CHADEMA si chama rafiki kwa wakulima

Red Giant

JF-Expert Member
Mar 9, 2012
15,658
20,889
Kwa muda mrefu nimekuwa naona kama CHADEMA kikiwa ni chama cha kimjinimjini sana. CHADEMA sijawahi kukisikia kikitetea mkulima wa Tanzania kwa nguvu nyingi, sijawahi kukiona kikitumia muda mrefu kuelezea sera zake juu ya kilimo. Ukulima ndiyo kazi ya watu wengi nchi hii lakini CHADEMA iko mbali nao kabisa.

Ukiangalia hata nguvu yake kipindi inawabunge ilikuwa ni mijini tu. Inamaana wakulima hawaielewi CHADEMA au CHADEMA haina kitu cha kueleweka inawaoffer wakulima? Kwanini CHADEMA siyo popular kwa wakulima?
 
Kwa muda mrefu nimekuwa naona kama CHADEMA kikiwa ni chama cha kimjinimjini sana. CHADEMA sijawahi kukisikia kikitetea mkulima wa Tanzania kwa nguvu nyingi, sijawahi kukiona kikitumia muda mrefu kuelezea sera zake juu ya kilimo. Ukulima ndiyo kazi ya watu wengi nchi hii lakini CHADEMA iko mbali nao kabisa.

Ukiangalia hata nguvu yake kipindi inawabunge ilikuwa ni mijini tu. Inamaana wakulima hawaielewi CHADEMA au CHADEMA haina kitu cha kueleweka inawaoffer wakulima? Kwanini CHADEMA siyo popular kwa wakulima?
Haya na sakata la korosho wasingizie CHADEMA.
 
Kwa muda mrefu nimekuwa naona kama CHADEMA kikiwa ni chama cha kimjinimjini sana. CHADEMA sijawahi kukisikia kikitetea mkulima wa Tanzania kwa nguvu nyingi, sijawahi kukiona kikitumia muda mrefu kuelezea sera zake juu ya kilimo. Ukulima ndiyo kazi ya watu wengi nchi hii lakini CHADEMA iko mbali nao kabisa.

Ukiangalia hata nguvu yake kipindi inawabunge ilikuwa ni mijini tu. Inamaana wakulima hawaielewi CHADEMA au CHADEMA haina kitu cha kueleweka inawaoffer wakulima? Kwanini CHADEMA siyo popular kwa wakulima?
Unalosema ni kweli 100%, chadema imejikita kwa tabaka flani hivi lililoendelea. Ndo maana nguvu yao ipo urban centers, sasa hapo ndo shida inapoanzia maana 75% ya watanzania ni commoners.
 
Back
Top Bottom