CHADEMA si Legelege-Dr Slaa

Shuhudia mwenyewe..........


Propaganda za ccm na wapenzi wa usaliti hazitasaidia kudanganya umma wa Tanzania kwa kile chadema inachosimamia.

Nabaki najiuliza, hivi haya magezeti Jamboleo, Majira, Habarileo na Uhuru hakuna sheria za kuyabana kwa kuandika uongo na kudanganya umma?! Kama magezeti yanadanganya na kusema uongo kiasi hicho maana yake ni kwamba magazeti hayo yapo kwa ajili ya kudanganya umma, kama yanadanganya kuhusu ziara ya kiongozi wa chamabcha upinzani kuna uhakika gani kama wanayoandika sio uongo?

Taaluma ya habari imeingiliwa na makanjanja wa Jamboleo, majira, habarileo na kale ka gazeti ka kutegea sumu ya panya UHURU
 

Jombaa, achana na propaganda za magazeti magazeti ya CCM, tembelea blog ya MICHUZI leo, uone nyomi iliyojitokeza Kahama......
 
Umefuatilia wapi na sisi tufuatilie tuone

Huna haja ya kufuatilia kokote. Download hii picha kwenye computer yako.
Ukishafanya hivyo, right click kwenye hiyo picha then select properties. Hapo utaona hii picha imepigwa 23.11.2011.

Chadema ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya kilaghai...
 

Ushahidi gani zaidi ya yalioyoandikwa magazetini?

Ok.. Tusiamini aliyoandika Makene, bali yaliyoandikwa na magazeti, coz magazeti yanaandikwa na malaika na Makene ni binadamu...
 
Picha hii ni ya mwaka 2011.

Picha hiyo ni ya jana hata nyasi ni maotea ya mvua zilizonyesha wiki iliyopita isitoshe viwanja vya CDT havikuwepo 2011 mwaka huo mkutano ulifanyika Nyihogo community center sasa hapo kwenye picha ni CDT hata ukuta wa CDT garage ya Mchihiyo unaonekana acha uongo ze macopolo gamba mzee wa buku 7.
 
Picha hizi hapa, waweke za kwao basi hizo za kuzomea na mabango. Wakimbie haraka photo shop kufanya hiyo kazi. Wamefanya kwenye stori wanashindwa nini kwenye picha!


 

bora umeweka picha mkuu,, umewakata ngebe
 

Wewe ni SIFURI usiyeelewa maana ya photoshop.

Basi amini na zile picha za Lema zilizosambazwa mitandaoni.
 

Mbulumundu Leo umeanza shifti mapema namna hii ina maana hujali afya yako kwa kulala usingizi. Heri urudi kwenye kazi uliyosomea ya UNGALIBA huwa kuna mapunziko, hii ya buku Saba hupati hata muda wa kumuhudumia mliberali mwenzio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…