CHADEMA si Legelege-Dr Slaa

CHADEMA si Legelege-Dr Slaa

Acha kujigeuza msukule, Kikwete huwa anahutubia hadi saa tatu usiku kama mchawi hamsemi kitu. Watu wamemsubiri mkombozi wao toka saa nane hadi saa 12 halafu apite bila kuongea chochote sio uungwana.
Ni mbulumundu pekee anayeweza kujiaminisha kuwa kama watu wanashangilia huwezi kuwaambia tulieni.

Ukitaka kujua misamiati, ingia JF!
Hili neno mbulumundu nimelipenda sana!
Mtu yupo JF, anajiita GT ila hajui tofauti kati ya mikutano ya kampeni za uchaguzi na mikutano ya kawaida!
 
Cdm nouma sanaaa.... Magamba mkajinyonge 2015 ndo mwisho wenu
 
ukweli ni kwamba mzee slaa alifika kahama saa 9 alasiri lakini alishindwa kufika uwanjani kwa kile kilichokuwa kinaonekana mjini hapo kuwa kuna dalili za kuzomewa na kufanyiwa fujo, hata hivyo mkutano haukuwa na watu kabisa mpaka ilipofika saa 11;30 aliamua kwenda kuwasailimia wananchi wachacche waliokuwepo uwanjani, lakini alipokaribia uwanjani alikutana na watu wmebeba mabango yaliyomzomea na mengine kuandikwa jina la zitto.

nashangaa leo eti wanadanganya kuwa alihutubia mkutano mkubwa, na wandanganya kuwa waliweka mafuta machafu mkoani pwani...teh teh....waseme ni kituo gani kama wanajiamini.

Leo yatakayomkuta kigoma ni mpya hatakaa asahau.... Brigedia Nyakarungu
asante kwa updates
 
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amesema kamwe chama hicho hakitakubali kuwa legelege katika kusimamia misingi yake, ikiwemo katiba inayowaunganisha wanachama wote.
Source:Tanzania Daima Alhamisi
Dr. Slaa alisema "kwa hivi sasa Chadema haitafanya uchaguzi kwa vile chama siyo imara"
 
Nimezungumza n jamaa zangunwengi tu wa kahama mbao tunashirikiana nao kwenye masuala ya kazi na hasa za madini,wanasema kwa sasa chadema haina nguvu tena na jna hali ilikuwa tete kwa slaa na alizomewa!!!

Wewe kweli mwehu, endelea kuzungumza na wafanya biashara ya madini waliopo lumumba masaa 24
 
ukitaka kujua misamiati, ingia jf!
Hili neno mbulumundu nimelipenda sana!
Mtu yupo jf, anajiita gt ila hajui tofauti kati ya mikutano ya kampeni za uchaguzi na mikutano ya kawaida!

huna hoja... Piga kimya
 
Nimezungumza n jamaa zangunwengi tu wa kahama mbao tunashirikiana nao kwenye masuala ya kazi na hasa za madini,wanasema kwa sasa chadema haina nguvu tena na jna hali ilikuwa tete kwa slaa na alizomewa!!!

Safari hii uongo wenu umekwama kwa mimi kuwepo eneo la tukio home kahama nasubiri tu mmalize ujinga wenu wa propaganda za kitoto then nimwage picha muumbuke.
 
We mama umevurugwa si bure
Aibu yao aibu yetu?
Obviously ya kwenyu magambaz energy mnayotumia kuharibu na results mnazopata it's heartbreaking for u guys
Poleeeee
Aluta continua.....
Hivi unaitwa Elizabeth Dominic Mallya au Lyimo?
 
Jombaa, achana na propaganda za magazeti magazeti ya CCM, tembelea blog ya MICHUZI leo, uone nyomi iliyojitokeza Kahama......

Makubwa hata michuzi leo anapata sapoti ya makamanda?
 
hukumsikia vizuri.. Inaonekana maskio yako yana matege
Siyo kusimkia alisema yeye mwenyewe humu jamvini kuwa Chadema hivi sasa siyo imara hivyo hakiwezi kufanya uchaguzi.

 
Acha kujigeuza msukule, Kikwete huwa anahutubia hadi saa tatu usiku kama mchawi hamsemi kitu. Watu wamemsubiri mkombozi wao toka saa nane hadi saa 12 halafu apite bila kuongea chochote sio uungwana.
Ni mbulumundu pekee anayeweza kujiaminisha kuwa kama watu wanashangilia huwezi kuwaambia tulieni.

Ukitaka kujua misamiati, ingia JF!
Hili neno mbulumundu nimelipenda sana!
Mtu yupo JF, anajiita GT ila hajui tofauti kati ya mikutano ya kampeni za uchaguzi na mikutano ya kawaida!
 
Watanzania hasa vijana mnaochipukia katika siasa jipeni kazi kidogo tu ya kusoma/kujifunza siasa na jiografia ya siasa nchini,

Sheria ya "uchaguzi" inasema vyama vya siasa vitaendesha mikutano yao ya "kampeni" kuanzia saa mbili asubihi mpaka saa kumi na mbili kamili jioni,

Zingatia kuwa sheria hiyo inahusu taratibu za kampeni tu, na sio ziara za kawaida za vyama vya siasa.

Huko songea na mbeya mikutano ya kinana inafika mpaka saa mbili kasoro, anajua kwamba hakuna sheria inayomzuia kufanya hivyo,


Vijana wa kitanzania na wanahabari acheni kuihamishia njaa vichwani mwenu mtaliangamiza taifa hivihivi.
 
chadema hata kama watajipangusa vipi wamekamatika kila watakalo fanya madamu walijichanganya basi tena wanaonekana wakuja tu mzimu wa zitto hautawacha salama hata kidogo shetani yumo kwa kila mmoja wao.
 
Huna haja ya kufuatilia kokote. Download hii picha kwenye computer yako.
Ukishafanya hivyo, right click kwenye hiyo picha then select properties. Hapo utaona hii picha imepigwa 23.11.2011.

Chadema ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya kilaghai...

Kama hiyo picha sio ya jana, Tuwekeeni hiyo mliyonayo! Huyo TUNTEMEKE mwenyewe aliyeleta huu ----- mbona hana picha yoyote! Acheni u.jinga!!!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Molemo kuna Gazeti linasema kwamba Dr. Slaa jana alizomewa na kufanyiwa vurugu huko Kahama na pia aliambulia idadi ndogo ya wananchi. Gazeti la Tanzania Daima linakuja na habari kwamba amehutubia mkutano mkubwa wa hadhara! Hivi sheria za nchi si ni kwamba mwisho wa kuhutubia mikutano ya hadhara ni saa kumi na mbili; sasa Dr. Slaa alifika saa kumi na mbili viwanjani, alihutubia saa ngapi?

Pia hapo kuna sauti ya tulieni, tulieni alikuwa akituliza nini? Siyo hizo vurugu ambazo tumeambiwa kuwa alifanyiwa?
Vyombo (vyanzo) vya habari ni vingi. Inategemea unavyo-chekecha kupata ukweli/uhalisia maana huwezi tu kusiki/kusoma na kuamini.

Jana hapa jamvini alikuja Taswira na kuandika mengi (bila picha wala ushahidi wowote). Tz Daima wameweka picha na ushahidi wa mazingira na maneno.....chagua unaamini nini. Taswira & magazeti yao au Tz Daima na mashuhuda waliokuwa kwenye mkutano.
 
Kama hiyo picha sio ya jana, Tuwekeeni hiyo mliyonayo! Huyo TUNTEMEKE mwenyewe aliyeleta huu ----- mbona hana picha yoyote! Acheni u.jinga!!!

mkuu usihangaike na hao vijana, hilo kundi lipo Tabata masaa 24, wanaanzisha mada kwakujifanya wapo kahama kumbe wapo Tabata wanaishi kwa nguvu ya MM
 
Last edited by a moderator:
Vyombo (vyanzo) vya habari ni vingi. Inategemea unavyo-chekecha kupata ukweli/uhalisia maana huwezi tu kusiki/kusoma na kuamini.

Jana hapa jamvini alikuja Taswira na kuandika mengi (bila picha wala ushahidi wowote). Tz Daima wameweka picha na ushahidi wa mazingira na maneno.....chagua unaamini nini. Taswira & magazeti yao au Tz Daima na mashuhuda waliokuwa kwenye mkutano.

picha ya tanzania daima siyo ya kweli bali ni yakugushi sijui wanamdanganya nani.
 
Kaka Mtoi,

hiyo ndio propaganda, tatizo Kubwa lipo Chadema Kwamba mpaka wa leo hawana chombo chochote rasmi cha kusimamia habari Zao, hivi mpaka leo Chadema imeshindwa kufungua hata Gazeti lake tukiacha TV na Radio?

Jana Mkutanao wa Slaa kule Kahama, TUMTEMEKE kaingia mapema humu kufanya Damage, Nadhani Chadema mnapaswakuimarisha kitengo cha propaganda

Mkuu unajua hata mie naanza kuchukia kuhusu yanayofanywa na chama changu. Juzi hapa nimetoa ushauri kwa Tumaini Makene juu ya kugharamia waandishi wa habari wa television na magazeti huru na rafiki ili kuhabarisha umma juu ya ziara hii maana itakumbana na propaganda mbaya lakini naona hilo limedharauliwa. NIMECHUKIA SANA.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom