CHADEMA si Legelege-Dr Slaa

CHADEMA si Legelege-Dr Slaa

Mkuu Molemo kuna Gazeti linasema kwamba Dr. Slaa jana alizomewa na kufanyiwa vurugu huko Kahama na pia aliambulia idadi ndogo ya wananchi. Gazeti la Tanzania Daima linakuja na habari kwamba amehutubia mkutano mkubwa wa hadhara! Hivi sheria za nchi si ni kwamba mwisho wa kuhutubia mikutano ya hadhara ni saa kumi na mbili; sasa Dr. Slaa alifika saa kumi na mbili viwanjani, alihutubia saa ngapi?

Pia hapo kuna sauti ya tulieni, tulieni alikuwa akituliza nini? Siyo hizo vurugu ambazo tumeambiwa kuwa alifanyiwa?

Kimbunga

Dkt. Slaa alipowasili Kahama majira ya saa 12.15 hivi, kulikuwa na hamasa sana, wengine wanasema mzuka. Alikuwa akisisitiza yeye ni muumini wa sheria kwa sababu siku zote hata mapambano yake dhidi ya vita ya ufisadi yako katika msingi huo. Bila kuwatuliza kwa haraka ili awahutubie ndani ya muda mfupi angelazimika kuwa jukwaani muda mrefu.

Haiwezekani kuwaacha watu waliokusubiri masaa 4, kwa hamu ya kukusikiliza, usitoe hata salaam kwao. Labda kama wapo wanasiasa wa vyama vingine wasiothamini wananchi kiasi hicho lakini si viongozi wa CHADEMA!

Ilikuwa lazima ahutubie kwa sababu watu wamekaa uwanjani tangu saa 8 mchana wakimsubiri yeye. Kuchelewa kwake kulitokana na magari kupata hitilafu iliyotokana na mafuta machafu kama ambavyo tumeshaeleza hapa jana.

Wanaodai kulikuwa na vurugu au mabango au sijui vitu gani, wanastahili kuonewa huruma. Najiuliza binafsi, hivi wananchi wa Kahama waliokuwa pale uwanjani wanawachukuliaje wahariri wa magazeti hayo?

Lakini wasizungumze kwa maneno, hivi kweli kwa uwezo wako wa kufikiri na kujua mambo, kungelikuwa na hali kama hiyo, magazeti hayo yangeandika maneno pekee? Watupatie picha zao! Kama hawana basi hata wafanye doctoring. Kama wameweza kwenye stori, wanasubiri nini kufanya hivyo kwenye picha.

Tunashukuru magazeti kama hayo yataendelea kujifia. Nani anasoma Gazeti la Uhuru? Kama unauliza sheria inayohusu muda wa kuhutubia mikutano, bila shaka anza na Rais Kikwete ambaye aliwahi kuvunja hata sheria ya uchaguzi inayosema specifically mwisho ni saa 12.00.

Kitu cha mwisho kabisa, mnaosema kuna sheria imevunjwa kwa Dkt. Slaa kuhutubia muda huo, mbona mnaweka maneno, wekeni ni sheria gani hiyo.
 
Mkuu hapo kwenye bold unaweza kutupa ushahidi?
Mkuu ushahidi upo kwa Kurugenzi ya Habari ambao alituletea picha za Kahama kumejaa minazi, teh teh teh.
 
Alikuwa akiwatuliza nyie mnaohaha...

Mkuu Tuko yaani siasa zitatufanya tuwe vipofu! Jana hali haikuwa nzuri. Angalia picha za mwaka 2011 ndio zinawekwa hapa ili kuonyesha kwamba Dr. Slaa alihutubia watu. Naona TUNTEMEKE kawakamata pabaya.

 
Last edited by a moderator:
ZITTO ni mzito. Kile alichokutana nacho Shinyanga bwana Slaa hatokuja kusahau. Nadhani itakuwa mara yake ya kwanza kuzomewa na kutaka kuvurumishiwa mawe na wanamageuzi wa kindakindaki. Wamesikika wakisema "CHAMA CHETU KWANZA UCHAGA WENU BAADAE" . Zitto lazima awape homa mwaka huu. Wakilala wakiamka, wakikaa, wakila, wakiwa chumbani na wake zao tendo linakuwa chungu, kisaaa Zitto. Zitto hata akifa kesho kama alivyouwawa CHACHA WANGWE bado misingi yake itasimama daima dumu na mtoto wake au mtu mwingine atakuja simama na kutimiza azma yake ya mabadiliko ya kweli. Siasa ni mipango ya muda mrefu, wote leo tuna mtukana zito na kumpachika majina mabaya tunaweza kufa muda wowote na huku nyum kivuli cha zitto kikaendelea kutawala akili za watoto wetu na vizazi vijavyo. Zitto historia itamuandika kama mwanamabadiliko wa kweli na hawa wa msimu wote watapotea. Ni jambo baya sana kwa mtu kama Msigwa ambaye hata miaka mitano hajafikisha chadema kumshambulia mtu mwenye miaka ishirini katika historia ya chama. Mtu aliyetumia muda wake, elimu,nguvu, mali, n.k katika kukijenga chama leo ni mtu anatukanwa na kijana wa miaka ishirini aliyeijua chadema mwaka uliopita. Mungu si kiziwa/kipofu. Anawajua na anawaona wale wenye dhamira ya kweli katika kuleta mabadiliko katika jamii/masikini na yule mlaghai.
 
Mkuu Molemo kuna Gazeti linasema kwamba Dr. Slaa jana alizomewa na kufanyiwa vurugu huko Kahama na pia aliambulia idadi ndogo ya wananchi. Gazeti la Tanzania Daima linakuja na habari kwamba amehutubia mkutano mkubwa wa hadhara! Hivi sheria za nchi si ni kwamba mwisho wa kuhutubia mikutano ya hadhara ni saa kumi na mbili; sasa Dr. Slaa alifika saa kumi na mbili viwanjani, alihutubia saa ngapi?

Pia hapo kuna sauti ya tulieni, tulieni alikuwa akituliza nini? Siyo hizo vurugu ambazo tumeambiwa kuwa alifanyiwa?

I'm the one from kahama and I was there watu walikuwa wengi si mchezo.
 
Last edited by a moderator:
mimi mwenyewe ni mpiga kura wa zzk. . Kusema ukweli dogo watu hawakua na imani naye tena. Hata uchaguzi wa 2010 alipita kwa mbinde

Hiki sio kijiwe cha BAVICHA kupigia porojo. Soma data hapo chini.
[TABLE="class: arc90_altrows-Blue, width: 100%"]
[TR]
[TD="bgcolor: #B3D5E6, colspan: 4"]KIGOMA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #B3D5E6, colspan: 4"]WILAYA YA KIGOMA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #B3D5E6, colspan: 4"]KIGOMA KASKAZINI[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%, bgcolor: #B3D5E6"]Candidate[/TD]
[TD="width: 20%, bgcolor: #B3D5E6, align: center"]
Political Party
[/TD]
[TD="width: 20%, bgcolor: #B3D5E6, align: center"]
Number of Votes
[/TD]
[TD="width: 15%, bgcolor: #B3D5E6, align: center"]
Percentage Votes
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] ZITTO KABWE ZUBERI [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"]
CHADEMA
[/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]23,366[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 48.57[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] LEMBO ROBINSON FULGENCE [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"]
CCM
[/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]18,352[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 38.15[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] OMARY MUSSA NKWARULO [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"]
CUF
[/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]4,839[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 10.06[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] CHONGERA HARUNA CHONGERA [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"]
CHAUSTA
[/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]264[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 0.55[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] MFAUME HAMISI MFAUME [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"]
APPT - MAENDELEO
[/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]108[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 0.22[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] AUGUSTINO PETER MBOLEGWA [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"]
SAU
[/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]88[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 0.18[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] GERMANI MAULIDI MLETE [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"]
DP
[/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]87[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 0.18[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] HAMISI FADHILI KISWAGA [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"]
NRA
[/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]47[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 0.1[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] MAUWA SHAURI KAMANA [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"]
JAHAZI ASILIA
[/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]19[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 0.04[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] TATU SAIDI HUSSEIN [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"]
UMD
[/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]8[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 0.02[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"] [/TD]
[TD="width: 5%, align: center"] [/TD]
[TD="width: 15%, align: center"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 10%"]SPOILT VOTES[/TD]
[TD="width: 20%, align: center"] [/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]927[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 1.93 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 10%"]TOTALS[/TD]
[TD="width: 20%, align: center"] [/TD]
[TD="width: 20%, align: right"] 48,105[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 100[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Source: The National Electrol Commission of Tanzania - Homepage
 
Mkuu,

Ile picha nilivyoiona niliwambia wazi Mods wa JF piga life ban hii Kurugenzi ya Habari kwa kuleta uongo JF.

Cha kusikitisha zaidi pro-Chadema walivyokuwa walaghaika wakawa wanashangilie ile picha bila kuhoji chochote.

Chadema wameyakoroga wenyewe.

Kama ni rahisi kiasi hicho, wekeni hizo picha zinazosapoti huo uongo wenu. Mbona mwapiga maneno. Si mweke ushahidi hapa.
 
Mkuu Tuko yaani siasa zitatufanya tuwe vipofu! Jana hali haikuwa nzuri. Angalia picha za mwaka 2011 ndio zinawekwa hapa ili kuonyesha kwamba Dr. Slaa alihutubia watu. Naona TUNTEMEKE kawakamata pabaya.


Thibitisha kuwa ni za mwaka 2011...
 
Kimbunga

Dkt. Slaa alipowasili Kahama majira ya saa 12.15 hivi, kulikuwa na hamasa sana, wengine wanasema mzuka. Alikuwa akisisitiza yeye ni muumini wa sheria kwa sababu siku zote hata mapambano yake dhidi ya vita ya ufisadi yako katika msingi huo. Bila kuwatuliza kwa haraka ili awahutubie ndani ya muda mfupi angelazimika kuwa jukwaani muda mrefu.

Haiwezekani kuwaacha watu waliokusubiri masaa 4, kwa hamu ya kukusikiliza, usitoe hata salaam kwao. Labda kama wapo wanasiasa wa vyama vingine wasiothamini wananchi kiasi hicho lakini si viongozi wa CHADEMA!

Ilikuwa lazima ahutubie kwa sababu watu wamekaa uwanjani tangu saa 8 mchana wakimsubiri yeye. Kuchelewa kwake kulitokana na magari kupata hitilafu iliyotokana na mafuta machafu kama ambavyo tumeshaeleza hapa jana.

Wanaodai kulikuwa na vurugu au mabango au sijui vitu gani, wanastahili kuonewa huruma. Najiuliza binafsi, hivi wananchi wa Kahama waliokuwa pale uwanjani wanawachukuliaje wahariri wa magazeti hayo?

Lakini wasizungumze kwa maneno, hivi kweli kwa uwezo wako wa kufikiri na kujua mambo, kungelikuwa na hali kama hiyo, magazeti hayo yangeandika maneno pekee? Watupatie picha zao! Kama hawana basi hata wafanye doctoring. Kama wameweza kwenye stori, wanasubiri nini kufanya hivyo kwenye picha.

Tunashukuru magazeti kama hayo yataendelea kujifia. Nani anasoma Gazeti la Uhuru? Kama unauliza sheria inayohusu muda wa kuhutubia mikutano, bila shaka anza na Rais Kikwete ambaye aliwahi kuvunja hata sheria ya uchaguzi inayosema specifically mwisho ni saa 12.00.

Kitu cha mwisho kabisa, mnaosema kuna sheria imevunjwa kwa Dkt. Slaa kuhutubia muda huo, mbona mnaweka maneno, wekeni ni sheria gani hiyo.

Kwanini mmeleta piha ya mwaka 2011 na kuwalaghai watu kuwa ni picha ya jana?
 
mimi mwenyewe ni mpiga kura wa zzk. . Kusema ukweli dogo watu hawakua na imani naye tena. Hata uchaguzi wa 2010 alipita kwa mbinde

Hiki sio kijiwe cha BAVICHA kupigia porojo. Soma data hapo chini.
[TABLE="class: arc90_altrows-Blue, width: 100%"]
[TR]
[TD="bgcolor: #B3D5E6, colspan: 4"]KIGOMA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #B3D5E6, colspan: 4"]WILAYA YA KIGOMA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #B3D5E6, colspan: 4"]KIGOMA KASKAZINI[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%, bgcolor: #B3D5E6"]Candidate[/TD]
[TD="width: 20%, bgcolor: #B3D5E6, align: center"]
Political Party
[/TD]
[TD="width: 20%, bgcolor: #B3D5E6, align: center"]
Number of Votes
[/TD]
[TD="width: 15%, bgcolor: #B3D5E6, align: center"]
Percentage Votes
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] ZITTO KABWE ZUBERI [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"]
CHADEMA
[/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]23,366[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 48.57[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] LEMBO ROBINSON FULGENCE [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"]
CCM
[/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]18,352[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 38.15[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] OMARY MUSSA NKWARULO [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"]
CUF
[/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]4,839[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 10.06[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] CHONGERA HARUNA CHONGERA [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"]
CHAUSTA
[/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]264[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 0.55[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] MFAUME HAMISI MFAUME [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"]
APPT - MAENDELEO
[/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]108[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 0.22[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] AUGUSTINO PETER MBOLEGWA [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"]
SAU
[/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]88[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 0.18[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] GERMANI MAULIDI MLETE [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"]
DP
[/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]87[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 0.18[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] HAMISI FADHILI KISWAGA [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"]
NRA
[/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]47[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 0.1[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] MAUWA SHAURI KAMANA [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"]
JAHAZI ASILIA
[/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]19[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 0.04[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] TATU SAIDI HUSSEIN [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"]
UMD
[/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]8[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 0.02[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"] [/TD]
[TD="width: 5%, align: center"] [/TD]
[TD="width: 15%, align: center"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 10%"]SPOILT VOTES[/TD]
[TD="width: 20%, align: center"] [/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]927[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 1.93 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 10%"]TOTALS[/TD]
[TD="width: 20%, align: center"] [/TD]
[TD="width: 20%, align: right"] 48,105[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 100[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Source: The National Electrol Commission of Tanzania - Homepage
 
Chadema inazidi kuchanja mbuga hao wanaoshabikia kuwa wana mguvu na ushawishi wa anzishe chama chao.
 
Mkuu ushahidi upo kwa Kurugenzi ya Habari ambao alituletea picha za Kahama kumejaa minazi, teh teh teh.

Ufusai mbaya sana, naona unaandika comment huku vidole vinatetemeka kuskia Dr. Wa ukweli anazidi kuchanja mbuga kama farasi vile..

Subiria na ya kigoma leo nadhan presha itazidi kupanda.. Chezea Makomando ya CDM wewee
 
ukweli ni kwamba mzee slaa alifika kahama saa 9 alasiri lakini alishindwa kufika uwanjani kwa kile kilichokuwa kinaonekana mjini hapo kuwa kuna dalili za kuzomewa na kufanyiwa fujo, hata hivyo mkutano haukuwa na watu kabisa mpaka ilipofika saa 11;30 aliamua kwenda kuwasailimia wananchi wachacche waliokuwepo uwanjani, lakini alipokaribia uwanjani alikutana na watu wmebeba mabango yaliyomzomea na mengine kuandikwa jina la zitto.

nashangaa leo eti wanadanganya kuwa alihutubia mkutano mkubwa, na wandanganya kuwa waliweka mafuta machafu mkoani pwani...teh teh....waseme ni kituo gani kama wanajiamini.

Leo yatakayomkuta kigoma ni mpya hatakaa asahau.... Brigedia Nyakarungu

Nyakarungu una nafsi ngapi we kila sehemu ya nchi upo na una taarifa zake??
Kwenye misafara ya timu ya matamko ya wanaccm wanaojiita wanachadema upo?? Vipi ,are you a ghost??
 
asikudanganye mtu... Mi niko kahama na mimi ni magamba kama wewe lakini mkutana wa slaa ulifunika mara 3 ya ule wa kinana.msema ukweli ni mcha mungu
kinana nae alikua kahama?...ama umelinganishaje?.

Na kwanini slaa aseme,TULIENI TULIENI kama hapakuwepo na dhahama?
 
Thibitisha kuwa ni za mwaka 2011...

Mzee wa Moro,

Na wewe umelaghaika? Hujui jinsi ya kutumia yeknolojia kujua picha imepigwa lini?

Umeona kwenye green card wanasema ukitumia picha iliyopigwa zaidi ya miezi 6 unakuwa disqualified, umejiuliza watajuaje picha imepigwa lini?

Una mengi ya kujifunza...

Cc FaizaFoxy
 
Thibitisha kuwa ni za mwaka 2011...

Mkuu Tuko hebu futa maelekezo ya TUNTEMEKE utaona picha ilipigwa lini na ilipigwa na camera gani. Nimefuatilia na kuona ni picha za mwaka 2011. Nimefanya hata kwenye picha zangu ambazo ninazo kwenye computer nimeona maelekezo ya Tuntemeke yanatoa jibu sahihi kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom