Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,949
- 74,431
Watapiga kura hawa MLIO WAONGEZEA MISHAHARA tokea muingie madarakani kwa kura za NEC na PolisiHayo majengo ndio yatapiga kura
Watapiga kura hawa MLIO WAONGEZEA MISHAHARA tokea muingie madarakani kwa kura za NEC na PolisiHayo majengo ndio yatapiga kura
Hayo ni maoni yako lakini yanaruhusiwa kisheria yako kwa mujibuWatapiga kura hawa MLIO WAONGEZEA MISHAHARA tokea muingie madarakani kwa kura za NEC na Polisi
Nitafanya yote kwa nchi yangu, mini ni kijana jeuriUbarikiwe sana mkuu na watu kama nyinyi wenye moyo wa ukombozi wa dhati mpo wachache sana



Rangi nyekundu inaashiria mauaji, hivyo msitegemee kabisa hicho kikundi kuja kuchukua nchi, never never, watu lazima wachague kijaniWakati kuna watu wanajidanganya kuwa cdm inakufa sisi ndiyo kwanza tunazidi kujiimarisha kwa kuanza sasa kuimarisha na kunenga ofisi zetu za majimbo ili kujikita zaidi kwenye ngazi zote kiutawala
Hizo ofisi zipo musoma mjini na ni mali ya chama.View attachment 1084228View attachment 1084229
Naona ugimbi wa Dodoma bado umekukaba akili maana hata ulicho kiandika ni 00
Mnajuana wenyewe na kikundi chenuWauwaji wa kina mawazo na watesaji na watekaji wakubwa wewe ndiye mpishi wao