KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,181
- 17,174
Mbona unatudanganya ,aisee! Ofisi hazina mwonekano wa chama. Mmepangishwa na mahasimu wenu CCM? Pango lenu ni shilingi ngapi kwa mwezi?
Hili ni swali halali kabisa hata kama wenyewe hawapendi kulisikia. Lipo na litaendelea kuwepo, na litaendelea kuwatesa sana CHADEMA.Ukiachana na majengo kuna swali linanitatiza sijapata jibu hivi kwanini kwa kipindi hichi wafuasi wa chadema wanahama sana kuhamia ccm? Na bado unasema mpo vizuri?
Wakati kuna watu wanajidanganya kuwa cdm inakufa sisi ndiyo kwanza tunazidi kujiimarisha kwa kuanza sasa kuimarisha na kunenga ofisi zetu za majimbo ili kujikita zaidi kwenye ngazi zote kiutawala
Hizo ofisi zipo musoma mjini na ni mali ya chama.View attachment 1084228View attachment 1084229
Wanao enda kuunga mkono ni haki yao baada ya kufika beiHili ni swali halali kabisa hata kama wenyewe hawapendi kulisikia. Lipo na litaendelea kuwepo, na litaendelea kuwatesa sana CHADEMA.
Hili haliwezi kufutika kirahisi kwa majibu mepesi mepesi ya biashara inayoendelea sasa hivi.
ccm haijawahi jenga ofisi hata moja, yote ni majengo ya wananchi. time will come when all public properties will be confisticated
Hapana watakaopiga kura watabebwa na maroli kama kwa jiraniHayo majengo ndio yatapiga kura
Hapana watakaopiga kura watabebwa na maroli kama kwa jirani
Usiseme kupiga kura sema haya "ndiyo yatakayo hesabu kura" . Tafadhali weka msisitizo kwenye kuhesabu kuraHayo majengo ndio yatapiga kura
Usiseme kupiga kura sema haya "ndiyo yatakayo hesabu kura" . Tafadhali weka msisitizo kwenye kuhesabu kura
Vipi chadema ni soko la wanaojiuza?Wanahama au wananunuliwa?
Kwa cdm ni kata mti panda miti
Ndio CCM wananunua watumwa, vipi chadema ni soko la watumwa?Ccm wana wanunua watumwa
Kwahiyo chadema ni soko la watumwa?Wapo watumwa walio tumwa na ccm kuja kuisaliti cdm
Lile basi alilochangiwa Lissu limeshafika au rangi ya Photoshop imepauka?Wakati kuna watu wanajidanganya kuwa cdm inakufa sisi ndiyo kwanza tunazidi kujiimarisha kwa kuanza sasa kuimarisha na kunenga ofisi zetu za majimbo ili kujikita zaidi kwenye ngazi zote kiutawala
Hizo ofisi zipo musoma mjini na ni mali ya chama.View attachment 1084228View attachment 1084229