CHADEMA sasa kumekucha

CHADEMA sasa kumekucha

Kila siku tunawauliza mtuambie ccm wao wamejenga ofisi wapi ktk nchi hii, lkn hamsemi....!!!
Hawawezi kutoa jibu maana mali zote walizo nazo ccm wamejimilikisha kwa mabavu nguvu za wananchi
 
Uoga ndiyo kikwazo cha mabadiliko lkn hakuna marefu yasiyo na ncha
ifike hatua kila mwanadam aikane nafsi yake ili kupitia yy ajue kuna kizazi kitanufaika, manufaa yanayopatikana ktk nchi zilozoendelea ni ile neema ilioandaliwa na watu kwa amana ya damu zao!
 
Maneno yenye busara sana
ifike hatua kila mwanadam aikane nafsi yake ili kupitia yy ajue kuna kizazi kitanufaika, manufaa yanayopatikana ktk nchi zilozoendelea ni ile neema ilioandaliwa na watu kwa amana ya damu zao!
 
Maneno yenye busara sana
Ipo siku, mambo yataiva tu... tena hakuna ogomvi mbaya kama ule wa kugombana na mtu ambae ulimtukana kwa mda na wala hakukujibu kitu, hua anapiga na kuuma juu.
 
Tutafika tu maana wamezidi kutuonea
Ipo siku, mambo yataiva tu... tena hakuna ogomvi mbaya kama ule wa kugombana na mtu ambae ulimtukana kwa mda na wala hakukujibu kitu, hua anapiga na kuuma juu.
 
Mbona hukusema ni ofisi za jimbo lipi!
CAG hapo lazima aruke na ninyi - fedha zetu hizo hazijapitia kwenye vikao halali
 
Pole sana yaani kama unadhani kila mpinzani wa ccm au mpenzi wa cdm au upinzani basi ni mwanachama wa upinzani au chama cha upinzani
Sijawahi kuona mchango wako wa maana humu JF. Hata huko CHADEMA sidhani kama una msaada wowote.
 
Pole sana yaani kama unadhani kila mpinzani wa ccm au mpenzi wa cdm au upinzani basi ni mwanachama wa upinzani au chama cha upinzani
Hata kama si mwanachama wa chama chochote, michango yako humu ni mipasho tu, huna la maana sasa unalozungumzia kwenye kupinga. Upo tu kama mzomeaji mpiga makelele basi.
 
Back
Top Bottom