KYAMTUNDU
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 1,820
- 295
Acha kujigeuza msukule, Kikwete huwa anahutubia hadi saa tatu usiku kama mchawi hamsemi kitu. Watu wamemsubiri mkombozi wao toka saa nane hadi saa 12 halafu apite bila kuongea chochote sio uungwana.
Ni mbulumundu pekee anayeweza kujiaminisha kuwa kama watu wanashangilia huwezi kuwaambia tulieni.
Ukitaka kujua misamiati, ingia JF!
Hili neno mbulumundu nimelipenda sana!
Mtu yupo JF, anajiita GT ila hajui tofauti kati ya mikutano ya kampeni za uchaguzi na mikutano ya kawaida!