CHADEMA sasa wajuta


Kila lenye mwanzo lina mwisho na pia majuto ni mjukuu.Chama cha CHADEMA sasa kinaelekea ukingoni na hii ni kutokana kudhihirika kwa yale yalokuwepo chini ya Blanketi.Tangu siku nyingi chadema imekuwa imeshutumiwa kuwa ni chama cha kidini huku viongozi wake wakijaribu kuzitetea siri hizo zilizo katika uvungu wa kapeti.sasa siri hizo zimefichuka nahivyo wafuasi wake kuanza kung'amua na hivyo kukata tamaa na chama hicho kilchoaminiwa kama cha kitetezi huku kikijificha.Na sasa viongozi wa chadema wanajilaumu kwa kufanya kikao hicho kilichofichua siri.


Umeingia lini kwenye payroll ya Nepi?
 
kwani kikiwa cha kidini na tukapata mambo yanayositahili kupewa mwanadamu kuna tatizo gani?????kwani kuna shida gani na dini??ili mradi dini hiyo haiingilii uhuru wa mtu.Hilo la chadema ni chama cha kidini halina mashiko leta hoja nyingine.

walianza na ukabila wakakosa mashiko bila research wameshika udini bila ajizi huu ni mwaka wao moto wanao hata kama wametumwa hawaponi
 

Kila lenye mwanzo lina mwisho na pia majuto ni mjukuu.Chama cha CHADEMA sasa kinaelekea ukingoni na hii ni kutokana kudhihirika kwa yale yalokuwepo chini ya Blanketi.Tangu siku nyingi chadema imekuwa imeshutumiwa kuwa ni chama cha kidini huku viongozi wake wakijaribu kuzitetea siri hizo zilizo katika uvungu wa kapeti.sasa siri hizo zimefichuka nahivyo wafuasi wake kuanza kung'amua na hivyo kukata tamaa na chama hicho kilchoaminiwa kama cha kitetezi huku kikijificha.Na sasa viongozi wa chadema wanajilaumu kwa kufanya kikao hicho kilichofichua siri.



Mimi siyo mfuasi wa CDM lakini hapo sijakuelewa kabisa.......unaweza kujaribu kuelezea kwa ufasaha hata sisi wenye uelewa wa chini tukuelewe tafadhali ???
 
Umetoa maelezo kama vile hayajitoshelezi hivi,ungeeleza kitu gani kinachofanya CDM kianze kujuta,kikao gani kilifanyika,lini,na kitu gani kilichojadiliwa kwenye hicho kikao,ebu jaribu kuleta kitu kamili na siyo kuipapasa tu juujuu.


Sikuhitajika kutoa maelezo mengi sana kwani mada hii ilikuwa imegusiwa na sokomoko kwa undani zaidi.lakini ni kwamba, hivi karibuni Rais wa zamani wa ujerumani Dr.Horst Kohler aliitembelea TZ ambapo alifanya mazungumoz na viongozi wa juu wa CDM.Katika mazumzo yao Rais huo alihitaji kuimarisha mahusiano zaidi ya chama chake ambacho ni christian Democratic Union (CDU) na CDM.

Sasa kujuta kwa CDM kunakuja pale viongozi wake walipoteleza kutoa siri za kikao hicho cha faragha kama alivyosikika Mbowe ambapo siri hizo zinaonekana kuwanawisha uso vijana wa CDM na kuwamini kile kinachosema kuwa ni udini wa CHADEMA na hatimaye anguko kubwa kutarajiwa maana mdomo wa ukweli umeshinda kama ilivyozoeleka.
 
Back
Top Bottom