Ujinga mtupu!Wakati biashara ya kariakoo ikiendelea kusua sua kila kukicha kwa siku 2 sisi wana cdm tunazidi kupasua anga.
Kesho ni zamu ya kuongea na wana Kigoma na kuwaeleza jinsi ccm ilivyoshindwa kuwatimizia ahadi walizo ahidiwa kwa zaidi ya miaka 60 ya uhuru.
Kama chama tutatazama namna bora ya kuweza kuatua changamoto walionazo ambazo zipo kwenye uwezo wetu .
Hii cdm haki ya Mungu itawauwa watu kwa pressure maana sasa ni mkoa kwa mkoa na wilaya kwa wilaya ili kukiimarisha chama .
PeopleeeeessssssssView attachment 2624434
Chadema inajenga ofisi zaidi ya 400 sehemu mbalimbali nchini! Kama kuwa na ofisi ndiyo kigezo mbona taarifa ya CAG Imejaa madubwasha ya wizi???Kwani uongozi unapimwa na nn? Yaan umeshindwa kulea familia yako tukupe mtaa
Umejuaje natumia jero unajisemea matumizi yako!Hivi nani kakupatia hiyo jero ya kununua mb 5 ya kuingia mtandaoni leo?
Mungu ibariki CHADEMAWakati biashara ya kariakoo ikiendelea kusua sua kila kukicha kwa siku 2 sisi wana cdm tunazidi kupasua anga.
Kesho ni zamu ya kuongea na wana Kigoma na kuwaeleza jinsi ccm ilivyoshindwa kuwatimizia ahadi walizo ahidiwa kwa zaidi ya miaka 60 ya uhuru.
Kama chama tutatazama namna bora ya kuweza kuatua changamoto walionazo ambazo zipo kwenye uwezo wetu .
Hii cdm haki ya Mungu itawauwa watu kwa pressure maana sasa ni mkoa kwa mkoa na wilaya kwa wilaya ili kukiimarisha chama .
PeopleeeeessssssssView attachment 2624434
Nakumbuka tuma namba nikupe hela ya kula kachala!Wewe nakujua sana kwani ulipokuwa unaanya kazi ya ulinzi nyumbani kwangu umesahau?
Kuna maswali nimeshauliza kwenye Uzi huu naona mnayapita tuAnza wewe kuuliza swali lako hapa
Ndo maana nasema nyie ni wasanii wasanii Sana, kwamtu anae jielewa hawaz hata kuwapa kuraHatuna muda wa kujibu maswali ya Mandunduka wa lumumba
[emoji3][emoji16][emoji23][emoji1787][emoji2][emoji1][emoji28][emoji28]Kuitaja cdm ni faraja tosha na unapata thawabu