CHADEMA tayari kuuwasha moto. Arusha mpo?

CHADEMA tayari kuuwasha moto. Arusha mpo?

nilsema hicho chama ni cha kaskazini ni cha wachaga so hatuwezi kuwa na vyama vyenye element za kidini.namsihi mkuu wa mkoa bw kafulila usikubali kujalibiwa na hao watu ili wakuharibie kitumbua chako.ni style ile ile waliomfanyia Lengai.mwangalie sana huyo mwenyekiti wa cdm hao watu wana ajenda zilizojificha.wanataka kuharibu amani ya nchi hivyo kabla hawajafanya hivyo hakikisha unadeal nao kisawasa bila kupepesa macho.
Mama waamshe wanaoo.
 
Kwa nini kaskazini? kwa nini sio mtwara au kigoma?

Chama hiki lazima kijiondoe kwenye mizizi ya ukaskazini na uchaga ndio kitaeleweka. Hakuna yoyote mwenye akili atakubali kukipa dola chama kilichojaa wachaga tupu.
CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE
 
Kwa nini kaskazini? kwa nini sio mtwara au kigoma?

Chama hiki lazima kijiondoe kwenye mizizi ya ukaskazini na uchaga ndio kitaeleweka. Hakuna yoyote mwenye akili atakubali kukipa dola chama kilichojaa wachaga tupu.
Wewee hembu acha ukabila na ukaburu. Sawa???
Mwendazake amejenga uwanja wa ndege Chato sababu Ni sehemu ya Tanzania pia. Acha ubaguzi. Umeelewa???
 
Hoja mfu kama hizi hazitegemewi kuletwa mbele ya hadhira ya Jamiiforum, Hivi kama Chadema Kiongozi wa ngazi ya Juu anatoka kasikazini haruhusiwi kufanya mikutano eneo lake kwa sababu ni wa kasikazini?

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
mikutano ya nn sasa na kuna corona
 
nilsema hicho chama ni cha kaskazini ni cha wachaga so hatuwezi kuwa na vyama vyenye element za kidini.namsihi mkuu wa mkoa bw kafulila usikubali kujalibiwa na hao watu ili wakuharibie kitumbua chako.ni style ile ile waliomfanyia Lengai.mwangalie sana huyo mwenyekiti wa cdm hao watu wana ajenda zilizojificha.wanataka kuharibu amani ya nchi hivyo kabla hawajafanya hivyo hakikisha unadeal nao kisawasa bila kupepesa macho.

wamesema kuna corona
 
kamfukue mwendazake ili muwapatie hekaheka hawa watu, wapotee kwanza kwa wiki tatu nne hivi, wakirudi watie adabu huku wakiwa na viongo nusu.
Mama na timu yake mpya anawatosha.
 
Kwa nini kaskazini? kwa nini sio mtwara au kigoma?

Chama hiki lazima kijiondoe kwenye mizizi ya ukaskazini na uchaga ndio kitaeleweka. Hakuna yoyote mwenye akili atakubali kukipa dola chama kilichojaa wachaga tupu.
Punguani katika ubora wako
 
Kwa nini kaskazini? kwa nini sio mtwara au kigoma?

Chama hiki lazima kijiondoe kwenye mizizi ya ukaskazini na uchaga ndio kitaeleweka. Hakuna yoyote mwenye akili atakubali kukipa dola chama kilichojaa wachaga tupu.

Sasa kama hawana wafuasi wa kutosha kwenye hayo maeneo ulitaka wafanye nini?

Mbona CCM hawaonekanwi Pemba?
 
Kwa nini kaskazini? kwa nini sio mtwara au kigoma?

Chama hiki lazima kijiondoe kwenye mizizi ya ukaskazini na uchaga ndio kitaeleweka. Hakuna yoyote mwenye akili atakubali kukipa dola chama kilichojaa wachaga tupu.
😀 😀 😀 Chama kimejaa wazee wa fursa.
 
Back
Top Bottom