utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,815
kwa mtu mzima kama mrema kudanganya watu ni mambo ya ajabu sana kwenye hii dunia huu uongo unamwisho wake.
Na bado kazi mnayo safari hii mtakuja na kila haina ya propaganda lakini jua limeishazama.Kimbunga
Dkt. Slaa alipowasili Kahama majira ya saa 12.15 hivi, kulikuwa na hamasa sana, wengine wanasema mzuka. Alikuwa akisisitiza yeye ni muumini wa sheria kwa sababu siku zote hata mapambano yake dhidi ya vita ya ufisadi yako katika msingi huo. Bila kuwatuliza kwa haraka ili awahutubie ndani ya muda mfupi angelazimika kuwa jukwaani muda mrefu.
Haiwezekani kuwaacha watu waliokusubiri masaa 4, kwa hamu ya kukusikiliza, usitoe hata salaam kwao. Labda kama wapo wanasiasa wa vyama vingine wasiothamini wananchi kiasi hicho lakini si viongozi wa CHADEMA!
Ilikuwa lazima ahutubie kwa sababu watu wamekaa uwanjani tangu saa 8 mchana wakimsubiri yeye. Kuchelewa kwake kulitokana na magari kupata hitilafu iliyotokana na mafuta machafu kama ambavyo tumeshaeleza hapa jana.
Wanaodai kulikuwa na vurugu au mabango au sijui vitu gani, wanastahili kuonewa huruma. Najiuliza binafsi, hivi wananchi wa Kahama waliokuwa pale uwanjani wanawachukuliaje wahariri wa magazeti hayo?
Lakini wasizungumze kwa maneno, hivi kweli kwa uwezo wako wa kufikiri na kujua mambo, kungelikuwa na hali kama hiyo, magazeti hayo yangeandika maneno pekee? Watupatie picha zao! Kama hawana basi hata wafanye doctoring. Kama wameweza kwenye stori, wanasubiri nini kufanya hivyo kwenye picha.
Tunashukuru magazeti kama hayo yataendelea kujifia. Nani anasoma Gazeti la Uhuru? Kama unauliza sheria inayohusu muda wa kuhutubia mikutano, bila shaka anza na Rais Kikwete ambaye aliwahi kuvunja hata sheria ya uchaguzi inayosema specifically mwisho ni saa 12.00.
Kitu cha mwisho kabisa, mnaosema kuna sheria imevunjwa kwa Dkt. Slaa kuhutubia muda huo, mbona mnaweka maneno, wekeni ni sheria gani hiyo.
You are retarded then, because your level of communication is of Bavicha standards...
kweli hii picha ni zamani zemarcopolo , naona hapo babu alikuwa hajachoka kama sasa.
Mkuu Molemo kuna Gazeti linasema kwamba Dr. Slaa jana alizomewa na kufanyiwa vurugu huko Kahama na pia aliambulia idadi ndogo ya wananchi. Gazeti la Tanzania Daima linakuja na habari kwamba amehutubia mkutano mkubwa wa hadhara! Hivi sheria za nchi si ni kwamba mwisho wa kuhutubia mikutano ya hadhara ni saa kumi na mbili; sasa Dr. Slaa alifika saa kumi na mbili viwanjani, alihutubia saa ngapi?
Pia hapo kuna sauti ya tulieni, tulieni alikuwa akituliza nini? Siyo hizo vurugu ambazo tumeambiwa kuwa alifanyiwa?
Oh really? Didn't know that am retarded just for being 52 years! I wonder whoever is leading this nation is of what age......and you know what he could be retarded going by what you said!
Ben anamaanisha mapambano ya kuutokomeza ukoo wa panya...Mapambano yapi? Kati ya nani na nani?
Propaganda za ccm na wapenzi wa usaliti hazitasaidia kudanganya umma wa Tanzania kwa kile chadema inachosimamia.
Nabaki najiuliza, hivi haya magezeti Jamboleo, Majira, Habarileo na Uhuru hakuna sheria za kuyabana kwa kuandika uongo na kudanganya umma?! Kama magezeti yanadanganya na kusema uongo kiasi hicho maana yake ni kwamba magazeti hayo yapo kwa ajili ya kudanganya umma, kama yanadanganya kuhusu ziara ya kiongozi wa chamabcha upinzani kuna uhakika gani kama wanayoandika sio uongo?
Taaluma ya habari imeingiliwa na makanjanja wa Jamboleo, majira, habarileo na kale ka gazeti ka kutegea sumu ya panya UHURU
Wewe ni SIFURI usiyeelewa maana ya photoshop.
Basi amini na zile picha za Lema zilizosambazwa mitandaoni.
oh really? Didn't know that am retarded just for being 52 years! I wonder whoever is leading this nation is of what age......and you know what he could be retarded going by what you said!
Sioni kitu zaidi ya ubinafsi.
ukweli ni kwamba mzee slaa alifika kahama saa 9 alasiri lakini alishindwa kufika uwanjani kwa kile kilichokuwa kinaonekana mjini hapo kuwa kuna dalili za kuzomewa na kufanyiwa fujo, hata hivyo mkutano haukuwa na watu kabisa mpaka ilipofika saa 11;30 aliamua kwenda kuwasailimia wananchi wachacche waliokuwepo uwanjani, lakini alipokaribia uwanjani alikutana na watu wmebeba mabango yaliyomzomea na mengine kuandikwa jina la zitto.
nashangaa leo eti wanadanganya kuwa alihutubia mkutano mkubwa, na wandanganya kuwa waliweka mafuta machafu mkoani pwani...teh teh....waseme ni kituo gani kama wanajiamini.
Leo yatakayomkuta kigoma ni mpya hatakaa asahau.... Brigedia Nyakarungu
Wewe ni mlaghaika...
Picha hizi hapa, waweke za kwao basi hizo za kuzomea na mabango. Wakimbie haraka photo shop kufanya hiyo kazi. Wamefanya kwenye stori wanashindwa nini kwenye picha!