johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,131
Rais Samia alipotoa ruhusa ya kufanyikia Mikutano ya hadhara alisema walio tayari hata Siku ile waanze. Hadi leo nimeshuhudia mkutano mmoja tu wa CCM pale Mtongani.
Chadema waliolilia sana Mikutano bado wanamsubiri Tundu Antipas Lissu ili wajaze Uwanja wa Kawe njia panda ya Peponi pale kwa Mwamposa.
Nchi ngumu hii.
Chadema waliolilia sana Mikutano bado wanamsubiri Tundu Antipas Lissu ili wajaze Uwanja wa Kawe njia panda ya Peponi pale kwa Mwamposa.
Nchi ngumu hii.