mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,276
- 12,335
Sifa ya kikatiba inadai mgombea awe na afya njema.
Swali la kujiuliza waliripotisha vyeti vya madaktari kwa ofisi za tume?
Je, huu mwenendo wa mgombea huyu kuwa na mapumziko mengi yanaashiria kuwa afya ya bwana Tundu sio nzuri hivyo hata chadema hawakuliangalia hili?
Hadi wachapishe form moja tena kwa mgonjwa peke yake?
Hivi huwa wanamtafutia matibabu ya kitaalamu anapokuwa na hizi midterm au huwa anajipooza na dawa za kinyaturu toka ubelgij?
Hivi huu si muda mwafaka kwa chadema kutuambia ukweli juu ya nini chanzo cha mapumziko mengi hivyo?
Na je adhabu aliyopewa mgombea wa CCM kusimamishwa for 7 days haihusiani na kuweka ulinganyo sawa na mgombea anaenda likizo ya 8 days?
Swali la kujiuliza waliripotisha vyeti vya madaktari kwa ofisi za tume?
Je, huu mwenendo wa mgombea huyu kuwa na mapumziko mengi yanaashiria kuwa afya ya bwana Tundu sio nzuri hivyo hata chadema hawakuliangalia hili?
Hadi wachapishe form moja tena kwa mgonjwa peke yake?
Hivi huwa wanamtafutia matibabu ya kitaalamu anapokuwa na hizi midterm au huwa anajipooza na dawa za kinyaturu toka ubelgij?
Hivi huu si muda mwafaka kwa chadema kutuambia ukweli juu ya nini chanzo cha mapumziko mengi hivyo?
Na je adhabu aliyopewa mgombea wa CCM kusimamishwa for 7 days haihusiani na kuweka ulinganyo sawa na mgombea anaenda likizo ya 8 days?