4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 5,979
- 6,784
- Thread starter
- #21
Lengo, ni moja tu tufungwe wote, maana hata mwenzetu alietangulia kuwekwa huko na uonezi , na police wanaitaka chadema/ Sasa watuweke wote ndani au wafuate sheria, why MMOJA awe ndani KWA kile twakigania wengine tuwe huru, haiwezakanikaLengo ni nini hasa? Kujilaza mahabusu kwa ajili ya chadema?
I mean lazima kuwepo na higher goal worthy of sacrifice. Watu tupo tayari hata kufa kwa ajili ya nchi, kwa ajili ya dini na hata kwa ajili ya mke na watoto. But come on, mtu ujitese kwa ajili ya mbowe? chadema? F****!
Haya Slaa alishawahi kuvunjwa hadi mkono kwa ajili ya mbowe, alipata nini?