Ndotoni.2030 CDM wanachukua nchi.
Mark this comment!
Huu ni kama uchuro, mkuu 'Mshana Jr' iwapo tayari tunaanza kukubali ya huko 2030.Uzi wa matukio mbalimbali ya CHADEMA 26-30.. Madhila wanayopitia.. Vita wanazopigana.. Mafanikio wanayopa .. Na namna wanavyomgaragaza adui kwenye kila kona.. Kila saa na kila wakati
Karibuni wote! Friends and foes!
Naona/Natumaini ni 'Heading' iliyotumika ndiyo haikukaa sawa.WANACHAMA 7 WA CHADEMA WILAYANI MAGU WAMEACHIWA RASMI NA MAHAKAMA
Baada ya Jamhuri kushindwa kwenye kesi ya kuchoma moto hapa Magu, wameamua kuachana na kesi ya Uhaini kwa kusema Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai Hana Nia ya kuendelea na kesi hiyo ya uhaini.
Sasa vijana wetu wote wa Magu wanaenda nyumbani kuungana na familia zao.
Asanteni kwa Maombi yenu, Asanteni kwa msaada wenu, !!!
Taarifa kutoka kwa Wakili Gaston Shundo Garubindi ambaye ni Mkurugenzi wa Sheria wa Chadema.View attachment 3553947
Hii ni mada mbaya sana, hata sijui imeingiaje ndani ya akili zako.😭Huu ni kama uchuro, mkuu 'Mshana Jr' iwapo tayari tunaanza kukubali ya huko 2030.
Ina maana Mzee Butiku na mashetani wenzie tayari wameibuka kidedea?
Hiyo 2030 unayoizungumzia wewe, naina Tanzania ikishatengemaa muda kitambo sana, kiasi kwamba ya 2026 yatakuwa ni historia mbaya iliyopita muda mrefu sana.
Kama CHADEMA na wao wanasubiri 2030, boti wataikuta shang'oa nanga muda kitambo sana.
Hii ni mada mbaya sana, hata sijui imeingiaje ndani ya akili zako.
Nimemaliza kuchangia, sirudi tena kwenye mada mbovu kama hii.
Baada ya Lissu kuwekwa ndani, Chadema imepoa sana, ni rahisi kui push, wanachama wamekuwa wepesi kukubali vizuizi wanavyowekewa, nguvu ya kuresist imekuwa ndogo sana