadema ni watu wa visasi wakipewa madaraka makubwa wanaweza kuishi maisha ya kulipiza visasi kwa yoyote yule aliyewakwaza kwa namna moja au nyingine katika maisha yao yote.
 
chadema ni watu wa visasi wakipewa madaraka makubwa wanaweza kuishi maisha ya kulipiza visasi kwa yoyote yule aliyewakwaza kwa namna moja au nyingine katika maisha yao yote.

mtu wa kwanza kwa visasi duniani ni baba mwanaasha
nani hajui hilo??
 
Chadema bado wana hasira ya kushindwa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010. Ndiyo maana kila mfuasi wa Chadema anaropoka ovyo tu.
 
Napenda style yako ya kupaka rangi maandishi...umepaka hina ndiyo malazi yangu.
Kwi Kwi kwiiii... MkuuRitz,usitumie nguvu kijana kasoma seminari keshakusoma.
 
Furaha iliyojee kuanguka kwa CCM 2015 na CHADEMA kuingia ikulu,,
naomba sana mungu uhai ili nami niwe miongoni wa watakaoshuhudia anguko hilo la mkoloni mweusi na fisadi CCM,,

without a further do,,tujiulize tutapochukua na kuikomboa nchi hii hapo 2015,

tuifanye nini CCM na jopo lake la wahujum uchumi wa nchi hii???

1.tuwafunge?

2.tukifungie chama hiko moja kwa moja kushiriki siasa?

3,tuwapeleke the hague?

4.tuwafilisi mali zao?
5.tuwaweke vizuizini maisha yao yote kwa kuwajengea jela ya mateso ili kuwaadabisha kwa dhulma kubwa waliyowafanyia watanzania takriban miongo mitano sasa??

Au tuwafanye nini hawa mafisadi,kwa maana tulipochukua nchi hii kwa mkoloni mweupetulimfukuza hapa nchini,huyu mkoloni mweusi tumpe adhabu gani??

Kuwa na hasira bila hekima na busara ni mbaya sana, sijui CCM nao wanapaswa kujiuliza upinzania usipochukua nchi mwaka 2015 tuufanye nini?
 
mtu wa kwanza kwa visasi duniani ni baba mwanaasha
nani hajui hilo??
Padri si mtu wa visasi kwa sababu anafundisha ukipigwa shavu la kushoto geuza la na kulia.Sasa sijui wewe umegeuka mara ngapi?
 
Inasikitisha huna uwezo wa kujengo hoja...naona mipasho na kupaka rangi maandishi pamoja na hina.


TOKEA LINI MWANA CCM AKAWEZA KUJENGA HOJA??
ukijiona umejikita ccm basi jua fika wewe ni mchumia tumbo,profesa muhongo katudhihirishia hilo hivi majuzi,,
 
Padri si mtu wa visasi kwa sababu anafundisha ukipigwa shavu la kushoto geuza la na kulia.Sasa sijui wewe umegeuka mara ngapi?


nitaongea na mods kwa uthibitisho niwaambie uhalisia juu yako wewe ya kwamba,hauko sawa
sometimes yes,sometimes no
 
Inasikitisha huna uwezo wa kujengo hoja...naona mipasho na kupaka rangi maandishi pamoja na hina.


na ndiyo maana ile aya ya kwanza ilivoshuka ilikuusia usome kwa jina la mola wako ambae kaumba,,
ila wewe ukapuuzia kusoma na kuona kuvaa nguo za kijani na kushinda lumumba ndio big deal,,
unasikitisha sana,umekosa dunian,umekosa pia na akhera
 
Chadema kinapaswa kuwaeleza watanzania itawafanyia nini endapo watanzania watakipa fursa ya kushika dola. Wao wanawaza kupambana na CCM.
 
nitaongea na mods kwa uthibitisho niwaambie uhalisia juu yako wewe ya kwamba,hauko sawa
sometimes yes,sometimes no

Mkuu Mingoi,

Kamanda anajisifu humu JF kuwa yeye kiboko mbona anaanza kulia lia kwa mods. Ha ha haa.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom