CHADEMA sasa si ombi tena, Tunahitaji TV moja ya kurusha Mikutano ya Tundu Lissu

Yan magazeti yote ni habar moja tu

Unajua kuna mambo yanatia aibu kabisa
 
Mbona akina WAITARA NA WABUNGE WENGINE CHADEMA walikuwa wanakatwa mishahara kwa ajili ya kutunisha mfuko wa kampeni ziko wapi?? Si mtumie hizo au zimepigwa??
 
Nimekua nikifuatilia tbc tokea kampeni zimeanza nataka niandike ripoti jinsi chombo hicho cha umma kilivyotoa nafasi sawa kwa vyama vya siasa kipindi cha uchaguzi, ila kusema ukweli hadi sasa kati ya vyama 16 vinavyogombea nafasi ya urais ccm imepewa 85% ya coverage ya mikutano yao, naendelea kukusanya taarifa nitatoa ripoti yangu mwanzoni wa mwezi wa kumi na moja baada ya uchaguzi, naamini ripoti hiyo itasaidia kuonesha ni namna gani tbc inayoendeshwa na kodi za wananchi imetumika kukandamiza vyama vingine
 
CHADEMA tumewaomba sana mtutafutie TV moja itakayokuwa inarusha mikutano ya Lissu lakini mpaka sasa bado mnasuasua, Kama TV za hapa zinaogopa kurusha mikutano ya Lissu basi nendeni Kenya, kwenye dstv yenyewe kuna channel zaidi ya tano za Kenya zinazoonekana hapa nchini.

Kama tatizo ni pesa, basi semeni ili tuongeze michango, Ikibidi hata muwe mnawarushia recordings tu wazioneshe tumwone kamanda wetu. Tunataka sasa na sisi kusikia sera za Tundu Lissu na si kila siku ukifungua TV ni rangi ya mboga mboga, Magazeti yote nayo ni mboga mboga, redio ndo usiseme, yani mpaka imekuwa kero sasa hivi watu hawataki hata kutazama TV bora waweke movies waangalie.

Sasa tunasema Tumechoka, CHADEMA tafuteni TV hata ya nje ioneshe kampeni. SI OMBI, NI LAZIMA.

Kabla ya kutaka Lissu aonekane kwenye video kwanza kasome kanuni za habari na uendeshaji wa vyombo vya habari....

Hata chadema wangekuwa na TV yao ingewapa wakati mgumu kurusha matangazo ya Lissu akihutubia!

Lissu ni tatizo hakuna atakaye kubali kurusha matamshi yake
 
Hili unalolisemea leo hapa kama CHADEMA yako wangekuwa 'serious' nalo kutokana na 'Mazingira' yaliyopo wangejipanga tokea zamani. Mmefeli!!!
Hakunaga kuchelewa duniani, pale tu unapogundua kuwa upo wrong way, ndio muda muafaka wa kuchukua hatua
 
Hujaombwa kuchangia, kama huna cha kuchangia ni bora ukafunga hilo domo lako chafu
Demokrasia hii mkuu, tuvumiliane. Kitu kidogo unamwaga Omo, ukipewa nchi utaweza kweli. Halafu ukileta uzi kubali hoja za watu, matusi peleka kwenu.
 
CHADEMA tumewaomba sana mtutafutie TV moja itakayokuwa inarusha mikutano ya Lissu lakini mpaka sasa bado mnasuasua, Kama TV za hapa zinaogopa kurusha mikutano ya Lissu basi nendeni Kenya, kwenye dstv yenyewe kuna channel zaidi ya tano za Kenya zinazoonekana hapa nchini.

Kama tatizo ni pesa, basi semeni ili tuongeze michango, Ikibidi hata muwe mnawarushia recordings tu wazioneshe tumwone kamanda wetu. Tunataka sasa na sisi kusikia sera za Tundu Lissu na si kila siku ukifungua TV ni rangi ya mboga mboga, Magazeti yote nayo ni mboga mboga, redio ndo usiseme, yani mpaka imekuwa kero sasa hivi watu hawataki hata kutazama TV bora waweke movies waangalie.

Sasa tunasema Tumechoka, CHADEMA tafuteni TV hata ya nje ioneshe kampeni. SI OMBI, NI LAZIMA.
Asante mkereketwa viongozi fanyieni kazi ushauri huu.
 
Kanuni inasema kuwa ni ccm tu ndo inaruhusiwa kuoneshwa kampeni zake??? All in all hatuhitaji Chombo chochote cha hapa nchini kirushe mikutano ya Lisu, tunataka chombo cha nje....Nani asiyejua kuwa vyombo vyote vya habari ni wanafki wakubwa .....Ila mwisho wao ni Oct 28 ,
Kabla ya kutaka Lissu aonekane kwenye video kwanza kasome kanuni za habari na uendeshaji wa vyombo vya habari....

Hata chadema wangekuwa na TV yao ingewapa wakati mgumu kurusha matangazo ya Lissu akihutubia!

Lissu ni tatizo hakuna atakaye kubali kurusha matamshi yake
 
CHADEMA tumewaomba sana mtutafutie TV moja itakayokuwa inarusha mikutano ya Lissu lakini mpaka sasa bado mnasuasua, Kama TV za hapa zinaogopa kurusha mikutano ya Lissu basi nendeni Kenya, kwenye dstv yenyewe kuna channel zaidi ya tano za Kenya zinazoonekana hapa nchini.

Kama tatizo ni pesa, basi semeni ili tuongeze michango, Ikibidi hata muwe mnawarushia recordings tu wazioneshe tumwone kamanda wetu. Tunataka sasa na sisi kusikia sera za Tundu Lissu na si kila siku ukifungua TV ni rangi ya mboga mboga, Magazeti yote nayo ni mboga mboga, redio ndo usiseme, yani mpaka imekuwa kero sasa hivi watu hawataki hata kutazama TV bora waweke movies waangalie.

Sasa tunasema Tumechoka, CHADEMA tafuteni TV hata ya nje ioneshe kampeni. SI OMBI, NI LAZIMA.
Magufuli hawezi kuruhusu hio. na hao dstv hawatakubali watapelekewa invoice na TRA ya mabilioni.
yani meko hana huruma hata kidogo, anajua hapendwi kwa hio ameuvaa udikteka halisi sasa hivi
 
CHADEMA tumewaomba sana mtutafutie TV moja itakayokuwa inarusha mikutano ya Lissu lakini mpaka sasa bado mnasuasua, Kama TV za hapa zinaogopa kurusha mikutano ya Lissu basi nendeni Kenya, kwenye dstv yenyewe kuna channel zaidi ya tano za Kenya zinazoonekana hapa nchini.

Kama tatizo ni pesa, basi semeni ili tuongeze michango, Ikibidi hata muwe mnawarushia recordings tu wazioneshe tumwone kamanda wetu. Tunataka sasa na sisi kusikia sera za Tundu Lissu na si kila siku ukifungua TV ni rangi ya mboga mboga, Magazeti yote nayo ni mboga mboga, redio ndo usiseme, yani mpaka imekuwa kero sasa hivi watu hawataki hata kutazama TV bora waweke movies waangalie.

Sasa tunasema Tumechoka, CHADEMA tafuteni TV hata ya nje ioneshe kampeni. SI OMBI, NI LAZIMA.
Tulishasema kuna mtu ndani ya chama anatuhujum kwani kusajiri TV online inachukua siku ngapi?? Kitengo cha habari chadema mtueleze hapa. Vinginevyo mtakuwa mnamhujumu Tundu Lissu
 
Muulize Fisadi mkuu wa nchi, Trillion 1.5 zimeenda wapi, na kwanini shirika la ndege hesabu zake hazikaguliwi, na kwanini anatumia kampuni yake kujenga miradi mikubwa ya serikali, nani aliidhinishwa kujengwa kwa uwanja wa ndege wa chato, ndege alinunua nan na kwa bei gani?
Mbona akina WAITARA NA WABUNGE WENGINE CHADEMA walikuwa wanakatwa mishahara kwa ajili ya kutunisha mfuko wa kampeni ziko wapi?? Si mtumie hizo au zimepigwa??
 
Labda waende dautch welle ujerumani, wakenya Sasa hivi wanamwogopa magufuli kuliko kitu chochote. Hawatakubali.
 
Tatizo TV za nje kurusha mambo ya huku zitategenezewa matatizo na wao hawawezi kuleta waandishi wao kimya kimya lazima waitaarifu serikali,je serikali itawaruhusu ?
Tatizo kubwa kabisa tumekuwa na sheria mbovu ya vyombo vya habari,sheria mbovu ya matumizi ya mitandao ya jamii,watu wamejengewa roho ya woga katika taifa linalodaiwa kuwa huru.
 
Tisiaraei watawaruhusu kweli kurusha? Na hao wamiliki wa ving'amuzi vyenye hizo Channels watablock tu hizo channels kuonekana nchini.

Kifupi cdm wamechelewa sana tu
 
CHADEMA tumewaomba sana mtutafutie TV moja itakayokuwa inarusha mikutano ya Lissu lakini mpaka sasa bado mnasuasua, Kama TV za hapa zinaogopa kurusha mikutano ya Lissu basi nendeni Kenya, kwenye dstv yenyewe kuna channel zaidi ya tano za Kenya zinazoonekana hapa nchini.

Kama tatizo ni pesa, basi semeni ili tuongeze michango, Ikibidi hata muwe mnawarushia recordings tu wazioneshe tumwone kamanda wetu. Tunataka sasa na sisi kusikia sera za Tundu Lissu na si kila siku ukifungua TV ni rangi ya mboga mboga, Magazeti yote nayo ni mboga mboga, redio ndo usiseme, yani mpaka imekuwa kero sasa hivi watu hawataki hata kutazama TV bora waweke movies waangalie.

Sasa tunasema Tumechoka, CHADEMA tafuteni TV hata ya nje ioneshe kampeni. SI OMBI, NI LAZIMA.
Tukianzisha TV yetu - Tutawezaje kulalamika kuwa hatuna UHURU wa kuongea kwa wanaotutuma.
EBU tuache TUNAJUA tunachokifanya.
We kama unahamu ya kuchanga changa tu, usitupangie matumizi.
 
Tunajua pa kuweka kura zetu, hata bila kuona kwa luninga wala mabango njiani... ni wajinga pekee watabadilishwa na upepo wa nyomi (sema ndo wengi sasa!).
 
Mipango ya Chadema inafanyika kwenye majukwaa ya mitandao!!
Hivi mkipewa serikali itakuwaje nyinyi Nyumbu wa Ufipa?.
Amma kweli mfamaji haachi kutapatapa!!
 
Kabla ya kutaka Lissu aonekane kwenye video kwanza kasome kanuni za habari na uendeshaji wa vyombo vya habari....

Hata chadema wangekuwa na TV yao ingewapa wakati mgumu kurusha matangazo ya Lissu akihutubia!

Lissu ni tatizo hakuna atakaye kubali kurusha matamshi yake

..TL siyo tatizo.

..tatizo ni wenye mamlaka.

..wanataka KUABUDIWA, hawataki kuambiwa ukweli.
 
Back
Top Bottom