CHADEMA si Legelege-Dr Slaa

CHADEMA si Legelege-Dr Slaa

kwa mtu mzima kama mrema kudanganya watu ni mambo ya ajabu sana kwenye hii dunia huu uongo unamwisho wake.
 
Kimbunga

Dkt. Slaa alipowasili Kahama majira ya saa 12.15 hivi, kulikuwa na hamasa sana, wengine wanasema mzuka. Alikuwa akisisitiza yeye ni muumini wa sheria kwa sababu siku zote hata mapambano yake dhidi ya vita ya ufisadi yako katika msingi huo. Bila kuwatuliza kwa haraka ili awahutubie ndani ya muda mfupi angelazimika kuwa jukwaani muda mrefu.

Haiwezekani kuwaacha watu waliokusubiri masaa 4, kwa hamu ya kukusikiliza, usitoe hata salaam kwao. Labda kama wapo wanasiasa wa vyama vingine wasiothamini wananchi kiasi hicho lakini si viongozi wa CHADEMA!

Ilikuwa lazima ahutubie kwa sababu watu wamekaa uwanjani tangu saa 8 mchana wakimsubiri yeye. Kuchelewa kwake kulitokana na magari kupata hitilafu iliyotokana na mafuta machafu kama ambavyo tumeshaeleza hapa jana.

Wanaodai kulikuwa na vurugu au mabango au sijui vitu gani, wanastahili kuonewa huruma. Najiuliza binafsi, hivi wananchi wa Kahama waliokuwa pale uwanjani wanawachukuliaje wahariri wa magazeti hayo?

Lakini wasizungumze kwa maneno, hivi kweli kwa uwezo wako wa kufikiri na kujua mambo, kungelikuwa na hali kama hiyo, magazeti hayo yangeandika maneno pekee? Watupatie picha zao! Kama hawana basi hata wafanye doctoring. Kama wameweza kwenye stori, wanasubiri nini kufanya hivyo kwenye picha.

Tunashukuru magazeti kama hayo yataendelea kujifia. Nani anasoma Gazeti la Uhuru? Kama unauliza sheria inayohusu muda wa kuhutubia mikutano, bila shaka anza na Rais Kikwete ambaye aliwahi kuvunja hata sheria ya uchaguzi inayosema specifically mwisho ni saa 12.00.

Kitu cha mwisho kabisa, mnaosema kuna sheria imevunjwa kwa Dkt. Slaa kuhutubia muda huo, mbona mnaweka maneno, wekeni ni sheria gani hiyo.
Na bado kazi mnayo safari hii mtakuja na kila haina ya propaganda lakini jua limeishazama.
 
You are retarded then, because your level of communication is of Bavicha standards...

Oh really? Didn't know that am retarded just for being 52 years! I wonder whoever is leading this nation is of what age......and you know what he could be retarded going by what you said!
 
Mkuu Molemo kuna Gazeti linasema kwamba Dr. Slaa jana alizomewa na kufanyiwa vurugu huko Kahama na pia aliambulia idadi ndogo ya wananchi. Gazeti la Tanzania Daima linakuja na habari kwamba amehutubia mkutano mkubwa wa hadhara! Hivi sheria za nchi si ni kwamba mwisho wa kuhutubia mikutano ya hadhara ni saa kumi na mbili; sasa Dr. Slaa alifika saa kumi na mbili viwanjani, alihutubia saa ngapi?

Pia hapo kuna sauti ya tulieni, tulieni alikuwa akituliza nini? Siyo hizo vurugu ambazo tumeambiwa kuwa alifanyiwa?

Mkuu unasoma gazeti la Uhuru na Mzalendo unafikiri yanamtakia mema Dr. Slaa? angalia nyomi hiyo
 
Propaganda za ccm na wapenzi wa usaliti hazitasaidia kudanganya umma wa Tanzania kwa kile chadema inachosimamia.

Nabaki najiuliza, hivi haya magezeti Jamboleo, Majira, Habarileo na Uhuru hakuna sheria za kuyabana kwa kuandika uongo na kudanganya umma?! Kama magezeti yanadanganya na kusema uongo kiasi hicho maana yake ni kwamba magazeti hayo yapo kwa ajili ya kudanganya umma, kama yanadanganya kuhusu ziara ya kiongozi wa chamabcha upinzani kuna uhakika gani kama wanayoandika sio uongo?

Taaluma ya habari imeingiliwa na makanjanja wa Jamboleo, majira, habarileo na kale ka gazeti ka kutegea sumu ya panya UHURU


Kaka Mtoi,

hiyo ndio propaganda, tatizo Kubwa lipo Chadema Kwamba mpaka wa leo hawana chombo chochote rasmi cha kusimamia habari Zao, hivi mpaka leo Chadema imeshindwa kufungua hata Gazeti lake tukiacha TV na Radio?

Jana Mkutanao wa Slaa kule Kahama, TUMTEMEKE kaingia mapema humu kufanya Damage, Nadhani Chadema mnapaswakuimarisha kitengo cha propaganda
 
Wewe ni SIFURI usiyeelewa maana ya photoshop.

Basi amini na zile picha za Lema zilizosambazwa mitandaoni.

Acha kudanganya watu Mimi nipo hapa Kahama na jana nilikuwepo eneo la mkutano tena basi na kaa jirani hapa ukitaka picha zingine nitatuma leo umeumbuka mzee wa buku 7.
 

oh really? Didn't know that am retarded just for being 52 years! I wonder whoever is leading this nation is of what age......and you know what he could be retarded going by what you said!

hahahaaa... Inamaana prezida wake anamtukana bila kujijua.. Kweli magamba akili zao fupi
 
Maccm mumeanza kubanwa tayari, goli moja tayari
 
Duh? Kazi ipo! Maamuzi ya leo ndo matokeo ya kesho, "Bahati Bukuku song" kama tusipoangalia, Matokeo ya maamuzi ya juzi yatakuwa kitanda cha mauti ya CDM sababu tu ya kuamua based on personal interests and not on Party and State interests!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Njia ya kujaza mikutano ya CCM hii hapa!! - Unapewa Kofia, Tshet, Khanga na Buku Kumi juu.

1.jpg
 
ukweli ni kwamba mzee slaa alifika kahama saa 9 alasiri lakini alishindwa kufika uwanjani kwa kile kilichokuwa kinaonekana mjini hapo kuwa kuna dalili za kuzomewa na kufanyiwa fujo, hata hivyo mkutano haukuwa na watu kabisa mpaka ilipofika saa 11;30 aliamua kwenda kuwasailimia wananchi wachacche waliokuwepo uwanjani, lakini alipokaribia uwanjani alikutana na watu wmebeba mabango yaliyomzomea na mengine kuandikwa jina la zitto.

nashangaa leo eti wanadanganya kuwa alihutubia mkutano mkubwa, na wandanganya kuwa waliweka mafuta machafu mkoani pwani...teh teh....waseme ni kituo gani kama wanajiamini.

Leo yatakayomkuta kigoma ni mpya hatakaa asahau.... Brigedia Nyakarungu

Ukweli utajulikana tu sasa kwa nini Ben anaeneza uongo wa tz daima.. Mimi nilishaongea sana watafute suluhu na Zitto mzimu wake utakiumbisha chama
 
Nimezungumza n jamaa zangunwengi tu wa kahama mbao tunashirikiana nao kwenye masuala ya kazi na hasa za madini,wanasema kwa sasa chadema haina nguvu tena na jna hali ilikuwa tete kwa slaa na alizomewa!!!
 
Picha hizi hapa, waweke za kwao basi hizo za kuzomea na mabango. Wakimbie haraka photo shop kufanya hiyo kazi. Wamefanya kwenye stori wanashindwa nini kwenye picha!



Kamanda hawa viwavi ni wakuwahurumia tu,

ukweli huwa hauishi kapu moja na uongo!
 
Back
Top Bottom