Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
- Thread starter
- #61
Ccm sasa ina zaidi ya miaka 58 kwenye utawala ni jambo gani jema iliyowatendea watanzania zaidi ya kujineemesha wao?
Leo hii umasikini umetamalaki
Leo hii uchumi umeshuka hadi 4% kwa mujibu wa IMF
Leo hii watu wamefunga biashara za kwa kufirisika kisa ccm!
Leo hii umasikini umetamalaki
Leo hii uchumi umeshuka hadi 4% kwa mujibu wa IMF
Leo hii watu wamefunga biashara za kwa kufirisika kisa ccm!
CDM haina maana ni genge tu lililo jificha ndani ya chama cha siasa ili kupiga ruzuku a.k.a kodi za watanzania. Ni adui wa maendeleo