Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Haya maneno ndio yanazidi kuwagawa Watanzania, kama huyu member yeye akili yake inamtuma CDM ni chama cha Wakiristu na CCM ni chama cha Waislam.Mujahedeen wa Tanzania!ndiyo maana vitoto vinafundishwa karate kwenye baadhi ya madrassa!! Hii kitu inaelekea ina baraka kutoka kwa mkulu mwenyewe ndiyo maana jamaa hata hawadhibitiwi!