CHADEMA tayari kuuwasha moto. Arusha mpo?

CHADEMA tayari kuuwasha moto. Arusha mpo?

denooJ

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2020
Posts
18,487
Reaction score
68,269
Kilimanjaro na Manyara mkae tayari, the game is about to start, Mama waamshe wanao waambie Makamanda wameingia Mjini tayari kukiwasha, hii haifi ina tabia ya kusinyaa tu ikimwagiliwa kidogo inakuwa mbuyu.

E1mncAaXMAojkfP.jpg
E1mncAWWQAAkbnN.jpg
E1mncAaXMAQYaMx.jpg
E1mncAVXMAYBqLW.jpg

 
Kwa nini kaskazini? kwa nini sio mtwara au kigoma?

Chama hiki lazima kijiondoe kwenye mizizi ya ukaskazini na uchaga ndio kitaeleweka. Hakuna yoyote mwenye akili atakubali kukipa dola chama kilichojaa wachaga tupu.
 
Unatubip wewe huku tukijua mwenyekiti Yuko busy na Biashara zake Uarabuni. Taja na tarehe.
 
Kuna nini tena jamani!??? Si tulikubaliana miradi inakamilika kwanza ndipo siasa zianaendelea!??? Bcz hapa Bongo siasa IS NOT EQUALS TO maendeleo.
 
Kwa nini kaskazini? kwa nini sio mtwara au kigoma?

Chama hiki lazima kijiondoe kwenye mizizi ya ukaskazini na uchaga ndio kitaeleweka. Hakuna yoyote mwenye akili atakubali kukipa dola chama kilichojaa wachaga tupu.
Wacha hasira.
 
Kuna nini tena jamani!??? Si tulikubaliana miradi inakamilika kwanza ndipo siasa zianaendelea!??? Bcz hapa Bongo siasa IS NOT EQUALS TO maendeleo.
Mama waamshe wanao, mlikubaliana na nani?
 
Kwa nini kaskazini? kwa nini sio mtwara au kigoma?

Chama hiki lazima kijiondoe kwenye mizizi ya ukaskazini na uchaga ndio kitaeleweka. Hakuna yoyote mwenye akili atakubali kukipa dola chama kilichojaa wachaga tupu.
nilsema hicho chama ni cha kaskazini ni cha wachaga so hatuwezi kuwa na vyama vyenye element za kidini.namsihi mkuu wa mkoa bw kafulila usikubali kujalibiwa na hao watu ili wakuharibie kitumbua chako.ni style ile ile waliomfanyia Lengai.mwangalie sana huyo mwenyekiti wa cdm hao watu wana ajenda zilizojificha.wanataka kuharibu amani ya nchi hivyo kabla hawajafanya hivyo hakikisha unadeal nao kisawasa bila kupepesa macho.
 
Kwa nini kaskazini? kwa nini sio mtwara au kigoma?

Chama hiki lazima kijiondoe kwenye mizizi ya ukaskazini na uchaga ndio kitaeleweka. Hakuna yoyote mwenye akili atakubali kukipa dola chama kilichojaa wachaga tupu.
kwa nini Mtwara au Kigoma? kwa nini isiwe Mwanza na Simiyu? mawazo ya kibaguzi ndio ubaguzi wenyewe, popote watakapo anzia ni Tanzani fullstop.
 
Kwa nini kaskazini? kwa nini sio mtwara au kigoma?

Chama hiki lazima kijiondoe kwenye mizizi ya ukaskazini na uchaga ndio kitaeleweka. Hakuna yoyote mwenye akili atakubali kukipa dola chama kilichojaa wachaga tupu.
Wewe wachaga walikutumia,wakakujaza tumbo na kukutelekeza bila hata thumni huku wakiendelea kuponda raha na warembo wengine!?
 
Kwa nini kaskazini? kwa nini sio mtwara au kigoma?

Chama hiki lazima kijiondoe kwenye mizizi ya ukaskazini na uchaga ndio kitaeleweka. Hakuna yoyote mwenye akili atakubali kukipa dola chama kilichojaa wachaga tupu.
Kasikazini sio Tanzania?
 
Kwa nini kaskazini? kwa nini sio mtwara au kigoma?

Chama hiki lazima kijiondoe kwenye mizizi ya ukaskazini na uchaga ndio kitaeleweka. Hakuna yoyote mwenye akili atakubali kukipa dola chama kilichojaa wachaga tupu.
Hoja mfu kama hizi hazitegemewi kuletwa mbele ya hadhira ya Jamiiforum, Hivi kama Chadema Kiongozi wa ngazi ya Juu anatoka kasikazini haruhusiwi kufanya mikutano eneo lake kwa sababu ni wa kasikazini?

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom