Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 7,028
- 13,369
Kweli tumeichoka CCM ila chadema ni failure.Mlamba asali alilamba sana ikamkwama kooni akaenda nayo burigi
Kweli tumeichoka CCM ila chadema ni failure.Mlamba asali alilamba sana ikamkwama kooni akaenda nayo burigi
Chadema haijapangisha ofisi, Yale ni majengo ya chama tokea 2012 na Hilo jambo lilitolewa ufafanuzi humu humu na Dk Slaa unless kama umejiunga JF mwaka huu.Ni kweli kwa hapa tulipo CCM imeshindwa lkn nyie miaka yote hiyo mnakula ruzuku mmeshindwa kujenga ofisi ya kueleweka mpaka leo mmepanga kwenye kile kijumba
Tuwe wakweli tu kama ofisi tu ya chama mmeshindwa nchi mtaiweza kweli
CCM imeshindwa lkn nyie mmeshindwa zaidi
Ruhusuni watu waulize maswali kwenye mikutano yenu tuone Kama hamjaanza kutukana watuUliza swali hapa,binafsi nitakujibu
Imefeli Nini? Imewahi kukusanya Kodi alafu ikaiba kama wanavyofanya CCM?Kweli tumeichoka CCM ila chadema ni failure.
Kwani hizo ruzuku na join the chain mnazitoa wapiWanauliza maswali gani sisi hatukusanyo kodi
Mbona press conference zipo na wamekuja wakiuliza maswali magumu sana. Hata Mbowe amewahi kufika kariakoo na kupigwa maswali ya papo kwa papo kwenye join the chain Sasa kivipi Tena unasema hatujawahi ruhusu maswali?Ruhusuni watu waulize maswali kwenye mikutano yenu tuone Kama hamjaanza kutukana watu
Wapeni nafasi wananchi waulize maswali kwenye mikutano yenu hyo...syo press conference mkuuMbona press conference zipo na wamekuja wakiuliza maswali magumu sana. Hata Mbowe amewahi kufika kariakoo na kupigwa maswali ya papo kwa papo kwenye join the chain Sasa kivipi Tena unasema hatujawahi ruhusu maswali?
Video nimeweka.... Una swali jingine?Wapeni nafasi wananchi waulize maswali kwenye mikutano yenu hyo...syo press conference mkuu
Ile ni hisani ila Kodi ni makusanyo ya lazima so unawajibika kupigwa maswali kama unakusanya Kodi sio kama unatoa pesa ya hiari tu. Kingine ripoti za fedha zinakaguliwa na CAG na mwaka huu tuna hati safi pia so kama Kuna ufisadi CAG angeona!!Kwani hizo ruzuku na join the chain mnazitoa wapi
Wapenzi wa amani, umoja na maendeleo wanachanga.Kwani hizo ruzuku na join the chain mnazitoa wapi
Asante kwa majibu mazuriIle ni hisani ila Kodi ni makusanyo ya lazima so unawajibika kupigwa maswali kama unakusanya Kodi sio kama unatoa pesa ya hiari tu. Kingine ripoti za fedha zinakaguliwa na CAG na mwaka huu tuna hati safi pia so kama Kuna ufisadi CAG angeona!!
Mkuu tumalize utata wekeni wazi watu wawaulize maswali wambieni kabisa kwenye matangazo ya mikutano yenu kuwa watu waandae maswali...mm nakwambia mtapoteanaIle ni hisani ila Kodi ni makusanyo ya lazima so unawajibika kupigwa maswali kama unakusanya Kodi sio kama unatoa pesa ya hiari tu. Kingine ripoti za fedha zinakaguliwa na CAG na mwaka huu tuna hati safi pia so kama Kuna ufisadi CAG angeona!!
Mnachanga tu🤣🤣🤣 haya na kesho mchange tenaWapenzi wa amani, umoja na maendeleo wanachanga.
Hivi Kuna eneo Lina watu werevu na wajanja kama kariakoo? Mbowe alienda hapo kupigwa maswali ya papo kwa papo bila aibu ndio sembuse aogope maswali ya huko Ujiji? Embu kuweni serious.Mkuu tumalize utata wekeni wazi watu wawaulize maswali wambieni kabisa kwenye matangazo ya mikutano yenu kuwa watu waandae maswali...mm nakwambia mtapoteana
Mnashindwa kuwauliza maswali wanaofuja kodi zenu, waotajwa kila ripoti ya CAG, wanaowadai rushwa kwenye huduma za umma yaani mahospitalini, barabarani hadi TRA halafu mnataka kupoteza muda kuwauliza wanaowafungua akili?Muwe mnaruhusu wananchi kuuliza maswali mbona mtanywea mapema sana.
Kwani mtaiba tena?Kwani ni mara ya kwanza!!? Mbona ni kawaida yenu lakini mwisho wake ni kunyolewa tuuu!!
Hebu futa hilo neno Dkt katika jina lako maana unawadhalilisha wenyewe.Ni kweli kwa hapa tulipo CCM imeshindwa lkn nyie miaka yote hiyo mnakula ruzuku mmeshindwa kujenga ofisi ya kueleweka mpaka leo mmepanga kwenye kile kijumba
Tuwe wakweli tu kama ofisi tu ya chama mmeshindwa nchi mtaiweza kweli
CCM imeshindwa lkn nyie mmeshindwa zaidi
Mkuu mbona mmeshindwa kuhoji mapato na matumizi ya join the chainMnashindwa kuwauliza maswali wanaofuja kodi zenu, waotajwa kila ripoti ya CAG, wanaowadai rushwa kwenye huduma za umma yaani mahospitalini, barabarani hadi TRA halafu mnataka kupoteza muda kuwauliza wanaowafungua akili?