CHADEMA Ruvuma kimenuka

CHADEMA Ruvuma kimenuka

Status
Not open for further replies.
Mlipanga siku nyingi kumfukuza Zitto. Mlianzisha visa kitambo. Mlichokifanya juzi ni mpango wenu wa muda mrefu.

Ni mkakati wa muda mrefu.. kuhusu Zitto vs Mbowe hakuna mwanachadema hajui mgogoro wao... basi tu wamejisahaulisha.
 
Sina imani na mtu au chama chochote kama madaraka yanatakwa kwa urafi wa hali ya juu namna hii.
 
chadema ukijua maneno pipozi pawa, fisadi, magamba na msaliti tayari wewe umekuwa mwanasiasa. Hakuna sharti jingine ni hilo tu mkuu. Ndo maana kumejaa wenye jazba na wavimba uso tupu!

Chadema:whoo:Chadema
 
gwanda acha kulialia hapa unapewa ukweli wa mambo yanavyokwenda huku Ruvuma. Na kesho Mungu akipenda nitawatwanga updates za kufa mtu. Nami ni mjumbe kwenye kikao hicho.

hapa noma! Huyu fuime namfahamu sana, mpiganaji wa kweli, mara nyingi pickup yahe hujaza spika na kutangaza mikutano ya chadema hd vijijini. Mbongoro ni yupi mhusika kati mgombea mzoefu na huyu aitwaye mdogo(mc)? Cha msingi washauriwe kuwa watulivu hd utetezi uwasilishwe! Vinginevyo mtasikia tu "nchimbi weeee, ahaaaaa x 2, chukua jimbo"
 
Sasa chadema ikifa ndug zangu nani atapigana vita na mafisadi wa CCM??

Chadema ijiangilie ilipojikwaa na kuacha kumtukuza AYATOLLAH MTEI
 
chadema ukijua maneno pipozi pawa, fisadi, magamba na msaliti tayari wewe umekuwa mwanasiasa. Hakuna sharti jingine ni hilo tu mkuu. Ndo maana kumejaa wenye jazba na wavimba uso tupu!

Alaa,kumbe ww ni gamba?ona sasa unavyojiumbua mwenyewe,hata huo mkutano wa kesho kumbe mtauandaa magamba km ule wa kigoma,senz kabisa!
 
Zitto atawapasua sana wanajifanya vichwa ngumu bado safari inaendelea tutaona mengi.
 
Hakuna mgogoro hapo, kuna mambo ya msingi ya kujadili, kwa mfano tanesco kimenuka mgawo wa umeme mpaka mortuary lakini wabongo tupo busy na chadema
 
hali ya chama cha demokrasia na maendeleo mkoani Ruvuma kina hali mbaya kufuatia mwenyekiti wake wa mkoa Joseph Fuime na Katibu wa jimbo Mbogolo kutokuwa na maelewano kwa muda mrefu sasa. Chanzo cha mgongano ni ubunge 2015 ambapo Joseph Fuime ana mpango wa kugombea nafasi hiyo huku nae mbogolo anaitaka kwa udi na uvumba. Imefikia hatua baadhi ya wanachama wameanza kufungasha virago na kutimkia vyama vingine. Aidha baadhi ya madiwani wamegawanyika ambapo wengine wako upande wa Fuime na wengine kwa mbogolo. Tarehe 28.11.2013 chama hicho kinafanya kikao na moja ya agenda inaedaiwa kuwa itahusu msimamo wa chadema kuhusu kunyang'anywa madaraka ya chama Zitto Kabwe. Chanzo cha taarifa kutoka ndani ya chadema kimetonya kuwa swala la Zitto limeongeza mpasuko ambapo kundi kubwa la viongozi wa wilaya na mkoa liko upande wa Zitto Kabwe. Kundi hilo linaongozwa na Fuime

fuime aende na zito wake....
 
Wewe ni taka tu ndani ya chadema hatukutambui kabisa unapga kelele za bure usitufuatilie.


Umevurugwa vilivyo aisee, hadi huruma. Unajua post zako zinaonesha unaweweseka kama zezeta. Huelewi unajibu nini.
 
Nini cha ajabu hapo! Kichwa chako kikiwa kizuri ukisoma walaka wa dr kitila utajua picha likoje na litaishaje. Kifupi chadema ni tasisi walikuwepo wakapita, na nyie masalia mtapita, kuyumba tasisi icho kitu kitatokea na ndiyo njia ya kuimalisha tasisi. Kwa wachumia tumbo tu, ndiyo wanaoangaika na matukio.
 
HAYA YOTE YANASABABISHWA NA CHADEMA KUTOKUTOA TAARIFA SAHIHI ZA HAWA WALIOSIMAMISHWA NCHINI KOTE MPAKA NGAZI ZA MASHINA HIVYO 90% YA WALIOKO MIKOANI NA VIJIJINI KUTOPATA TAARIFA SAHIHI NA KWA WAKATI MUAFAKA IN FACT PROTOCOL YA CDM HAIKUFANYA PLANNiNG YA ZOEZI KWA UJUMLA WAKE
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom